Horace Kolimba hafanyiwagi kumbukumbu?

Mimi namkumbuka kwa kauli yake kuwa CHAMA HAKINA DIRA WALA MWELEKEO ambayo kwa sasa ni dhahiri kuliko wakati mwingine

CCM HAKINA MAANA,DIRA, MWELEKEO, AKILI WALA UFAHAMU hivyo naona itakaa vizuri unaweza ukaongeza
 
CCM HAKINA MAANA,DIRA, MWELEKEO, AKILI WALA UFAHAMU hivyo naona itakaa vizuri unaweza ukaongeza

Kweli naweza lakini vichwa vya panzi vya mamluki wa CCM vitakesha bila tija. Ukweli ni hiyo kauli wataikumbuka na watakumbushwa
 
manda1.jpg

Mimi nafikiri ile mic aliyotumia Dodoma ndiyo iwekwe makumbusho! Jamaa alitaka kuipoteza kabisa CCM,Chezea kamati ya ufundi!
 
Kama Mkapa asingweka siku ya Nyerere Day kwenye Public Holiday nafikiri tusingekumbuka hata ni lini alitutoka .................... maana hawa jamaa hwataki hata kusikia ni Baba wa Taifa halafu iwe Kolimba!!??

Hapa kwenye Nyerere day huwa sielewi! Kwa nini isiwe siku aliyozaliwa au aliyokufa? Badala yake inakuwa siku alipochomolewa mashine za kupumulia!
 
Hajafanyiwa kumbukumbu bosi wake Sokoine bado. Not to my knowledge.
 
Nyerere alitunga Kitabu kilichochapishwa Zimbabwe akimponda Hayati Kolimba na Malecela kinaitwa Siasa yetu na Hatma ya Tanzania kisa walimshauri Mzee Mwinyi kukubali ombi la wabunge G55 wakiongozwa na Njelu kasaka kurudisha Serikali halali ya Tanganyika, bado Hayati Kolimba akaendelea kutumia uhuru wa kujieleza akakosoa CCM tena enzi za Mkapa akaitwa Dodoma ajieleze mama yake akakataza akamwambia naenda Dodoma kuuleza Mkutano kuwa Ukuta wa Berlin umeanguka kufukia Woga na Unafki na undumilakuwili, Jamaa wakachukua Roho wakarudisha mwili kwenye sanduku kabla hajazungumza.Sifa kuu ya Kolimba ilikuwa ni kutumia ubongo wake kufikiri na kutumia moyo wake kupata Ujasiri wa kueleza fikra zake !
 
Nyerere alitunga Kitabu kilichochapishwa Zimbabwe akimponda Hayati Kolimba na Malecela kinaitwa Siasa yetu na Hatma ya Tanzania kisa walimshauri Mzee Mwinyi kukubali ombi la wabunge G55 wakiongozwa na Njelu kasaka kurudisha Serikali halali ya Tanganyika, bado Hayati Kolimba akaendelea kutumia uhuru wa kujieleza akakosoa CCM tena enzi za Mkapa akaitwa Dodoma ajieleze mama yake akakataza akamwambia naenda Dodoma kuuleza Mkutano kuwa Ukuta wa Berlin umeanguka kufukia Woga na Unafki na undumilakuwili, Jamaa wakachukua Roho wakarudisha mwili kwenye sanduku kabla hajazungumza.Sifa kuu ya Kolimba ilikuwa ni kutumia ubongo wake kufikiri na kutumia moyo wake kupata Ujasiri wa kueleza fikra zake !

1 + 1 =3
 
RIP Kolimba kwani uliyo yasema ndo sasa yako dhahili. Dira ndani ya Magamba kwisheni wamebakia kubambkizia watu ugaidi wakidhani itawaokoa!
 
The death of former CCM Secretary General and cabinet minister HORACE KOLIMBA (57) on March 13 under extraordinary circumstances was mourned throughout the country. Mr Kolimba had earlier obtained massive publicity by criticising the CCM party for its lack of vision and clear guidelines and had then been attacked verbally by several party colleagues for making such remarks in public. Summoned to Dodoma to explain his views to the party's Central Committee he collapsed during the meeting and then died three hours later. To avoid any allegations of foul play, President Mkapa ordered a post-mortem which found that he had died due to a rupture of the aorta, a natural cause of death.

http://www.tzaffairs.org/1997/05/obituaries-44/
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom