Mwanyasi JF-Expert Member Nov 16, 2010 7,955 7,101 Aug 24, 2012 #1 Hongera binti nadhani Kongosho, Erickb52 na wengine wamefurahi. Atakua Preta na PakaJimmy wamekushauri! Sasa King'asti nawe urudishe ile AK 47 yetu! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Hongera binti nadhani Kongosho, Erickb52 na wengine wamefurahi. Atakua Preta na PakaJimmy wamekushauri! Sasa King'asti nawe urudishe ile AK 47 yetu!
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,163 Aug 24, 2012 #2 Wee Mwanyasi wewe, ujue umenistua sana. Mie nimefurahia sana hako kagauni.
Mwanyasi JF-Expert Member Nov 16, 2010 7,955 7,101 Aug 24, 2012 Thread starter #3 Kongosho said: Wee Mwanyasi wewe, ujue umenistua sana. Mie nimefurahia sana hako kagauni. Click to expand... Kaah Kongosho! nini cha kukustua zaidi ya hiyo avatar jamani? Kagauni kazuri kama ka send-off! Mzima lakini wewe?
Kongosho said: Wee Mwanyasi wewe, ujue umenistua sana. Mie nimefurahia sana hako kagauni. Click to expand... Kaah Kongosho! nini cha kukustua zaidi ya hiyo avatar jamani? Kagauni kazuri kama ka send-off! Mzima lakini wewe?
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,163 Aug 24, 2012 #5 Mie mzima Hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu. Dhumuni la waraka huu. . . Mwanyasi said: Kaah Kongosho! nini cha kukustua zaidi ya hiyo avatar jamani? Kagauni kazuri kama ka send-off! Mzima lakini wewe? Click to expand...
Mie mzima Hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu. Dhumuni la waraka huu. . . Mwanyasi said: Kaah Kongosho! nini cha kukustua zaidi ya hiyo avatar jamani? Kagauni kazuri kama ka send-off! Mzima lakini wewe? Click to expand...
Mwanyasi JF-Expert Member Nov 16, 2010 7,955 7,101 Aug 24, 2012 Thread starter #6 Amyner said: Wacha weeh! Click to expand... Amyner we hujafurahi? Hajambo Erickb52? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mwanyasi JF-Expert Member Nov 16, 2010 7,955 7,101 Aug 24, 2012 Thread starter #7 Kongosho said: Mie mzima Hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu. Dhumuni la waraka huu. . . Click to expand... Nilikumiss sana, bibi Mamndenyi kapotelea wapi? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Kongosho said: Mie mzima Hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu. Dhumuni la waraka huu. . . Click to expand... Nilikumiss sana, bibi Mamndenyi kapotelea wapi?
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Aug 24, 2012 #8 mmmmmhhhhh hii avatar inakitu so bure..
Bishanga JF-Expert Member Jun 29, 2008 15,323 10,050 Aug 24, 2012 #9 embu fanyeni fasta mukopi na kuipesti hapa kabla nitonye hajamwamuru aibandue! mi sijaiona bana.
Bishanga JF-Expert Member Jun 29, 2008 15,323 10,050 Aug 24, 2012 #10 Mwanyasi said: Amyner we hujafurahi? Hajambo Erickb52? Click to expand... we unaishi sayari gani? waliachana kitambo hao Amyner yuko na bishanga siku hizi wanajilia raha Majorca. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mwanyasi said: Amyner we hujafurahi? Hajambo Erickb52? Click to expand... we unaishi sayari gani? waliachana kitambo hao Amyner yuko na bishanga siku hizi wanajilia raha Majorca.
Bishanga JF-Expert Member Jun 29, 2008 15,323 10,050 Aug 24, 2012 #11 Kongosho said: Mie mzima Hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu. Dhumuni la waraka huu. . . Click to expand... .....ni kumwambia unaomba ufanye naye tendo la ndoa....... Kongosho kwa watasha bana. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Kongosho said: Mie mzima Hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu. Dhumuni la waraka huu. . . Click to expand... .....ni kumwambia unaomba ufanye naye tendo la ndoa....... Kongosho kwa watasha bana.
Amyner JF-Expert Member Jul 13, 2011 2,397 877 Aug 24, 2012 #13 Bishanga said: we unaishi sayari gani? waliachana kitambo hao Amyner yuko na bishanga siku hizi wanajilia raha Majorca. Click to expand... Hehehe bishanga mi nimekumiss jamani.. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Bishanga said: we unaishi sayari gani? waliachana kitambo hao Amyner yuko na bishanga siku hizi wanajilia raha Majorca. Click to expand... Hehehe bishanga mi nimekumiss jamani..
Amyner JF-Expert Member Jul 13, 2011 2,397 877 Aug 24, 2012 #14 Mwanyasi said: Amyner we hujafurahi? Hajambo Erickb52? Click to expand... Ricky mzima my dear. Atakuja muda si mrefu.. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mwanyasi said: Amyner we hujafurahi? Hajambo Erickb52? Click to expand... Ricky mzima my dear. Atakuja muda si mrefu..
princess enny JF-Expert Member May 27, 2012 1,038 379 Aug 24, 2012 #15 heeeeeeee!!! kapendezaje sasa! yan kawa kwel sweet kama jna lake!!!
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,591 52,281 Aug 24, 2012 #16 Hongera mwaya. je ni tamu kama jina lako.
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Aug 24, 2012 #17 Mwanyasi said: Hongera binti nadhani Kongosho, Erickb52 na wengine wamefurahi. Atakua Preta na PakaJimmy wamekushauri! Sasa King'asti nawe urudishe ile AK 47 yetu! Click to expand... Hehehehe wewe Mwanyasi wewe.........haya athante mwaya lol Ila aliyenishauri ni Bishanga Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mwanyasi said: Hongera binti nadhani Kongosho, Erickb52 na wengine wamefurahi. Atakua Preta na PakaJimmy wamekushauri! Sasa King'asti nawe urudishe ile AK 47 yetu! Click to expand... Hehehehe wewe Mwanyasi wewe.........haya athante mwaya lol Ila aliyenishauri ni Bishanga
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Aug 24, 2012 #18 Mamndenyi said: Hongera mwaya. je ni tamu kama jina lako. Click to expand... Ahsante Mamndenyi......hebu iangalie afu unambie kama ni tamu kama jina langu lol Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mamndenyi said: Hongera mwaya. je ni tamu kama jina lako. Click to expand... Ahsante Mamndenyi......hebu iangalie afu unambie kama ni tamu kama jina langu lol
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Aug 24, 2012 #19 princess enny said: heeeeeeee!!! kapendezaje sasa! yan kawa kwel sweet kama jna lake!!! Click to expand... Hahahaha sante princess enny.....hapo ilikuwa siku ya harusi yangu na Vin Diesel lol Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
princess enny said: heeeeeeee!!! kapendezaje sasa! yan kawa kwel sweet kama jna lake!!! Click to expand... Hahahaha sante princess enny.....hapo ilikuwa siku ya harusi yangu na Vin Diesel lol
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Aug 24, 2012 #20 KARIA said: Jamani miye hoi duh! Ila hongera! Click to expand... Jamani KARIA kwa nini hoi tena? Sante sana! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
KARIA said: Jamani miye hoi duh! Ila hongera! Click to expand... Jamani KARIA kwa nini hoi tena? Sante sana!