Si user friendly kwa mtu anaekwenda kwenye mitaa ya pembeni kwani mingi haina inlet na outlet. Inabidi ugeuzie mbali sana.
Kweli kazi nzuri sana kwa miji ya kisasa
Kasoro ndogo tu ni kwamba Sio rafiki kwa walemavu wavuka njia.
Fuatilia Kipindi alichorusha Zembwela Jpili iliyopita sehem za kuvukia hasa kwa walemavu ndio utapata jibu.