Hongera Serikali yetu, kuwatosa Acacia kwa kutowatambua huu ndio uanaume!. acacia kula jeuri yake, faces hostile take over, soon itakuwa kwishney!.

Wanabodi,

Kati ya vifo vyote vya biashara, kifo kibaya kabisa ninaitwa "hostile take over", ambapo biashara inakabwa koo kwa kunyongwa hadi kufa bila kutaka kwa kuuzwa juu kwa juu. Kifo hiki ndicho kinakwenda kuikuta kampuni ya Acacia, Hongera sana kwa Serikali Yetu, Kuwatosa rasmi Acacia Kwa kuandika barua rasmi za kutowatambua, kutakakopelekea kifo rasmi cha Acacia, Huu Ndio Uanaume!. Haiwezekani madini yetu, Tanzania inazungumza na Baba Mtu, Barrick, halafu wewe mtoto tuu, Acacia kila siku ni kuleta nyodo. Sasa Acacia Itakula Jeuri Yake, it Faces a Hostile Take Over from Barrick, and Soon Itakuwa Kwishney!. A thing of the past, a history!.

Tangu kutokea mgogoro wa makinikia ya Acacia, kwanza tulipongeza hatua ya rais Magufuli kuuzuia mchanga wa makinikia Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie ...

Baada ya kuzuiliwa kwa mchanga, Rais Magufuli akaunda Tume zake mbili, zikamletea ripoti zake mbili, baada ya kushuhudia live presentation ya tume ya pili, nilitoa opinion yangu Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni ...

Ripoti za tume hizo zikaosnyesha kuwa siku zote, tumekuwa tukiibiwa, TRA wakaja na bili ya ajabu ya deni ya Dola Bilioni 190 US $ sawa na TZS 424 trilioni kwa fedha za madafu, kuhusu deni hili, sisi wachumi wa Sultani Mangungo wa Msovero ya JF, tukamweleza rais wetu kuwa anadanganywa na kumsihi asidanganyike.
Maendeleo ya kweli TZ Yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye ...

Baada ya deni hilo kuwekwa wazi, Acacia wakatugomea kuwa hawadaiwi na hawalipi. Baba wa Acacia, Barrick akaingilia kati kwa Mwenyekiti wao kuja nchini kuonana na rais Magufuli na kukubali kuwa watalipa, hivyo mazungumzo yakaanza.

Maungumzo yakaisha rasmi na tukatangaziwa makubaliano, kikiwemo sisi kulipwa dola milioni 300 za kuonyeshea nia njema ya kulipa. Katika makubaliano hayo Barrick alionyesha kuwa makubaliano hayo yatatekelezwa baada ya kukubali na Acacia.

Acacia kwanza akatoa taarifa kuwa hayatambui makubaliano hayo kwa vile hakushirikishwa, Hivi Hawa Acacia Wana Adabu Kweli?, Baba Akiishasema Kitu, Mtoto ...lakini siku chache baadae akatoa taarifa ya kukubali kila kitu.
Habari Njema Kutoka Acacia: Wakubali Kila Kitu Ikiwemo Kulipa ...

Sisi wahojaji tukaendelea kuhoji sio tuu uwezo wa Acacia kulipa deni letu la dola bilioni 190, bali hata uwezo Acacia kulipa tuu hata hizo dola milioni 300 za goodwill. Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia ...
Pia tukahoji, kama Acacia ndio determinant wa kutulipa, kwa nini hakushirikishwa kwenye mazungumzo?. Je, wajua kuwa mazungumzo yetu na Barrick ni mazungumzo tu? Mwenye ...

Mapendekezo ya makubaliano ya mwisho yalitolewa na Barrick kuwa sasa Acacia watalipa ile dola milioni 300 tuu na deni lote la dola bilioni 190, tukasamehe, Acacia akaibuka na kuikana Barick kuwa wao hawajui chochote kwa vile hawakushirikishwa, hivyo wanasubiri taarifa rami ya Barrick ndipo watangaze uamuzi. Acacia Yaikana Barrick Mchana Kweupe!. Yatoa Press Release na ...

Acacia wakaibuka kuwa bado hawajapewa makubaliano. Kwanini Mapendekezo ya Makubaliano yetu na Barrick bado hayajafika ...

Siku ya Jumapili, tarehe 19th May 2019, serikali yetu ikafunga kazi!, licha ya kuwa ni Jumapili, sio siku ya kazi, huwezi kuandika barua za kiserikali siku ya Jumapili, lakini kwa serikali ya Magufuli ya Hapa Kazi Tuu, hakuna cha Jumapili wala sikukuu, ni kazi tuu, ikitokea kazi ya urgency kama hizi barua za kutoitambua Acacia, serikali yetu inaingia kazini, Jumapili ya juzi, serikali imeingia kazini, imeziandikia barua migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, kuwaeleza kuwa hawaitambui Acacia, hali iliyoilazimu Barrick kutoa offer ya hostile take over kwa Acacia kuzinunua hisa zote za Acacia, ambazo hazimilikiwa na Barrick, itake isitake, hivyo kuimeza rasmi Acacia kuwa sehemu ya Barrick. na wana hisa wote wa Acacia wamepewa offer ya kuwa wanahisa wa Barrick. Kwa Tanzania Hostile take over iliwahi kutokea kwa kiwanda cha Bia cha Kibo kule Moshi. Tofauti ya hostile take over ile na hii, migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, itaendelea kuwepo, hakuna atakayepoteza kazi na uzalishaji unaendelea, kitakachokufa ni Avavia tuu, nafasi yake inavhukuliwa na Barrick, everything else stays the same.

Kitendo hiki kilichofanywa na serikali yetu kui disown Acacia ni kitendo cha kishujaa sana na huu ndio uanamme. Haiwezekani madini yetu, mtu anayetambulika nchini kama ni mmiliki ni Barrick kupitia Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, huyu Acacia ni mtu wa kuja tuu, hatambuliwi halafu analeta nyodo kibao.
Barua hizo za serikali, zimepelekea leo Acacia na Barrick kutoa press release hizi
.

Japo Acacia ni mtoto wa Barrick, huyu ni mwana mkaidi, kama kawaida ya mwana mkaidi hafaidi mpaka siku ya iddi, hivyo siku ya Iddi ya Acacia imewadia. Funzo tunalolipata hapa ni siku zote
kiburi sii maungwana. Acacia alikuwa jeuri, sasa anakula jeuri yake, soon Acacia itabaki kuwa ni historia, kwishney.

Jumatano Njema.
Paskali
Moja ya kitu kinachonifanya nipende maandiko yako ni ukweli na ufatiliaji wa taarifa wewe mwenyewe ongera kijana
 
Wanabodi,

Kati ya vifo vyote vya biashara, kifo kibaya kabisa ninaitwa "hostile take over", ambapo biashara inakabwa koo kwa kunyongwa hadi kufa bila kutaka kwa kuuzwa juu kwa juu. Kifo hiki ndicho kinakwenda kuikuta kampuni ya Acacia, Hongera sana kwa Serikali Yetu, Kuwatosa rasmi Acacia Kwa kuandika barua rasmi za kutowatambua, kutakakopelekea kifo rasmi cha Acacia, Huu Ndio Uanaume!. Haiwezekani madini yetu, Tanzania inazungumza na Baba Mtu, Barrick, halafu wewe mtoto tuu, Acacia kila siku ni kuleta nyodo. Sasa Acacia Itakula Jeuri Yake, it Faces a Hostile Take Over from Barrick, and Soon Itakuwa Kwishney!. A thing of the past, a history!.

Tangu kutokea mgogoro wa makinikia ya Acacia, kwanza tulipongeza hatua ya rais Magufuli kuuzuia mchanga wa makinikia Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie ...

Baada ya kuzuiliwa kwa mchanga, Rais Magufuli akaunda Tume zake mbili, zikamletea ripoti zake mbili, baada ya kushuhudia live presentation ya tume ya pili, nilitoa opinion yangu Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni ...

Ripoti za tume hizo zikaosnyesha kuwa siku zote, tumekuwa tukiibiwa, TRA wakaja na bili ya ajabu ya deni ya Dola Bilioni 190 US $ sawa na TZS 424 trilioni kwa fedha za madafu, kuhusu deni hili, sisi wachumi wa Sultani Mangungo wa Msovero ya JF, tukamweleza rais wetu kuwa anadanganywa na kumsihi asidanganyike.
Maendeleo ya kweli TZ Yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye ...

Baada ya deni hilo kuwekwa wazi, Acacia wakatugomea kuwa hawadaiwi na hawalipi. Baba wa Acacia, Barrick akaingilia kati kwa Mwenyekiti wao kuja nchini kuonana na rais Magufuli na kukubali kuwa watalipa, hivyo mazungumzo yakaanza.

Maungumzo yakaisha rasmi na tukatangaziwa makubaliano, kikiwemo sisi kulipwa dola milioni 300 za kuonyeshea nia njema ya kulipa. Katika makubaliano hayo Barrick alionyesha kuwa makubaliano hayo yatatekelezwa baada ya kukubali na Acacia.

Acacia kwanza akatoa taarifa kuwa hayatambui makubaliano hayo kwa vile hakushirikishwa, Hivi Hawa Acacia Wana Adabu Kweli?, Baba Akiishasema Kitu, Mtoto ...lakini siku chache baadae akatoa taarifa ya kukubali kila kitu.
Habari Njema Kutoka Acacia: Wakubali Kila Kitu Ikiwemo Kulipa ...

Sisi wahojaji tukaendelea kuhoji sio tuu uwezo wa Acacia kulipa deni letu la dola bilioni 190, bali hata uwezo Acacia kulipa tuu hata hizo dola milioni 300 za goodwill. Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia ...
Pia tukahoji, kama Acacia ndio determinant wa kutulipa, kwa nini hakushirikishwa kwenye mazungumzo?. Je, wajua kuwa mazungumzo yetu na Barrick ni mazungumzo tu? Mwenye ...

Mapendekezo ya makubaliano ya mwisho yalitolewa na Barrick kuwa sasa Acacia watalipa ile dola milioni 300 tuu na deni lote la dola bilioni 190, tukasamehe, Acacia akaibuka na kuikana Barick kuwa wao hawajui chochote kwa vile hawakushirikishwa, hivyo wanasubiri taarifa rami ya Barrick ndipo watangaze uamuzi. Acacia Yaikana Barrick Mchana Kweupe!. Yatoa Press Release na ...

Acacia wakaibuka kuwa bado hawajapewa makubaliano. Kwanini Mapendekezo ya Makubaliano yetu na Barrick bado hayajafika ...

Siku ya Jumapili, tarehe 19th May 2019, serikali yetu ikafunga kazi!, licha ya kuwa ni Jumapili, sio siku ya kazi, huwezi kuandika barua za kiserikali siku ya Jumapili, lakini kwa serikali ya Magufuli ya Hapa Kazi Tuu, hakuna cha Jumapili wala sikukuu, ni kazi tuu, ikitokea kazi ya urgency kama hizi barua za kutoitambua Acacia, serikali yetu inaingia kazini, Jumapili ya juzi, serikali imeingia kazini, imeziandikia barua migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, kuwaeleza kuwa hawaitambui Acacia, hali iliyoilazimu Barrick kutoa offer ya hostile take over kwa Acacia kuzinunua hisa zote za Acacia, ambazo hazimilikiwa na Barrick, itake isitake, hivyo kuimeza rasmi Acacia kuwa sehemu ya Barrick. na wana hisa wote wa Acacia wamepewa offer ya kuwa wanahisa wa Barrick. Kwa Tanzania Hostile take over iliwahi kutokea kwa kiwanda cha Bia cha Kibo kule Moshi. Tofauti ya hostile take over ile na hii, migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, itaendelea kuwepo, hakuna atakayepoteza kazi na uzalishaji unaendelea, kitakachokufa ni Avavia tuu, nafasi yake inavhukuliwa na Barrick, everything else stays the same.

Kitendo hiki kilichofanywa na serikali yetu kui disown Acacia ni kitendo cha kishujaa sana na huu ndio uanamme. Haiwezekani madini yetu, mtu anayetambulika nchini kama ni mmiliki ni Barrick kupitia Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, huyu Acacia ni mtu wa kuja tuu, hatambuliwi halafu analeta nyodo kibao.
Barua hizo za serikali, zimepelekea leo Acacia na Barrick kutoa press release hizi
.

Japo Acacia ni mtoto wa Barrick, huyu ni mwana mkaidi, kama kawaida ya mwana mkaidi hafaidi mpaka siku ya iddi, hivyo siku ya Iddi ya Acacia imewadia. Funzo tunalolipata hapa ni siku zote
kiburi sii maungwana. Acacia alikuwa jeuri, sasa anakula jeuri yake, soon Acacia itabaki kuwa ni historia, kwishney.

Jumatano Njema.
Paskali
P bado unaimani na ccm?
 
P bado unaimani na ccm?
Mkuu Subira the Princess, kuna popote kwenye bandiko hili nimezungumzia CCM, tenganisha CCM na serikali hata kama ni serikali ya CCM, kama ambavyo tunamtenganisha rais Magufuli na Mwenyekiti wa CCM hata kama Mwenyekiti wa CCM na Magufuli na rais wa JMT pia ni Magufuli
P
 
Mkuu Subira the Princess, kuna popote kwenye bandiko hili nimezungumzia CCM, tenganisha CCM na serikali hata kama ni serikali ya CCM, kama ambavyo tunamtenganisha rais Magufuli na Mwenyekiti wa CCM hata kama Mwenyekiti wa CCM na Magufuli na rais wa JMT pia ni Magufuli
P
Sawa kaka, ila kuna ugumu kutenganisha ccm na serikali ya ccm huenda uelewa wangu mdogo
 
Sawa kaka, ila kuna ugumu kutenganisha ccm na serikali ya ccm huenda uelewa wangu mdogo
No wala sio issue ya uelewa mdogo, bali ni kweli, the deviding line between CCM na serikali ya CCM is very thin, and so does Magufuli rais wa nchi na Magufuli Mwenyekiti wa CCM.
P
 
Ni vizuri kuweka akiba ya maneno bwana Pascal maana haya mambo hayaeleweki kabisa kwani lolote bado linaweza kuja kutokea huko mbeleni.
Mkuu Salary Sleep, kauli huumba, badala ya kuweka akiba ya maneno, hivyo kuzuia uumbaji, bora useme ili kauli hiyo unayoisema uimbe jambo zuri litokee.

P
 
Hapa ndo ninapozichukia fikra za umasikini ukidhani kwamba Anguko la Tajiri ndio neema kwako tusichoelewa ni kwamba hata ukimuombea mabaya tajiri hauta badilisha umasikini wako kama huna mipango madhubuti ya kujikwamua ulipo kwama .Paskali uko vizuri kinadharia ya Ujasiri lakini Je kimkakati tutapata hizo dola billion 190 sawa na trillion mia 4 na ushee Au ndo kuthibitisha professional rubbish na kujisifia kua Umasikini wetu unaletwa na mabeberu huku tukisahau kua tuliwaingiza wenyewe kwa jina la wawekezaji ??
 
Hapa ndo ninapozichukia fikra za umasikini ukidhani kwamba Anguko la Tajiri ndio neema kwako tusichoelewa ni kwamba hata ukimuombea mabaya tajiri hauta badilisha umasikini wako kama huna mipango madhubuti ya kujikwamua ulipo kwama .Paskali uko vizuri kinadharia ya Ujasiri lakini Je kimkakati tutapata hizo dola billion 190 sawa na trillion mia 4 na ushee Au ndo kuthibitisha professional rubbish na kujisifia kua Umasikini wetu unaletwa na mabeberu huku tukisahau kua tuliwaingiza wenyewe kwa jina la wawekezaji ??
Mkuu ALI V. MUSSA, deni la dola bilioni 190, lilikuwa deni hewa, ndani ya mazungumzo lilishajadiliwa likafutwa, hivyo katika makubaliano ya mwisho, deni hilo halipo, tumesamehe, na badala yake, sasa tutalipwa kifuta machozi tuu cha zile dola milioni 300 za kishika uchumba.

Tembelea hapa kuona makubaliano ya mwisho ambayo pia yamethibitishwa na taarifa ya Ikulu yetu


P
 
Tukirudi kwenye oil & Gas huku nako Ni yale yale yanaendelea. Baada ya Anadarko kupata reserve kubwa pale Mozambique kaibuka Mmarekani mwingine Occidental Oil, keshafanya takeover kwa Anadarko baada ya kumpiku Chevron.
Major kubwa ambayo inakuja kutikisa Dunia itakuwa kati ya Equinox na Chevron au Equinox na Occidental Oil. Aramco naye anajitahidi kujitanua sababu anaona future yake Ni ndogo kwenye Oil,kule Angola kuna Vita kali sana ya take over inaendelea chini kwa chini.
Hayo ni mambo ya kawaida kwenye Oil and Gas wala hakuna sarakasi hapo muhimu ni host nation kuingia mkataba sahihi with whomever it has to negotiate with at the end.

Hiyo industry imegawanyinka katika sector kuu tatu

1 Upstream ambayo ni risk part of the business imejikitka kwenye exploration and production (E&P) gharama za kufanya hiyo shughuli inaweza fika mpaka $1 billion kama ni majini inategemea na kina na hakuna uhakika wa kukuta reserve ambazo ni worth of commercial exploation. Ukipekuwa website za hizo kampuni zilizovumbua visima utaona wote wanasema wamejikita kwenye E&P only.

Kwa sababu ni very risky na hakuna 100% guarantee za returns ukipekuwa tena utakuta asilimia kubwa ya hayo makampuni yaliyojikita katika E&P ni government sponsored (serikari ndio zinachukua hizo risk nyuma ya pazia) na wakikuta kuna commercial reserves awana shida ya kuendelea mbele zaidi ya kutafuta wateja wakuja kununua.

2. Kuna midstream hawa ndio wanunuaji wa kutoka kwa upstream business wamejikita kwenye kutoa malighafi kwenye chanzo, kusafirisha mpaka kwenye refineries, kuchakata by products, kuweka kwenye storages na kuuza kwa retailers.

3 Downstream hizi ndio biashara ambazo zinauza Oil and Gas moja kwa moja sokoni kupitia vituo vya mafuta etc

Ni makampuni machache sana duniani yenye uwezo ya kushirika throughout the value chain.

Muhimu kwa nchi ni kuelewa capacity za visima na faida inayowezekana, ndio maana watu wengi sana Tanzania awakuelewa zile sheria zilizopitishwa haraka na Professor Muhongo lengo lilikuwa ni kusaidia nchi kutokana na capacity za visima (aindoi finacial skills za kupata mkataba wenye maslahi hiyo sasa inakuwa ni topic nyingine).

Binafsi kutokana na kashfa na dharau alizopewa Professor Muhongo sishauri msomi mwenye kazi ya maana harudi mpaka hiki kizazi cha 50's and 60's kitoke kwenye uongozi fitna nyingi sana (sio kwamba Prof alikuwa akosei) lakini watu wengi awakuelewa ni kiasi gani alikuwa mzalendo kutokana na fani yake.
 
Hayo ni mambo ya kawaida kwenye Oil and Gas wala hakuna sarakasi hapo muhimu ni host nation kuingia mkataba sahihi with whomever it has to negotiate with at the end.

Hiyo industry imegawanyinka katika sector kuu tatu

1 Upstream ambayo ni risk part of the business imejikitka kwenye exploration and production (E&P) gharama za kufanya hiyo shughuli inaweza fika mpaka $1 billion kama ni majini inategemea na kina na hakuna uhakika wa kukuta reserve ambazo ni worth of commercial exploation. Ukipekuwa website za hizo kampuni zilizovumbua visima utaona wote wanasema wamejikita kwenye E&P only.

Kwa sababu ni very ukipekuwa utakua asilimia kubwa ya makampuni yaliyojikita katika E&P ni government na wakikuta kuna reserves awana shida ya kuendelea mbele zaidi ya kutafuta wateja wakuja kununua.

2. Kuna midstream hawa ndio wanunuaji wa kutoka kwa upstream business wamejikita kwenye kutoa malighafi kwenye chanzo, kusafirisha mpaka kwenye refineries, kuchakata by products, kuweka kwenye storages na kuuza kuuza kwa retailers.

3 Downstream hizi ndio biashara ambazo zinauza Oil and Gas moja kwa moja sokoni kupitia vituo vya mafuta etc

Ni makampuni machache sana duniani yenye uwezo ya kushirika throughout the value chain.

Muhimu kwa nchi ni kuelewa capacity za visima na faida inayowezekana, ndio maana watu wengi sana Tanzania awakuelewa zile sheria zilizopitishwa haraka na Professor lengo lilikuwa ni kusaidia nchi kutokana na capacity za visima (aindoi finacial skills za kupata mkataba wenye maslahi hiyo sasa inakuwa ni topic nyingine).

Binafsi kutokana na kashfa na dharau alizopewa Professor Muhongo sishauri msomo mwenye kazi ya maana harudi mpaka hizi kizazi cha 60's kitoke kwenye uongozi fitna nyingi sana (sio kwamba Prof alikuwa akosei) lakini watu wengi awakuelewa ni kiasi gani alikuwa mzalendo kutokana na fani yake.
Nashukuru kwa ufafanuzi wako mkuu, nimeongeza kitu kichwani. Good day.
 
Wanabodi,

Kati ya vifo vyote vya biashara, kifo kibaya kabisa ninaitwa "hostile take over", ambapo biashara inakabwa koo kwa kunyongwa hadi kufa bila kutaka kwa kuuzwa juu kwa juu. Kifo hiki ndicho kinakwenda kuikuta kampuni ya Acacia, Hongera sana kwa Serikali Yetu, Kuwatosa rasmi Acacia Kwa kuandika barua rasmi za kutowatambua, kutakakopelekea kifo rasmi cha Acacia, Huu Ndio Uanaume!. Haiwezekani madini yetu, Tanzania inazungumza na Baba Mtu, Barrick, halafu wewe mtoto tuu, Acacia kila siku ni kuleta nyodo. Sasa Acacia Itakula Jeuri Yake, it Faces a Hostile Take Over from Barrick, and Soon Itakuwa Kwishney!. A thing of the past, a history!.

Tangu kutokea mgogoro wa makinikia ya Acacia, kwanza tulipongeza hatua ya rais Magufuli kuuzuia mchanga wa makinikia Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie ...

Baada ya kuzuiliwa kwa mchanga, Rais Magufuli akaunda Tume zake mbili, zikamletea ripoti zake mbili, baada ya kushuhudia live presentation ya tume ya pili, nilitoa opinion yangu Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni ...

Ripoti za tume hizo zikaosnyesha kuwa siku zote, tumekuwa tukiibiwa, TRA wakaja na bili ya ajabu ya deni ya Dola Bilioni 190 US $ sawa na TZS 424 trilioni kwa fedha za madafu, kuhusu deni hili, sisi wachumi wa Sultani Mangungo wa Msovero ya JF, tukamweleza rais wetu kuwa anadanganywa na kumsihi asidanganyike.
Maendeleo ya kweli TZ Yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye ...

Baada ya deni hilo kuwekwa wazi, Acacia wakatugomea kuwa hawadaiwi na hawalipi. Baba wa Acacia, Barrick akaingilia kati kwa Mwenyekiti wao kuja nchini kuonana na rais Magufuli na kukubali kuwa watalipa, hivyo mazungumzo yakaanza.

Maungumzo yakaisha rasmi na tukatangaziwa makubaliano, kikiwemo sisi kulipwa dola milioni 300 za kuonyeshea nia njema ya kulipa. Katika makubaliano hayo Barrick alionyesha kuwa makubaliano hayo yatatekelezwa baada ya kukubali na Acacia.

Acacia kwanza akatoa taarifa kuwa hayatambui makubaliano hayo kwa vile hakushirikishwa, Hivi Hawa Acacia Wana Adabu Kweli?, Baba Akiishasema Kitu, Mtoto ...lakini siku chache baadae akatoa taarifa ya kukubali kila kitu.
Habari Njema Kutoka Acacia: Wakubali Kila Kitu Ikiwemo Kulipa ...

Sisi wahojaji tukaendelea kuhoji sio tuu uwezo wa Acacia kulipa deni letu la dola bilioni 190, bali hata uwezo Acacia kulipa tuu hata hizo dola milioni 300 za goodwill. Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia ...
Pia tukahoji, kama Acacia ndio determinant wa kutulipa, kwa nini hakushirikishwa kwenye mazungumzo?. Je, wajua kuwa mazungumzo yetu na Barrick ni mazungumzo tu? Mwenye ...

Mapendekezo ya makubaliano ya mwisho yalitolewa na Barrick kuwa sasa Acacia watalipa ile dola milioni 300 tuu na deni lote la dola bilioni 190, tukasamehe, Acacia akaibuka na kuikana Barick kuwa wao hawajui chochote kwa vile hawakushirikishwa, hivyo wanasubiri taarifa rami ya Barrick ndipo watangaze uamuzi. Acacia Yaikana Barrick Mchana Kweupe!. Yatoa Press Release na ...

Acacia wakaibuka kuwa bado hawajapewa makubaliano. Kwanini Mapendekezo ya Makubaliano yetu na Barrick bado hayajafika ...

Siku ya Jumapili, tarehe 19th May 2019, serikali yetu ikafunga kazi!, licha ya kuwa ni Jumapili, sio siku ya kazi, huwezi kuandika barua za kiserikali siku ya Jumapili, lakini kwa serikali ya Magufuli ya Hapa Kazi Tuu, hakuna cha Jumapili wala sikukuu, ni kazi tuu, ikitokea kazi ya urgency kama hizi barua za kutoitambua Acacia, serikali yetu inaingia kazini, Jumapili ya juzi, serikali imeingia kazini, imeziandikia barua migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, kuwaeleza kuwa hawaitambui Acacia, hali iliyoilazimu Barrick kutoa offer ya hostile take over kwa Acacia kuzinunua hisa zote za Acacia, ambazo hazimilikiwa na Barrick, itake isitake, hivyo kuimeza rasmi Acacia kuwa sehemu ya Barrick. na wana hisa wote wa Acacia wamepewa offer ya kuwa wanahisa wa Barrick. Kwa Tanzania Hostile take over iliwahi kutokea kwa kiwanda cha Bia cha Kibo kule Moshi. Tofauti ya hostile take over ile na hii, migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, itaendelea kuwepo, hakuna atakayepoteza kazi na uzalishaji unaendelea, kitakachokufa ni Avavia tuu, nafasi yake inavhukuliwa na Barrick, everything else stays the same.

Kitendo hiki kilichofanywa na serikali yetu kui disown Acacia ni kitendo cha kishujaa sana na huu ndio uanamme. Haiwezekani madini yetu, mtu anayetambulika nchini kama ni mmiliki ni Barrick kupitia Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, huyu Acacia ni mtu wa kuja tuu, hatambuliwi halafu analeta nyodo kibao.
Barua hizo za serikali, zimepelekea leo Acacia na Barrick kutoa press release hizi
.

Japo Acacia ni mtoto wa Barrick, huyu ni mwana mkaidi, kama kawaida ya mwana mkaidi hafaidi mpaka siku ya iddi, hivyo siku ya Iddi ya Acacia imewadia. Funzo tunalolipata hapa ni siku zote
kiburi sii maungwana. Acacia alikuwa jeuri, sasa anakula jeuri yake, soon Acacia itabaki kuwa ni historia, kwishney.

Jumatano Njema.
Paskali
Paskal asante kwa taarifa, ila maneno uliyoyatumia ni makali sana na wakati wake bado

The Company also notes that it has received today an indicative proposal from Barrick to acquire all the issued and to be issued share capital of the Company not already owned or controlled by Barrick. The consideration would be in the form of new common shares in Barrick, with Acacia shareholders receiving 0.153 of a new common share of Barrick for every ordinary share in Acacia.

The Board is considering these developments, and will be taking steps to seek clarification of the GoT’s position. A further announcement will be made in due course. In the meantime, Acacia shareholders are strongly advised to take no action.

This announcement is being made without the consent or approval of Barrick.

There can be no certainty that any offer will be made.

In accordance with Rule 2.6(a) of the Code, Barrick must, by not later than 5.00 p.m. on 18 June 2019, either announce a firm intention to make an offer for Acacia in accordance with Rule 2.7 of the Code or announce that it does not intend to make an offer, in which case the announcement will be treated as a statement to which Rule 2.8 of the Code applies. This deadline will only be extended with the consent of the UK Takeover Panel in accordance with Rule 2.6(c) of the Code.

hizo highlight inaonyesha ACACIA bado wanapambana ila mwisho wa siku wenye hisa watakula pesa ya kutosha
 
Paskal asante kwa taarifa, ila maneno uliyoyatumia ni makali sana na wakati wake bado

The Company also notes that it has received today an indicative proposal from Barrick to acquire all the issued and to be issued share capital of the Company not already owned or controlled by Barrick. The consideration would be in the form of new common shares in Barrick, with Acacia shareholders receiving 0.153 of a new common share of Barrick for every ordinary share in Acacia.

The Board is considering these developments, and will be taking steps to seek clarification of the GoT’s position. A further announcement will be made in due course. In the meantime, Acacia shareholders are strongly advised to take no action.

This announcement is being made without the consent or approval of Barrick.

There can be no certainty that any offer will be made.

In accordance with Rule 2.6(a) of the Code, Barrick must, by not later than 5.00 p.m. on 18 June 2019, either announce a firm intention to make an offer for Acacia in accordance with Rule 2.7 of the Code or announce that it does not intend to make an offer, in which case the announcement will be treated as a statement to which Rule 2.8 of the Code applies. This deadline will only be extended with the consent of the UK Takeover Panel in accordance with Rule 2.6(c) of the Code.

hizo highlight inaonyesha ACACIA bado wanapambana ila mwisho wa siku wenye hisa watakula pesa ya kutosha
Acacia hawawezi tena kupambania chochote, bali watahitaji tuu ufafanuzi kwa nini GOT imeandika barua kwenye migodi yake kuwakana.

Hali hii ni kama kuna mgogoro wa ndoa kati ya mume na mke aliyefumaniwa. Mke akafukuzwa nyumbani kusubiria talaka yake, mke akagoma na kuhamia chumba cha wageni akitumai ni hasira tuu zikipoa mume atamsamehe na ndoa itaendelea.

Katika kusubiri huko mume akaleta chombo kipya nyumbani. Kilichobaki kwa mke huyo ni kufungasha tuu kilicho chake na kujiondokea kwa unyonge.

Acacia is a management company that runs migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, kitendo cha serikali yetu kuwaandika barua migodi hiyo kuwaeleza kuwa hawaitambui Acacia, huku ni kukataliwa, kukataliwa ni kuchungu!. Hali hii ndio iliyoilazimu Barrick kutoa notice ya offer ya hostile take over kwa Acacia. This is just a notice ya offer, offer yenyewe itafuata by June 28. Anachotakiwa kufanya ni kujiandaa tuu kufungasha virago vyake kujiondokea kwa unyonge huku wanahisa wakifaidika na kukwaa hisa nono za kampuni kubwa ya Barrick.

P
 
Back
Top Bottom