kabla ya kutafakari ya kolimba, anza kwa aliyekuwa katibu mkuu wa TANU sasa CCM, Mh. Oscar Kambona (RIP); yaliyomtokea hadi kutorokea uingeleza nadi kuzikwa kwake hapa Tanzania.
Ukikisema Chama cha CCM vibaya kwa nia ya kukisahihisha basi wewe unakuwa Muasi. waasi huwa hawana nafasi ndani ya chama isipokuwa Nape na Sitta wa CCJ ndiyo waliopona. tu
Ukikisema Chama cha CCM vibaya kwa nia ya kukisahihisha basi wewe unakuwa Muasi. waasi huwa hawana nafasi ndani ya chama isipokuwa Nape na Sitta wa CCJ ndiyo waliopona. tu