Ndugu zangu huu Mradi nitakuwa wa Mwisho Kuusifia!! Angalia Ulivyo na mapungufu Makubwa Katika usanifu (Poor designs) na hukuna jitihada za kusahihisha!! Huwa najiuliza TANROADS WANAFANYA NINI?hivi ni strabag au serikali?
Na ukishatoka ubungo mataa, ukashindwa ku-U- turn SHEKILANGO, safari yk inakuhusu MWEMBECHAI!
zinaondoka mkuuNaomba kujuzwa, barabara za DART zitakuwa na hizi daladala za kawaida tena?
Nauliza hivi coz nilikuwa na argument na rafiki yangu, tulipita njia hiyo lakini sikuona bus stops za kawaida, aside zile za mabasi ya mwendo kasi, ndio maana nauliza, daladala za "kimara-k.koo, kimara-posta, kimara-mwenge'' zitatumia jia hiyo?
wataanza kiubishiHe, ni kweli 10th Jan 2016 mradi unaanza?