Wana JF tusipoangalia hapa baadhi ya watu watuharibia maana nzima ya kuwepo JF kwa kupost vitu ambavyo havina maana wala kutujenga wana JF,kelele za TAKUKURU ni baadhi ya watumishi kutaka madaraka ambayo uwezo nayo hawana hata wakipewa,mfano huyo mkurugenzi mkuu msaidizi kusambaza ujumbe wa maandishi kwa watu na wana JF kuwa DR hossea kaandika barua kwa RAIS ya kuomba kuacha kazi ni,akiri hiyo kweli?na hata RAIS akimtoa hoseah anauhakika gani atakuwa mkurugenzi mkuu?Rais ni mtu makini asiyekurupuka na anavyombo makini kwa kufanya kazi zake,na huyo lilian mashaka harakati za kutaka kuwa mkurugenzi mkuu hakuanza leo,hata alidiliki kutembea na mkubwa furani paradise hotel ili amsaidie kwa JK kupata nafasi hiyo,hata mumewe mzee mashaka analijua hiyo,na lilimshanya ugonjwa wake kupanda na kulazwa AGHA KHAN HOSPITAL ,wana JF fuatilieni records hospital.,
IKULU inajua harakati za mama huyo kabla na baada ya uteuzi huo,kwanza yuko karibu na mafisadi walio wengi,mimi si mwana takukuru lakini nachojua mimi hata kama kuna tatizo katika uchunguzi wao wa RICHMOND si tatizo la DK HOSEAH peke yake ni TAKUKURU yote,sasa huyo mama mashaka wenu yeye atakuwa wapi?
Kwanza anapenda kujionyesha anajua kuliko wenzake,kwa uchunguzi wangu nilipofanya kwa kudodosa baadhi ya rafiki zangu ndani ya PCCB wanadai kuwa anamponda mkurugenzi wa elimu kwa UMMA kuwa hajui hata kuongea kwa kuwa yeye lilian mashaka alikuwa amezoea kuonekana kwenye TV,kama msemaji wa TAKUKURU ,sasa baada ya RAIS kumteua MARY MOSHA,kuwa msemaji nadhani watoto wake mama mashaka huwa wanamuuliza mama mbona siku hizi hatukuoni kwenye TV anakosa jibu.,hivyo kama vipi amwambie JK wabadilishane vyeo,mary mosha na liliani mashaka,suala jingine liliani mashaka anavyosema MKURUGENZI wa uchunguzi si mwanasheria ,kwani kuna ulazima kwa mkurugenzi huyo kuwa mwana sheria?mbona wasaidizi wake ni wanasheria?au kwa kuwa chaguo lao KUHANDA baada ya kukosa nafasi hiyo ndio imekuwa nongwa?MKURUGENZI WA UCHUNGUZI anapitashwa na RAIS baada ya kuwa na vigezo vinavyofaa,hivyo kama hilo nalo babp linamuuma akamwambie JK kuhusu uteuzi wake.
Nakushauri mama mashaka(lilian mashaka)acha majungu,kuponda wenzio,acha kubagua watumishi,mda wa makundi na kuteta wengine acha hata MH RAIS JK alishavunja makundi yote ndani ya CCMsasa ni kazi kwa kwenda mbele,ili kujenga taifa hili changa,kila siku kwend IKULU kupeleka majungu hakukusaidii,wataku... na kukuacha solemba kama alivyofanya aliyepita mpaka ikawa mgogoro na mr mashaka,badilika sasa,maana hata huku ikulu kuna wana JF hivyo tutaendelea kupata data zako.
Na kama hutabadilika nitatoa ushahidi kwenye FORUM YETU TUKUFU.
Mwisho TAKUKURU fanyeni kazi msiogope kelele za baahdi ya wabunge kwani hamjui kuwa ninyi ni adui na baadhi yao baada ya kuwadaka kwa RUSHWA? sasa mkikosea jambo si ndio mahara pa kulipiza?Huyo mbunge OLE SENDEKA si mlimkosakosa kumkamata kwa RUSHWA wakati wa uchaguzi?KILICHOMSAIDIA NI MBIO,YULE MASAI,sasa atasema neno gani jema kwa TAKUKURU? kikubwa ongezeni mafunzo,mbinu mpya na pia mazoezi ya mbio ili kuwakamata watu wenye mbio wakati wa TREP kama MH OLE SENDEKA.
IKULU inajua harakati za mama huyo kabla na baada ya uteuzi huo,kwanza yuko karibu na mafisadi walio wengi,mimi si mwana takukuru lakini nachojua mimi hata kama kuna tatizo katika uchunguzi wao wa RICHMOND si tatizo la DK HOSEAH peke yake ni TAKUKURU yote,sasa huyo mama mashaka wenu yeye atakuwa wapi?
Kwanza anapenda kujionyesha anajua kuliko wenzake,kwa uchunguzi wangu nilipofanya kwa kudodosa baadhi ya rafiki zangu ndani ya PCCB wanadai kuwa anamponda mkurugenzi wa elimu kwa UMMA kuwa hajui hata kuongea kwa kuwa yeye lilian mashaka alikuwa amezoea kuonekana kwenye TV,kama msemaji wa TAKUKURU ,sasa baada ya RAIS kumteua MARY MOSHA,kuwa msemaji nadhani watoto wake mama mashaka huwa wanamuuliza mama mbona siku hizi hatukuoni kwenye TV anakosa jibu.,hivyo kama vipi amwambie JK wabadilishane vyeo,mary mosha na liliani mashaka,suala jingine liliani mashaka anavyosema MKURUGENZI wa uchunguzi si mwanasheria ,kwani kuna ulazima kwa mkurugenzi huyo kuwa mwana sheria?mbona wasaidizi wake ni wanasheria?au kwa kuwa chaguo lao KUHANDA baada ya kukosa nafasi hiyo ndio imekuwa nongwa?MKURUGENZI WA UCHUNGUZI anapitashwa na RAIS baada ya kuwa na vigezo vinavyofaa,hivyo kama hilo nalo babp linamuuma akamwambie JK kuhusu uteuzi wake.
Nakushauri mama mashaka(lilian mashaka)acha majungu,kuponda wenzio,acha kubagua watumishi,mda wa makundi na kuteta wengine acha hata MH RAIS JK alishavunja makundi yote ndani ya CCMsasa ni kazi kwa kwenda mbele,ili kujenga taifa hili changa,kila siku kwend IKULU kupeleka majungu hakukusaidii,wataku... na kukuacha solemba kama alivyofanya aliyepita mpaka ikawa mgogoro na mr mashaka,badilika sasa,maana hata huku ikulu kuna wana JF hivyo tutaendelea kupata data zako.
Na kama hutabadilika nitatoa ushahidi kwenye FORUM YETU TUKUFU.
Mwisho TAKUKURU fanyeni kazi msiogope kelele za baahdi ya wabunge kwani hamjui kuwa ninyi ni adui na baadhi yao baada ya kuwadaka kwa RUSHWA? sasa mkikosea jambo si ndio mahara pa kulipiza?Huyo mbunge OLE SENDEKA si mlimkosakosa kumkamata kwa RUSHWA wakati wa uchaguzi?KILICHOMSAIDIA NI MBIO,YULE MASAI,sasa atasema neno gani jema kwa TAKUKURU? kikubwa ongezeni mafunzo,mbinu mpya na pia mazoezi ya mbio ili kuwakamata watu wenye mbio wakati wa TREP kama MH OLE SENDEKA.