Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,711
- 221
Safi sana
hata tuonyeshe hayo matatizo ya matumizi ya NSSF kwenye hizi project za ujenzi..nothing wrong with sharing information and data ili kuweza kusupport argument yako
Halafu hebu tuonyeshe ni project ipi bei imeongezwa mara kumi...surely shirika kama hilo lina ma audotors, external auditors na kadhalika na kama kungekua na tatizo wangelisema au naongopa
Basi tuletee mfano wa mradi ahata mmoja ambao umetumia kama mfano wa hoja yako
ubungo plaza....
NSSF ina hela nyingi sana za wanachama na hilo ni jambo la kawaida tu..
tatizo wewe umekuja na picha na ukaanza kusifia NSSF na baadae ukamsifia DG, hiyo picha yako ingeambatana na gharama za ujenzi ingekuwa ume justfy sifa za NSSF
mpaka sasa hivi NSSF ina sifa moja ya kufuja Hela na Manji na viongozi wengine.....
kama wewe unataka kuisafisha NSSF ukiweka picha uweke na budget
polisi, university of dodoma hizo sio govt bonds ambazo NSSF wamenunua kutoka serikalini,
je hiyo ni miradi ya NSSF au serikali
wewe unavyofanya ni kama vile NSSF wanajenga bure kwa hiyo ni serikali au NSSF inatakiwa kupewa credit
48% ya investment za NSSF ni govt bonds, hizo nyumba za polisi na UDOM ni serikali ndio imejenga kwa maneno mengine(NSSF wamejenga alafu wanapewa govt bonds au unaweza kusema investment in govt bonds).
kwa hiyo sahihisha statement siyo NSSF wamejenga bali ni serikali ndio imejenga.