kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,479
- 5,068
wapuuzi hao mbeya vijana Wana uchumi mkubwa sana na ndiyo sehemu kununua nyumba barabaran sikuhiz kama huna million 150 kupanda juu kupanda eneo barabarani ni ishu watu wanajenga majumba ya kifahari iwambi huko ,ivumwe huko na kwingine afu anatokea mjinga mmoja anasema sijui NiniHao ni wale wapuuzi waliokariri..Hao waache hivyo hivyo usiwastue ,nimesema kunguru mwingine akisema eti Mbeya hawajengi nyumba za kisasa nikaishia kucheka tuu.
Mbeya adui wetu ni serikali wao wenyewe wanakwamisha sana maendeleo na kipind cha kikwete ndiyo ilikuwa hatari hujuma tulizofanyiwa hata Leo hii uwanja wa songwe ingekuwa haupo lakin wazee wetu wakina mwandosya walipambana sana na akina mwakyembe kama mnakumbuka hata kuanza kurusha ndege ulianza ukiwa hauna hadhi Ile ambayo nchi za SADC walipanga iwe kikwete na akina lowasa walifanya figisu sana had leo ule uwanja hauna ile hadhi iliyotakiwa lakin lengo ilitakiwa uwe mkubwa ili uweze kusadia kuhudumia mataifa ya ukanda ule lengo ni kuongeza biashara na uwekezaji