Hospital gani nzuri mbadala wa Mirembe ya Dodoma?

Hospital gani nzuri mbadala wa Mirembe ya Dodoma?

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,680
Reaction score
37,865
Nimekutana na maswali mengi kuhusu hospitali hospitali yenye ubora wa kutoa huduma nzuri ya kuridhisa ukiacham Agha Khan na TMJ.

Leo nimeona tuweze kupeana habari kuhusu hospitali nzuri ya vichaa mbadala wa hospitali ya Mirembe kule Dodoma.

Asanteni sana.
 
Hahaha
P Diddy kuna jamaa alisema siku hizi anaona unakoelekea sipo.
Sasa ndugu yangu,hembu nikuulize umejifikiriaje juu ya mada hii.
Maana mpaka nahisi kama vie upo Mirembe vile halafu umeonekana unanafuu kidogo ndio umepewa Laptop utumie,namoja kwa moja stim zako zimekuelekeza JF.
 
Hahaha polekwanza pdidy ni mjumuisho wa watumbalimbali usiumize kichwa

Pili nimefikiria kuwaokoa wale wanaoumwa magonjwa ya mirembe bilakujua mbadala wake

Samahani kama nimekugusa na mada hii mojakwamoja mpendwa lengo ni kukusaidia kAMA KUNAMBADALA DAR WASIKURUDISHE DODOMA TENA THIS TYM TUWE WOTE DAR
 
Thx kenedy

Mkuu zanzibar s Kennedy kasaidia ila Bado anakutoa nje ya Dar lengo usitoke Dar tuweze kukusaidia zaidi
 
Nimekutana na maswali mengi kuhusu hospitali hospitali yenye ubora wa kutoa huduma nzuri ya kuridhisa ukiacham Agha Khan na TMJ.

Leo nimeona tuweze kupeana habari kuhusu hospitali nzuri ya vichaa mbadala wa hospitali ya Mirembe kule Dodoma.

Asanteni sana.

kwani wewe ulivyotoka milembe uliona je huduma yao wanayotoa pale?
 
Hahaha
P Diddy kuna jamaa alisema siku hizi anaona unakoelekea sipo.
Sasa ndugu yangu,hembu nikuulize umejifikiriaje juu ya mada hii.
Maana mpaka nahisi kama vie upo Mirembe vile halafu umeonekana unanafuu kidogo ndio umepewa Laptop utumie,namoja kwa moja stim zako zimekuelekeza JF.

Aisee......
 
Hahahah,kweli Pdidy unenda kudata sasa
Yaani unajua kila chizi huwa kuna sehem anaanzia uchizi wake
Wengine sokoni,wengine Hospitali,wengine jalalani,lakini wewe umeanzia humu JF,kazi kweli
 
Hahaha polekwanza pdidy ni mjumuisho wa watumbalimbali usiumize kichwa

Pili nimefikiria kuwaokoa wale wanaoumwa magonjwa ya mirembe bilakujua mbadala wake

Samahani kama nimekugusa na mada hii mojakwamoja mpendwa lengo ni kukusaidia kAMA KUNAMBADALA DAR WASIKURUDISHE DODOMA TENA THIS TYM TUWE WOTE DAR

mirembe ndio hospital ya rufaa
 
Haahaaaaaaaaaa we manosaaa ukousifike kakaaa

Loh watatuchuna ngozii Mara ya mwisho kuzikakinondoni lini
 
Lutindi Mental ipo Korogwe !

Sawia kabisa. Na nyingine ni Haydom Hospitali, ipo Mbulu Manyara. Ile inatoa tiba mapka kwa walioathirika na dawa za kulevya na ulevi wa pombe uliopitiliza kiwango.
 
Nimekutana na maswali mengi kuhusu hospitali hospitali yenye ubora wa kutoa huduma nzuri ya kuridhisa ukiacham Agha Khan na TMJ.

Leo nimeona tuweze kupeana habari kuhusu hospitali nzuri ya vichaa mbadala wa hospitali ya Mirembe kule Dodoma.

Asanteni sana.

Hospitali Nzuri Na Bora Kwa Sasa Ni UKAWA na TANZANIA KWANZA Na Zinapatikana Nchi Nzima.
 
Wana JF naomba mumuombee Pdidy
Jamani anatutoka taratibu kiumbe huyu

Hahaaaaaaaa badobado zs
Ningekuwa kwenye kisiwachetu sawa
Niko huku badobadosana
 

Attachments

  • 1403511081821.jpg
    1403511081821.jpg
    41 KB · Views: 156

Attachments

  • 1403511244724.jpg
    1403511244724.jpg
    67.7 KB · Views: 127
Back
Top Bottom