Hospital gani nzuri mbadala wa Mirembe ya Dodoma?

Hospital gani nzuri mbadala wa Mirembe ya Dodoma?

mkuu mbona umeanza tena kuvuta bange wakati dokta alisema sio nzuri kwa afya yako!?
 
utatuambia saa ngapi?

Mkuu shine sitosahau siku unakuja sehemu ya chakula unadai ndio bfast Yako sitosahau ingawa uliniambia

Usintangaze na wwewe


Kantangaze

Samahani kwahili
 
utatuambia saa ngapi?

HIVI SHINE NIKUMBUSHE WA KWANZA KUTOKA MUREMBE KATIYAKO NA ZANZIBAR SPICE NI NANI VILE???


NAKUMBUKA KKCHEKESHO CHENU MNAENDESHA NDEGE ARDHINI
UKAULIZWA Mbona WEWE USHUKI WENZIO WASHASHUKA UKAJIBU NASUBIRI TRAFFICLIGHT ZA UBUNGO ZIRUHUSU
 
HIVI SHINE NIKUMBUSHE WA KWANZA KUTOKA MUREMBE KATIYAKO NA ZANZIBAR SPICE NI NANI VILE???


NAKUMBUKA KKCHEKESHO CHENU MNAENDESHA NDEGE ARDHINI
UKAULIZWA Mbona WEWE USHUKI WENZIO WASHASHUKA UKAJIBU NASUBIRI TRAFFICLIGHT ZA UBUNGO ZIRUHUSU

Kumbe ndo kilichokupeleka huko? walivyoamua kukutoa walikujaribu je ndo wakajua umepona?
 
Sawia kabisa. Na nyingine ni Haydom Hospitali, ipo Mbulu Manyara. Ile inatoa tiba mapka kwa walioathirika na dawa za kulevya na ulevi wa pombe uliopitiliza kiwango.

Kama Milembe walimshdwa Pdidy haidom watamweza? ama ndo ashasajiliwa kuzurura majalalani sasa!!
 
Mkuu shine sitosahau siku unakuja sehemu ya chakula unadai ndio bfast Yako sitosahau ingawa uliniambia

Usintangaze na wwewe


Kantangaze

Samahani kwahili

Endelea kuambia vituko ulivyokua unavifanya humo maana mbavu sina kama ulikua unafanya huku ukiwa na kumbukumbu
 
Nimekutana na maswali mengi kuhusu hospitali hospitali yenye ubora wa kutoa huduma nzuri ya kuridhisa ukiacham Agha Khan na TMJ.

Leo nimeona tuweze kupeana habari kuhusu hospitali nzuri ya vichaa mbadala wa hospitali ya Mirembe kule Dodoma.

Asanteni sana.

Lutindi Mental Hospital,Muhimbili.Lutindi ni nzuri zaidi.kwani mgojwa wako anaweza kuishi sehemu tulivu na chini yauwangalizi mzuri.ipo milima ya usambara.
 
Makao Makuu ya Chadema Mtaa wa Ufipa, hapo kuna machizi fresh wengi sana
 
Nimekutana na maswali mengi kuhusu hospitali hospitali yenye ubora wa kutoa huduma nzuri ya kuridhisa ukiacham Agha Khan na TMJ.

Leo nimeona tuweze kupeana habari kuhusu hospitali nzuri ya vichaa mbadala wa hospitali ya Mirembe kule Dodoma.

Asanteni sana.

Vipi unataka kuhama hospitali?
 
Mungu msaidie ndugu yetu huyu alietoroka Mirembe Pdidy arudie kwenye hali yake ya kawaida.
Maana anapoeleka sipo kabisa
 
Pdidy juzi nilikuona pale wodi ya vichaa muhimbili ulinichekesha sana, eti hutaki kupanda mchuma upelekwe milembe unaogopa kukutana na kigwangala, hahahaha
 
Back
Top Bottom