Chadema ni chama makini sana...Hongereni makamanda..
Jaribu kustick kwenye mada husika
mada yenyewe umeileta kiumbea mbea..
Na wewe unachangia kiumbeaumbea.... Unajua kwenye msafara wa mamba kenge pia wamo, isikuumize CHADEMA kwenda mwananyamala kufanya kazi za kijamii, wala usijisikie vibaya mimi kuleta hii mada hapa...Jipange uwe na mchango wenye tija utakaokinusuru chama chako na msururu wa kashfa
huna unachokijuwa. Shukuru ujio Wa smartphone hata vichaa wanamiliki. Sijui umepataje asess ya jf. Cc Matola
You are no longer my concern
laki si pesa na fedha zetu za ESCROW ACCT Tshs 200,000,000,000/" (Two hundred billion, Tshs)
waluzochukua mchana kweupe wanazirudisha lini.???
Wezi wakubwa MaCCM!!
laki si pesa na fedha zetu za ESCROW ACCT Tshs 200,000,000,000/" (Two hundred billion, Tshs)
waluzochukua mchana kweupe wanazirudisha lini.???
Wezi wakubwa MaCCM!!
Usipoteze muda wako kumuuliza hilo swali hana anachojua sanasana atakuja na matusi tuu
mbona wale wahanga na wajane wa mabomu soweto arusha wamewatelekeza?
Waache unafiki. Hakuna mtu anataka msaada wa shetani.
Ingekuwa vizuri kama ungefungua Uzi wako kuhusu hayo unayosema...hapa mada ni kuhusu makamanda kutoa maaada mwananyamala hospital.