Nkwesa Makambo
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 4,763
- 1,320
Kweli mkuu barabara zimepunguzwa upana sana kiasi kwamba malori mawili kwenda sambamba kama ilivyokuwa zamani ni shida. Zamani ilikuwa magari makubwa na madogo yanaweza kwenda sambamba na kisha nafsi kubaki hata ya mwendesha baiskeli,pikipiki mtembea kwa miguu kupita lakini sasa ni shida. Labda kuwe na mpango wa kupunguza upana wa magari makubwa kama malori na mabasi
Copy and paste Mkuu, yaelekea kule ilimo patikana hii copy barabara haitymiwi na malori, kwa kuwa ni uwazi baadhi ya sehemu masemi trailer inabidi yawe yanasubiriana;mfano mzuri ni eneo kuelekea KIMARA mwisho na kupita daraja la kimara .
Kitu kingine yaonekana ilikochukuliwa copy ya barabara ni ukanda wa Tetemeko la ardhi, hebu angalia reinforcement ya vituuo vya abiria !
Huo mradi na Mkopo uliotumika kufanikisha mtazamo wangu ni uthibitishho tosha kuonyesha uzuzu wa watz ...