mimi ni mzalendo., sijaajiriwa na mtu yoyote
Boss wako ni mwanadiwani anakulipa buku 7
mimi ni mzalendo., sijaajiriwa na mtu yoyote
Labda yule mungu wanyonyi wa mlima elgoni
Wewe akili zako zinafanana na Avatar yako.
We wakike?
Aliye kuleta hapa duniani.
mdomo mchafu
Hongereni sana makamanda mtashinda tu
Umebakiwa na akili ya kuvukia barabara tu
Watashinda kwa lipi? Cooked information Kama hii? Tunataka facts siyo maneno hapa!
Ndio maana kila siku mipango yenu yote haifanikiwi na kamwe hairafanikiwa!
Nilikuwa Mwananyamala hospital Leo hii nimekutana na makamanda wa CHADEMA, wameenda pale kufanya shughuli za kijamii pamoja na kutoa misaada mbalimbali ya sabuni, juice nk kwa wagonjwa.
Walianza na shughuli za kutoa misaada, mpaka naondoka eneo la hospital walikuwa wanaendelea na usafi ndani ya maeneo ya hospital.
Napenda kuwapongeza mno na kuzidi kuwatia moyo hata kwa hili pia.
Misaada waliyotoa hawakubagua kabila, jinsia, rangi, itikadi wala imani ya MTU.
VIVA CHADEMA!!! VIVA COMRADES...!!!
Kasome ruzuku hiyo kazi yake nini na utajifunza kuliko kukaa kwenye key board tu.hivi hujui chadema wanapewa ruzuku ambazo ni.kodi zetu watanzania?
Don't show your stupidity to that much extentWeka Picha siyo blaablaa hapa ati wametoa msaada thibitisha pasi na Shaka kwa kuweka Picha. Habari za kutunga tunga Hazina nafasi hapa!
JF is the place where we dare to speak the truth with evidence na siyo hongera Kamanda kwa kutoa million Moja kwa kikundi cha wavuja jasho Misungwi bila facts!
Kama huna evidence JF hapakufai!
Au hujui maana ya uzalendo! mzalendo utakuwa wewe ambaye kutwa umekenua mimeno kuwatetea mafisadi wanaowaua watanzania kwa ufisadi wao!mimi ni mzalendo., sijaajiriwa na mtu yoyote
Hili jitu jinga sana.... Linawaza wizi tupuumakini wake upo wapi? Kuchakachua katiba ili mbowe atawale milele?
Wewe ni mwizi.... Huaminiki mbweha weweMi ni mzalendo halisi wa nchi yangu
imekuuma ee... Kafie mbali tumbili weweMbona watu wengi wanatoa msaada hawajitangazi kama Chadema? KIAZI WEWE
Kwa hiyo uwezo wako wa kufikiria ndio umeishia hapa?
Yako ya kuendea LumumbaUmebakiwa na akili ya kuvukia barabara tu