Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Miaka ya 2000 niliishi Jiji la Mbeya eneo la Mbalizi. Nilikaa kwenye jiji lile kwa miaka 4
Humu JF nimekuwa mkosoaji mkubwa wa Jiji la Mbeya Hasa kwa namna lilivyojengwa hovyo na nimekuwa nikisema humu halistahili kuwa jiji
Nimekuwa pia mkosoaji sana wa watu wa Mbeya kwamba sio watu wa maendeleo ila ni watu wanaoendekeza ushamba, ujenzi holela na hawajui kubambania maendeleo ya eneo lao hasa kwenye miradi mikubwa ikiwemo kuacha reli ya SGR kujengwa kwenda Kigoma na Mwanza huku wao TAZARA ikizidi kufa!
Baada ya kuanza kwa Bunge la Bajeti napenda kukiri kwa Mara ya kwanza nimependezwa na namna wabunge wa Mbeya walivyoonekana kuanza kuamka hasa baada ya kuanza kudai upanuzi wa barabara zao kuu na ujenzi wa Barabara bora!
Napenda kuwasihi watani zangu hawa kuwa wasiishie kudai barabara Nzuri tu na bypass, waende mbele zaidi kuzilazimisha halmashauri zao kupanga makazi na kuhakikisha ujenzi wampangilio unaanza kufanyika mkoani kwao!
Ni aibu Green city kujengwa hovyo namna ile sasa wabunge wa Mbeya waanze kulazimisha halmashauri zao kupanga makazi na miji yao! Waelimishemi na wananchi wenu basi wajenge nyumba nzuri na za kisasa!
Hongereni wana Mbeya kwa kuamka! Endeleeni kukomaa mjengewe hizo double road na msiache kukomaa pia utanuzi wa Barabara uanzie Mlima nyoka!
Humu JF nimekuwa mkosoaji mkubwa wa Jiji la Mbeya Hasa kwa namna lilivyojengwa hovyo na nimekuwa nikisema humu halistahili kuwa jiji
Nimekuwa pia mkosoaji sana wa watu wa Mbeya kwamba sio watu wa maendeleo ila ni watu wanaoendekeza ushamba, ujenzi holela na hawajui kubambania maendeleo ya eneo lao hasa kwenye miradi mikubwa ikiwemo kuacha reli ya SGR kujengwa kwenda Kigoma na Mwanza huku wao TAZARA ikizidi kufa!
Baada ya kuanza kwa Bunge la Bajeti napenda kukiri kwa Mara ya kwanza nimependezwa na namna wabunge wa Mbeya walivyoonekana kuanza kuamka hasa baada ya kuanza kudai upanuzi wa barabara zao kuu na ujenzi wa Barabara bora!
Napenda kuwasihi watani zangu hawa kuwa wasiishie kudai barabara Nzuri tu na bypass, waende mbele zaidi kuzilazimisha halmashauri zao kupanga makazi na kuhakikisha ujenzi wampangilio unaanza kufanyika mkoani kwao!
Ni aibu Green city kujengwa hovyo namna ile sasa wabunge wa Mbeya waanze kulazimisha halmashauri zao kupanga makazi na miji yao! Waelimishemi na wananchi wenu basi wajenge nyumba nzuri na za kisasa!
Hongereni wana Mbeya kwa kuamka! Endeleeni kukomaa mjengewe hizo double road na msiache kukomaa pia utanuzi wa Barabara uanzie Mlima nyoka!