Hongereni Wabunge wa Mbeya ila msiishie hapo!

Lord denning

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
13,226
26,048
Miaka ya 2000 niliishi Jiji la Mbeya eneo la Mbalizi. Nilikaa kwenye jiji lile kwa miaka 4

Humu JF nimekuwa mkosoaji mkubwa wa Jiji la Mbeya Hasa kwa namna lilivyojengwa hovyo na nimekuwa nikisema humu halistahili kuwa jiji

Nimekuwa pia mkosoaji sana wa watu wa Mbeya kwamba sio watu wa maendeleo ila ni watu wanaoendekeza ushamba, ujenzi holela na hawajui kubambania maendeleo ya eneo lao hasa kwenye miradi mikubwa ikiwemo kuacha reli ya SGR kujengwa kwenda Kigoma na Mwanza huku wao TAZARA ikizidi kufa!

Baada ya kuanza kwa Bunge la Bajeti napenda kukiri kwa Mara ya kwanza nimependezwa na namna wabunge wa Mbeya walivyoonekana kuanza kuamka hasa baada ya kuanza kudai upanuzi wa barabara zao kuu na ujenzi wa Barabara bora!

Napenda kuwasihi watani zangu hawa kuwa wasiishie kudai barabara Nzuri tu na bypass, waende mbele zaidi kuzilazimisha halmashauri zao kupanga makazi na kuhakikisha ujenzi wampangilio unaanza kufanyika mkoani kwao!

Ni aibu Green city kujengwa hovyo namna ile sasa wabunge wa Mbeya waanze kulazimisha halmashauri zao kupanga makazi na miji yao! Waelimishemi na wananchi wenu basi wajenge nyumba nzuri na za kisasa!

Hongereni wana Mbeya kwa kuamka! Endeleeni kukomaa mjengewe hizo double road na msiache kukomaa pia utanuzi wa Barabara uanzie Mlima nyoka!
 
Miaka ya 2000 niliishi Jiji la Mbeya eneo la Mbalizi. Nilikaa kwenye jiji lile kwa miaka 4

Humu JF nimekuwa mkosoaji mkubwa wa Jiji la Mbeya Hasa kwa namna lilivyojengwa hovyo na nimekuwa nikisema humu halistahili kuwa jiji

Nimekuwa pia mkosoaji sana wa watu wa Mbeya kwamba sio watu wa maendeleo ila ni watu wanaoendekeza ushamba, ujenzi holela na hawajui kubambania maendeleo ya eneo lao hasa kwenye miradi mikubwa ikiwemo kuacha reli ya SGR kujengwa kwenda Kigoma na Mwanza huku wao TAZARA ikizidi kufa!

Baada ya kuanza kwa Bunge la Bajeti napenda kukiri kwa Mara ya kwanza nimependezwa na namna wabunge wa Mbeya walivyoonekana kuanza kuamka hasa baada ya kuanza kudai upanuzi wa barabara zao kuu na ujenzi wa Barabara bora!

Napenda kuwasihi watani zangu hawa kuwa wasiishie kudai barabara Nzuri tu na bypass, waende mbele zaidi kuzilazimisha halmashauri zao kupanga makazi na kuhakikisha ujenzi wampangilio unaanza kufanyika mkoani kwao!

Ni aibu Green city kujengwa hovyo namna ile sasa wabunge wa Mbeya waanze kulazimisha halmashauri zao kupanga makazi na miji yao! Waelimishemi na wananchi wenu basi wajenge nyumba nzuri na za kisasa!

Hongereni wana Mbeya kwa kuamka! Endeleeni kukomaa mjengewe hizo double road na msiache kukomaa pia utanuzi wa Barabara uanzie Mlima nyoka!
Asante kwa ushauri wako mkuu.mi ni mkazi wa Mzaliwa wa Mbeya nakubaliana kabisa na hoja yako kuwa tunajenga nyumba chini ya kiwango pia hatufuati mipango miji.Ila mi mkuu kwetu soko matola kumepangiliwa japo nyumba za kizamani.
 
Miaka ya 2000 niliishi Jiji la Mbeya eneo la Mbalizi. Nilikaa kwenye jiji lile kwa miaka 4

Humu JF nimekuwa mkosoaji mkubwa wa Jiji la Mbeya Hasa kwa namna lilivyojengwa hovyo na nimekuwa nikisema humu halistahili kuwa jiji

Nimekuwa pia mkosoaji sana wa watu wa Mbeya kwamba sio watu wa maendeleo ila ni watu wanaoendekeza ushamba, ujenzi holela na hawajui kubambania maendeleo ya eneo lao hasa kwenye miradi mikubwa ikiwemo kuacha reli ya SGR kujengwa kwenda Kigoma na Mwanza huku wao TAZARA ikizidi kufa!

Baada ya kuanza kwa Bunge la Bajeti napenda kukiri kwa Mara ya kwanza nimependezwa na namna wabunge wa Mbeya walivyoonekana kuanza kuamka hasa baada ya kuanza kudai upanuzi wa barabara zao kuu na ujenzi wa Barabara bora!

Napenda kuwasihi watani zangu hawa kuwa wasiishie kudai barabara Nzuri tu na bypass, waende mbele zaidi kuzilazimisha halmashauri zao kupanga makazi na kuhakikisha ujenzi wampangilio unaanza kufanyika mkoani kwao!

Ni aibu Green city kujengwa hovyo namna ile sasa wabunge wa Mbeya waanze kulazimisha halmashauri zao kupanga makazi na miji yao! Waelimishemi na wananchi wenu basi wajenge nyumba nzuri na za kisasa!

Hongereni wana Mbeya kwa kuamka! Endeleeni kukomaa mjengewe hizo double road na msiache kukomaa pia utanuzi wa Barabara uanzie Mlima nyoka!

Wabunge wa Mbeya? He, wa mchongo!?
 
Asante kwa ushauri wako mkuu.mi ni mkazi wa Mzaliwa wa Mbeya nakubaliana kabisa na hoja yako kuwa tunajenga nyumba chini ya kiwango pia hatufuati mipango miji.Ila mi mkuu kwetu soko matola kumepangiliwa japo nyumba za kizamani.
Mnatakiwa mfanya kazi kubwa sana kuelimishana na kuhamasishana kujenga nyumba nzuri na bora ! Nendeni mkajifunze hata Manyoni tu Singida wanyaturu walivyoamka na kuanza kujenga nyumba nzuri, bora na za kisasa!

Pia msiache kuhamasisha mipango miji! Kati ya sehemu nilizoishi sehemu ambayo ingependeza zaidi hapa Tanzania endapo pamgepangiliwa kimakazi ni Mkoa wa Mbeya!

Chukueni hatua!
 
Mnatakiwa mfanya kazi kubwa sana kuelimishana na kuhamasishana kujenga nyumba nzuri na bora ! Nendeni mkajifunze hata Manyoni tu Singida wanyaturu walivyoamka na kuanza kujenga nyumba nzuri, bora na za kisasa!

Pia msiache kuhamasisha mipango miji! Kati ya sehemu nilizoishi sehemu ambayo ingependeza zaidi hapa Tanzania endapo pamgepangiliwa kimakazi ni Mkoa wa Mbeya!

Chukueni hatua!
Unaposema kufanya kazi kubwa kuelimisha na kuhamasisha huku mapato yao na kodi 'wanazolimwa' kwenye mazao yao yakiwa hayatumiki vyema na halmashauri ni kazi ngumu.


Pia Political fairness ni jambo linaloleta chachu ya maendeleo kwa mji husika, kuwa na mbunge na madiwani wa 'mfukoni' ni ngumu wananchi kuengage na hao wawakilishi wao.
 
Unaposema kufanya kazi kubwa kuelimisha na kuhamasisha huku mapato yao na kodi 'wanazolimwa' kwenye mazao yao yakiwa hayatumiki vyema na halmashauri ni kazi ngumu.


Pia Political fairness ni jambo linaloleta chachu ya maendeleo kwa mji husika, kuwa na mbunge na madiwani wa 'mfukoni' ni ngumu wananchi kuengage na hao wawakilishi wao.
Note: Mbunge asiye wa mfukoni ndiye muhusika wa kipindi kibovu kinachozungumziwa. Amekuwa na maslahi binafsi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom