Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Chadema ni kama maji usipoyanywa utayaogea pole ukweli ndio umeshafika
Hata wanune mwisho watacheka, chezea cdm weye?
Chadema ni kama maji usipoyanywa utayaogea pole ukweli ndio umeshafika
Hata wanune mwisho watacheka, chezea cdm weye?
jikite kwenye mada
Mada kwako ni ipi mkuu? Kumsifia muuaji wa tembo?
mada ni.kuhusu misaada ya kibaguzi ya chadema
Au mada ni kutorosha twiga hai nje ya nchi? Epa
hiyo fungulia thread yake
Haikuhusu
inanihusu
Cdm hatihitaji magamba
Mmawia you don have to argue with a fool especially from chama chawala
Huna lolote unatapa tapa tu huku jukwaani ,hata jambo jema kwako ni baya huna hata shukrani
mshana jr, jibu lako limenikosha sana
Chama chochote cha siasa kimesajiliwa na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa ,sharti mojawapo ni demokrasia ndani vyama hivyo sasa unaposema Chadema wamechakachua katiba ili mheshimiwa Mbowe aendelee kubaki madarakani huo ni uongo na upotoshaji.Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa ipo wazi unaweza kwenda kutoa taarifa huko hatua zikachukuliwa ila unapotoa shutuma hapa mtandaoni tunakuona kama mjinga tu.
Chama chochote cha siasa kimesajiliwa na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa ,sharti mojawapo ni demokrasia ndani vyama hivyo sasa unaposema Chadema wamechakachua katiba ili mheshimiwa Mbowe aendelee kubaki madarakani huo ni uongo na upotoshaji.Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa ipo wazi unaweza kwenda kutoa taarifa huko hatua zikachukuliwa ila unapotoa shutuma hapa mtandaoni tunakuona kama mjinga tu.
Laki sipesa siku zote ni mjinga anahitaji arudi shule, otherwise ni njaa