Hongereni CHADEMA

Hongereni CHADEMA

Usiwe mtu wa kusikia ndugu yangu wala usiwe kama machangudoa was magomeni una ushahidi kuhusu hili unalolisema? Unajaribu kwa nguvu nyingi sana kututoa kwenye topic, hospital ya mwananyamala si ya CHADEMA wala chama chochote cha siasa, CHADEMA wameenda pale kufanya huduma za kijamii kitu ambacho ni chema, hakukuwa na mbwembwe wala nini, Mimi nina mgonjwa pale hata hao CHADEMA hawanifahamu ila naipenda CHADEMA na nimevutiwa na walichokifanya na ndio maana nikaleta mada hii hapa jukwaani
USITUPOTOSHE PIMBI WEWE

Mbona watu wengi wanatoa msaada hawajitangazi kama Chadema? KIAZI WEWE
 
Waache unafiki. Hakuna mtu anataka msaada wa shetani.

ukiwa na roho chafu katika umri huo je ukifikia miaka 70 si utakuwa shetani kamili? Wewe huwezi ona thamanya msaada hua maana wewe si muhitaji, waache wahitaji washukuru kwa msaada huo. Ushabiki wa vyama usikufanye uwe na roho ya kishetani hata kwa mambo ambayo hayahitaji ushetani?
 
angekua wa moshi asingetelekezwa
Hapo ndipo ulipologewa! unaimbishwa nyimbo za kipumbavu na wewe kama zuzu unaimba kwa sauti kubwaaaa!!!! halafu unajitangaza kwamba na wewe ni Great Thinker! Si kushangai sana kwani hiyo ndio ajira mliyopewa na vicheche wasiofikiria!
 
Back
Top Bottom