Kamanda Kazi
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 2,613
- 790
Mi najua ni ajali
Horace Kolimba alikua mbnge wa Ludewa kipindi hicho ludewa mkoa wa Iringa ,pia alijua katibu mkuu wa chama cha siasa ccm aliongoza kipindi cha mkapa ana watoto wa 5 ,mkewe yupo kwembe Dsm .Kwa kifupu.Ingependeza kama mtu mmoja anayeijua vizuri historia ya Kolimba ataiweka humu kwa mapana na marefu kwa sababu wengi wetu hatufahamu kwe undani historia ya mtu huyu.
Kolimba alikuwa katibu mkuu wa CCM enzi ya mzee mwinyiHorace Kolimba alikua mbnge wa Ludewa kipindi hicho ludewa mkoa wa Iringa ,pia alijua katibu mkuu wa chama cha siasa ccm aliongoza kipindi cha mkapa ana watoto wa 5 ,mkewe yupo kwembe Dsm .Kwa kifupu.
nakumbuka niliona picha ya huyu mama analia sana kwenye gazeti la Dar Leo kama sijakosea kipindi hicho ilikua huzuni sanaHorace Kolimba alikua mbnge wa Ludewa kipindi hicho ludewa mkoa wa Iringa ,pia alijua katibu mkuu wa chama cha siasa ccm aliongoza kipindi cha mkapa ana watoto wa 5 ,mkewe yupo kwembe Dsm .Kwa kifupu.