Hospitali zituheshimu wateja, mnatuibia sana

POTIZILLAH

Member
Apr 30, 2011
87
157
Jana nimeenda hospital moja hapa Tegeta kibaoni, na imeshajijua maana ipo peke yake pele kibaoni. Waanapiga bei kubwa sana wateja wao, kujiandikisha tu pale ni 7,500/= na sijui ni yanini maana hata file hupewi mambo yote yapo kwenye system za computer. Baada ya hapo anakwambia inachofuata ukamuone daktari, kumuona daktari ni 15,000/=. Dokata anakupa vipimo ukafanye, achana na gharama za vipimo hizi sibishani nazo.

Noma ilikuja baada ya vipimo vyote tukaandikiwa sindano 3 na dawa za kutuliza maumivu. Tuliambiwa gharama za sindano moja ni 37,000/= Hapo ndio kengele ikalia kichwani na kujua hapa kuna shida. Nikaomba niandikiwe ni sindano gani ili nichome mbele kwa mbele, hapo dokta akaanza kukataa anasema harusiwi kutoa hicho kitu inaweza kumletea shida kikazi, ilileta ubishi mkubwa sana kwakuwa mimi nimeshalipa kukuona na kila kitu kitoka kwako nimeshalipia na gharama za vipimo hapa niandikie hizo dawa mi niondoke, ndio kwa mbinde nikapewa majina ya hizo dawa.

Nikaenda pharmacy ipo opposite tu na hiyo hospital hizo dawa hapo wanauza 7,000/= tu na lile bomba la sindano ni 500/= Nikamlipa nesi 3000 nikachomwa sindano yaani 10,000/= nikawa nimepata tiba ambayo ilibidi nilipe 37,000/=

HOSPITALI MUWE NA HURUMA NA WATEJA WENU, MTU AKIUMWA ISIWE NAFASI YA KUMPIGA, SIO POA KABISA
 
Jana nimeenda hospital moja hapa Tegeta kibaoni, na imeshajijua maana ipo peke yake pele kibaoni. Waanapiga bei kubwa sana wateja wao, kujiandikisha tu pale ni 7,500/= na sijui ni yanini maana hata file hupewi mambo yote yapo kwenye system za computer. Baada ya hapo anakwambia inachofuata ukamuone daktari, kumuona daktari ni 15,000/=. Dokata anakupa vipimo ukafanye, achana na gharama za vipimo hizi sibishani nazo.

Noma ilikuja baada ya vipimo vyote tukaandikiwa sindano 3 na dawa za kutuliza maumivu. Tuliambiwa gharama za sindano moja ni 37,000/= Hapo ndio
Itaje tu
 
Ndipo umuhimu wa bima ya afya huonekana
Ukihudumiwa kwa bima Bei inashuka kidogo?

Ishu sio bima Bali kwanini wanafanya huu udhalimu wa kuweka magharama makubwa tofauti na uhalisia,

Yaani wanafurahia kuumwa kwako ili wakupige,

Kuna ki dispensary kimoja kipo sinza karibu na mlimani city,ukienda kufanya vipimo doctor (ndio mmiliki) anakuambia ungechelewa kidogo tulikuwa tunakupoteza yaani Figo zako zinaelekea kufeli,au anakuambia una UTI Kali kiasi Cha kwamba kizazi chako kipo hatarini.

Ukishatetemeshwa ndio anakupiga kwenye gharama za matibabu..

Hospital nyingi binafsi siku hz zimeendekeza njaa
 
Watu wa wakala wa vipimo ( Weight and measures agency) wafanye ukaguzi wa kustukiza kwenye vifaa vya kupimia mahospitalini. Kuna hospitali nilienda kipimo kinaonyesha damu imepungua sana, bahati nzuri daktari akatumia uzoefu wa clinical observation na kugundua kipimo kimedanganya. Akakataa kukubaliana na majibu. Hiyo ni kwenye damu, ni mangapi vipimo hivi vinatusingizia tuna malaria, uti, kichocho, gono, ukimwi, covid 19 na magonjwa mengine kama hayo?

Hospitali havifanyi validation na calibration ya vipimo vyao kwa wakati na hii ni hatari kwa afya za watanzania.
 
Gharama za uendeshaji wa kituo cha afya ni kubwa sana,kodi ya jengo,kodi za biashara,mishahara ya wafanyakazi,bili za maji na umeme.Siwezi sema umepigwa hela kubwa sababu sijui running cost ya hiko kituo.
Nilitembelea hosputali moja ya binafsi hati zilizoninginizwa mapokezi kama kumi hivi zote zinahitaji malipo ya mwezi ama mwaka.
 
Jana nimeenda hospital moja hapa Tegeta kibaoni, na imeshajijua maana ipo peke yake pele kibaoni. Waanapiga bei kubwa sana wateja wao, kujiandikisha tu pale ni 7,500/= na sijui ni yanini maana hata file hupewi mambo yote yapo kwenye system za computer. Baada ya hapo anakwambia inachofuata ukamuone daktari, kumuona daktari ni 15,000/=. Dokata anakupa vipimo ukafanye, achana na gharama za vipimo hizi sibishani nazo.
Moja ya huduma mbovu na za kikatili ni huduma za hospital zooote nchi hii, wanajua hakuna discount, hakuna kulia lia na bei sababu ni matibabu . Ndio maana watu wanaanzia hapa jukwaani ili wapewe ushauri angalau kupunguza machungu ya bei na huduma za kikatili.
 
Ukihudumiwa kwa bima Bei inashuka kidogo?

Ishu sio bima Bali kwanini wanafanya huu udhalimu wa kuweka magharama makubwa tofauti na uhalisia,

Yaani wanafurahia kuumwa kwako ili wakupige,

Kuna ki dispensary kimoja kipo sinza karibu na mlimani city,ukienda kufanya vipimo doctor (ndio mmiliki) anakuambia ungechelewa kidogo tulikuwa tunakupoteza yaani Figo zako zinaelekea kufeli,au anakuambia una UTI Kali kiasi Cha kwamba kizazi chako kipo hatarini.

Ukishatetemeshwa ndio anakupiga kwenye gharama za matibabu..

Hospital nyingi binafsi siku hz zimeendekeza njaa
Ukiwa una bima hawawez kufanya huo upuuzi kwasababu kwa utaratibu wa bima kadri vipimo au dawa zinavyokuwa nying risk ya kukatwa pesa inaongezeka kwahiyo watakupa dawa kulingana na tatizo lako ila cash sasa utaandikiwa mkeka huo utafikir una bet
 
Jana nimeenda hospital moja hapa Tegeta kibaoni, na imeshajijua maana ipo peke yake pele kibaoni. Waanapiga bei kubwa sana wateja wao, kujiandikisha tu pale ni 7,500/= na sijui ni yanini maana hata file hupewi mambo yote yapo kwenye system za computer. Baada ya hapo anakwambia inachofuata ukamuone daktari, kumuona daktari ni 15,000/=. Dokata anakupa vipimo ukafanye, achana na gharama za vipimo hizi sibishani nazo.

Noma ilikuja baada ya vipimo vyote tukaandikiwa sindano 3 na dawa za kutuliza maumivu. Tuliambiwa gharama za sindano moja ni 37,000/= Hapo ndio kengele ikalia kichwani na kujua hapa kuna shida. Nikaomba niandikiwe ni sindano gani ili nichome mbele kwa mbele, hapo dokta akaanza kukataa anasema harusiwi kutoa hicho kitu inaweza kumletea shida kikazi, ilileta ubishi mkubwa sana kwakuwa mimi nimeshalipa kukuona na kila kitu kitoka kwako nimeshalipia na gharama za vipimo hapa niandikie hizo dawa mi niondoke, ndio kwa mbinde nikapewa majina ya hizo dawa.

Nikaenda pharmacy ipo opposite tu na hiyo hospital hizo dawa hapo wanauza 7,000/= tu na lile bomba la sindano ni 500/= Nikamlipa nesi 3000 nikachomwa sindano yaani 10,000/= nikawa nimepata tiba ambayo ilibidi nilipe 37,000/=

HOSPITALI MUWE NA HURUMA NA WATEJA WENU, MTU AKIUMWA ISIWE NAFASI YA KUMPIGA, SIO POA KABISA

Hospital zote wezi mkuu! Na ivi mjuba magu hayupo hamna rangi tutaacha kuona
 
Back
Top Bottom