The Magellanic Clouds (or Nubeculae Magellani) are two irregular dwarf galaxies visible in the Southern Celestial Hemisphere; they are members of the Local Group and are orbiting the Milky Way galaxy. Because both show signs of a bar structure, they are often reclassified as Magellanic spiral galaxies.
The two galaxies are:
Large Magellanic Cloud (LMC), approximately 163,000 light-years away
Small Magellanic Cloud (SMC), approximately 206,000 light years away
Ni vibe la hela yote, ni shangwe za volume yote, ni cheers za glasi zote kwa Mashabiki, Wafuasi na Wa-Cloudsnia wote ndani na nje ya Tanzania leo baada ya Mfalme wa show za mchana Mtangazaji Hamisi Mandi maarufu kama B Dozen, B12, B Twangala kutangaza kurejea rasmi Clouds Media Group baada ya...
Naitwa shedrack hussein salim natafuta gari ya mkataba nina uzoefu wa miaka6 kufanya kazi na bolt na Uber kama una gari mpya nitafute tutaongea kama amboyo imetumika pia tutaongea kama itafaa kufanya kazi mawasiliano yangu 0752782204 na 0787404979
Nina uhakika Kitendo chenu cha Kuachana nae (Retrenching Him) pamoja na Watangazaji wenu Wengi wakiwemo Watangazaji Maarufu (Ninaowahifadhi) ambao wanafikia 27 mlitupoteza Wasikilizaji wenu.
Ni Wiki ya Tatu sasa namsikiliza Mtangazaji Mburudishaji na Mchangamshaji Mbwiga Mbwiguke akiwa Clouds...
Serikali yenyewe ipo kimya tuu wa naona yanayoendelea ni Sawa tu, huku wananchi wanateseka.
Ukifika hospital za Serikali hakuna madawa, mfano hospital ya Wilaya ya Mbulu haina hata nyumba ya kihifadi maiti, wananchi wamelala Mika mpaka wamechoka.
Mafuta yamepanda tunaambiwa ni vita ya...
Mtangazaji Mwandamizi wa Kituo cha Clouds Media Sam Sasally Amesema Kuwa Kituo Cha Clouds Hakihusiki na Taarifa zilizosambazwa Kwenda Kumshtaki Mahakamani Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw PAUL MAKONDA
Akichambua Taarifa Iliyoandikwa Katika Gazeti la RAIA MWEMA Inayosema Wakili wa...
Pongezi kwako kwa maamuzi hayo ya kuwa mtangazaji bado ni fursa nzuri naomba nikutakie heri na wanaJF tumtakie heri mbunge huyu mstaafu wa Mikumi.
--
Clouds kupitia mitandao ya kijamii wameandika haya
Jana kwenye mitandao yetu ya kijamii tulisema leo kwenye #PowerBreakFast kwa mara ya kwanza...
Mimi ni mpenzi wa muda mrefu wa vipindi mbalimbali vya CMG. Kabla ya kuondoka kwa Ruge ninafahamu uzuri na ubora wa vipindi CMG ulikuaje na sasa hali ikoje. Kiukweli CMG IMEDORORA!
Haina tena vile vipindi vya amshaamsha ambavyo wapenzi wengi walipenda, mfano asubuhi unapoenda kazini ilikua...
The big brain theory kipindi kimoja kizuri sana kipo Discovery science wale jamaa wamechukua magenius af wanawapa challenge mbalimbali za kisayansi daaah.. wanavyo solve sasa kwa teamwork hadi raha kuna jamaa anaitwa erick ana IQ 142 kumbe keyboard yangu nzima ngoja nianze andika sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.