jashmoe32
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 1,098
- 437
Waache unafiki. Hakuna mtu anataka msaada wa shetani.
Mkubwa hayo sio maneno ya kusema.Hata mtu akikupa msaada wowote wewe ni kumshukuru Mungu tu.
Waache unafiki. Hakuna mtu anataka msaada wa shetani.
Hapo ndipo ulipologewa! unaimbishwa nyimbo za kipumbavu na wewe kama zuzu unaimba kwa sauti kubwaaaa!!!! halafu unajitangaza kwamba na wewe ni Great Thinker! Si kushangai sana kwani hiyo ndio ajira mliyopewa na vicheche wasiofikiria!
huna unachokijuwa. Shukuru ujio Wa smartphone hata vichaa wanamiliki. Sijui umepataje asess ya jf. Cc Matola
mimi ni mzalendo., sijaajiriwa na mtu yoyote
mimi ni mzalendo., sijaajiriwa na mtu yoyote
mzalendo gani mtetea labda wafu
una kana ajira yako ya lumumba buku 7 per post.
Hongera chadema....
Kila la kheri chadema.
hivi hujui chadema wanapewa ruzuku ambazo ni.kodi zetu watanzania?
Nilikuwa mwananyamala hospital Leo hii nimekutana na makamanda wa CDM, wameenda pale kufanya shughuli za kijamii pamoja na kutoa misaada mbalimbali ya sabuni, juice nk kwa wagonjwa
Walianza na shughuli za kutoa misaada, mpaka naondoka eneo la hospital walikuwa wanaendelea na usafi ndani ya maeneo ya hospital
Napenda kuwapongeza mno na kuzidi kuwatia moyo hata kwa hili pia...misaada waliyotoa hawakubagua kabila, jinsia, rangi, itikadi wala imani ya MTU
VIVA CHADEMA!!! VIVA COMRADES...!!!
yaonekana unachangia huku umelewamada yenyewe umeileta kiumbea mbea..
Nilikuwa Mwananyamala hospital Leo hii nimekutana na makamanda wa CHADEMA, wameenda pale kufanya shughuli za kijamii pamoja na kutoa misaada mbalimbali ya sabuni, juice nk kwa wagonjwa.
Walianza na shughuli za kutoa misaada, mpaka naondoka eneo la hospital walikuwa wanaendelea na usafi ndani ya maeneo ya hospital.
Napenda kuwapongeza mno na kuzidi kuwatia moyo hata kwa hili pia.
Misaada waliyotoa hawakubagua kabila, jinsia, rangi, itikadi wala imani ya MTU.
VIVA CHADEMA!!! VIVA COMRADES...!!!
Mwehu wewe! Magamba wote wehu!
Tumeanza na mungu tunaendelea na mungu na tutamaliza na mungu.peoplessssssssss
Tumeanza na Mungu, tupo na Mungu na tutamaliza na Mungu
Life is tough but it is tougher when you're stupid (John Wayne)Waache unafiki. Hakuna mtu anataka msaada wa shetani.