Ukweli ni kwamba, biya zinafanya wanawake woooooote kuwa wazuri...........bila biya, wanawake wengine wangekosa wapenzi.
Long Live Biya!
Pia zinachangia wazuri kubadilika na kua wabaya!
Tatizo sio hao wa kuokota usiku...ni wale mnaowaacha nyumbani!Kadri mnavyoongeza kunywa ndo nao wanavyochoka kuwasubiria na chakula kilichopoa kila siku!Kununa kunaanza..kulalamika kunakuja..mwishoni wote mnajikuta hamfurahii maisha tena maana kwako kelele zinazidi na kwake anaona kero zinaongezeka kila siku!
Sasa kwa taarifa yako hao ambao hawanywi biya ndiyo hatari zaidi.
Hebu jiulize, mtu hanywi biya, anatoka kazini saa kumi, nyumbani anarudi saa tano usiku....alikuwa wapi?
Hehehe mi sikatai mnywe..ila tangulizeni wapenzi/wake zenu kabla ya bia.Maana hata siku mkiumwa ndo watakaowaguza na sio bia!Kumbuka...nyie mnaihitaji bia na mtafanya chochote kuipata ila bia haina muda na nyie...usipoitafuta wewe ndo basi tena!
Ukweli ni kwamba, biya zinafanya wanawake woooooote kuwa wazuri...........bila biya, wanawake wengine wangekosa wapenzi.
Long Live Biya!
hao bwana huwa tunawaita viuno!!!Sasa kwa taarifa yako hao ambao hawanywi biya ndiyo hatari zaidi.
Hebu jiulize, mtu hanywi biya, anatoka kazini saa kumi, nyumbani anarudi saa tano usiku....alikuwa wapi?
Nadhani hapa unamaanisha pale BM umeniwekea bili ya Guiness 2 za baridiPost of the MONTH - April 2011
Hahahaha...linadanganya nlikuwa naangalia mpira, au nlikuwa nacheza drafti, au nlikuwa napata gahawa.....kumbe baioloji inapumua kimiminika, masalia ya prodakti ya vitendo vya kuzungusha viuno.hao bwana huwa tunawaita viuno!!!
Hivi mtu anarudije homu saa saba usiku yuko sobaaa ???:help:
Hehehehe...tuwatangulize mbele siyo?
Mbona tulishawatanguliza siku nyingi? Mpaka tukawaapia kabisa na kusaini kwenye vyeti vya serikali....
sasa ili waendelee kuwa mbele, wazuri zaidi, huduma ya uhakika.....ni lazima Biya ihusike
LONG LIVE BIYA!
Noted with many thanks....
Eliza...patiya mimi biya ya baridi...bili kwa mama wa Unga usioisha limited!
Nadhani hapa unamaanisha pale BM umeniwekea bili ya Guiness 2 za baridi
Hahahaha...linadanganya nlikuwa naangalia mpira, au nlikuwa nacheza drafti, au nlikuwa napata gahawa.....kumbe baioloji inapumua kimiminika, masalia ya prodakti ya vitendo vya kuzungusha viuno.
Si acha tujinywee bia....bia...BIYA!
zipo hapa Villa Park... njoo upate guiness, rama atakupa samaki bure
halafu mengi huwa yananuka zile sabuni za malaika --- kigesti-gesti
Aisee ejimeti, itabidi niitafute hiyo mahala, nasikia habari yake imekaa njema.
Hahaha...Vile visabuni bana, sijui vinauzwaje, mara ya mwisho kutumia kalikuwa kanasomeka AYU.....kale ukikatumia hakikisha unajimwagia na bia kidogo, vinginevyo nyumbani ni msala tu!
Na ungejua navyopenda kulipa kwa style....hivi unaipenda ipi vile?
Aisee ejimeti, itabidi niitafute hiyo mahala, nasikia habari yake imekaa njema.
Hahaha...Vile visabuni bana, sijui vinauzwaje, mara ya mwisho kutumia kalikuwa kanasomeka AYU.....kale ukikatumia hakikisha unajimwagia na bia kidogo, vinginevyo nyumbani ni msala tu!