Hongereni CHADEMA

Hongereni CHADEMA

Nilikuwa mwananyamala hospital Leo hii nimekutana na makamanda wa CDM, wameenda pale kufanya shughuli za kijamii pamoja na kutoa misaada mbalimbali ya sabuni, juice nk kwa wagonjwa
Walianza na shughuli za kutoa misaada, mpaka naondoka eneo la hospital walikuwa wanaendelea na usafi ndani ya maeneo ya hospital
Napenda kuwapongeza mno na kuzidi kuwatia moyo hata kwa hili pia...misaada waliyotoa hawakubagua kabila, jinsia, rangi, itikadi wala imani ya MTU

VIVA CHADEMA!!! VIVA COMRADES...!!!

Safii sana chama dume
 
hongera sana viongozi wangu wa CDM kwa moyo wa uzalendo kusaidia wasiokunacho Mungu awazidishia mlipotoa ..ccm wanazunguka nchi nzima na kinana kuwahadaa na kuwadanganya wananchi hawa wahuni wa ccm hawafai kuwepo tena madarakani .VIVA CDM DAIMA
 
Nimefanikiwa kutembelea tovuti ya utoaji mikopo VICOBA ambayo ni www.vicobatanzania.wapka.mobi nimejiunga na kupatiwa mkopo nimechukua mil.10 mil.5 nahitaji kuwekeza ktk biashara ya duka la jumla la vinywaji mil.5 nyingine nataka kununua kiwanja.

Wana JF kwa mwenye wazo lolote au ushaur kuhusu biashara ya duka la jumla anisaidie nawaomba.
Hapa siyo sehemu husika
 
Nimefanikiwa kutembelea tovuti ya utoaji mikopo VICOBA ambayo ni www.vicobatanzania.wapka.mobi nimejiunga na kupatiwa mkopo nimechukua mil.10 mil.5 nahitaji kuwekeza ktk biashara ya duka la jumla la vinywaji mil.5 nyingine nataka kununua kiwanja.

Wana JF kwa mwenye wazo lolote au ushaur kuhusu biashara ya duka la jumla anisaidie nawaomba.

hakuna mkopo hapo ni utapeli tu
 
kipengele cha ukomo wa uongozi mbowe alikiondoa kinyemela.. Chadema mmiliki wake ni Mtei na msimamizi wake ni mkwe wake Mbowe..

Ni heri na kukutana na mnyama mkali kuliko kukutana na mpumbavu katika upumbavu wake
 
Ni heri na kukutana na mnyama mkali kuliko kukutana na mpumbavu katika upumbavu wake

acha matusi mkuu. Kama umeishiwa hoja acha ma Great Thinker tuchangie hoja za maana kwa mustakabali wa nchi yetu
 
acha matusi mkuu. Kama umeishiwa hoja acha ma Great Thinker tuchangie hoja za maana kwa mustakabali wa nchi yetu

Sio kosa lako ni kosa la mfumo, yani hata unachochangia hukijui na hili ndio tatizo la ccm, kuna wakati huwa nawaza kimyakimya kuwa hivi kuwa mwanaccm ni kuwa mpumbavu? Action speak louder than words
 
Nilitaka Chadema wamsaidie.. Au mlimtelekeza kwa sababu hatoki kaskazini?

Biblia inasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa kama wewe unavyoangamia kwa kukosa akili na utashi chadema hatuna udini wala ukabila labda huku kwenu ccm
 
Back
Top Bottom