Hongera Serikali yetu, kuwatosa Acacia kwa kutowatambua huu ndio uanaume!. acacia kula jeuri yake, faces hostile take over, soon itakuwa kwishney!.

Sawa nimekuelewa Chief

Endelea kuwa MKWELI DAIMA
Mkuu All Truth, ni kweli hivyo ndivyo mimi nilivyo, na kama jina lako lilivyo all truth, mimi ni msema kweli daima, na ukiwa mkweli sana, unaweza kuonekana an enemy of the people.

Mimi ni mkweli na wakweli wenzangu kama mimi, wananielewa.
Serikali ikifanya mazuri, tunaipongeza, ikifanya mabaya tunaikosoa. Kuna watu humu kazi yao ni kukosoa tuu, hata serikali ifanya jema vipi, wao watalikosoa na kulipondea. Ukiwa ni mtu mkweli daima siku zote utausema ukweli, haiwezekani mtu uwe unaona mabaya tuu siku zote, mazuri hujawahi kuyaona,

Kwenye hili mimi nimesimama na rais Magufuli alipouzuia mchanga wa dhahabu wa Acacia na nikampongeza na kushauri

Alipounda zile tume zake mbili na matokeo yake, nilikosoa kwa sababu rais wetu amedanganywa mchana kweupe.

Mazungumzo yalipoanza pia nilikosoa uendeshaji wa usiri kwenye rasilimali za taifa, usiri wa nini kwenye rasilimali za Taifa, hizi ni mali za Watanzania, rais wa Tanzania ni mdhamini tuu, aliyepewa dhamana lakini mali ni zetu, hivyo hapa nilikosoa.

Matokeo ya mazungumzo yalipotangazwa, pia nilikosoa rais wetu kushangilia goodwill money na kuipangia bajeti, hata neno kishika uchumba, nililitunga mimi, kama nilivyotunga neno dhaifu.

Nyodo za Acacia zilinichefua sana, hivyo kitendo cha serikali yetu kutowatambua ni kitendo cha kishujaa kinachohitaji pongezi za dhati.

Pamoja na pongezi hizi lakini ikitokea tukaumaliza mgogoro huu bila kuuchenjua ule mchanga tukajua kilichomo, kiukweli kabisa sisi tutakuwa ni watu wa ajabu kuwahi kutokea.

P.
 
Mkuu Ruby, hii ni hostile take over, hivyo kwanza mauziano ni kitu kinachoitwa share to share, na not necessarily money changingi hands, bali wametoa offer kwa shares zote za Acacia ambazo hazimilikiwi na Barrick kuhamishiwa Barrick kwa
The consideration to own new common shares in Barrick, kwa kila share ya Acacia kununuliwa na Barrick kwa 0.153 hivyo wanahisa wote wa Acacia wanageuka wanahisa wa Barrick, this is an offer no one can resist, ni kama ulikuwa unamiliki Toyota Starlet, halafu jamaa akakupa Range Rover Sport mbadilishane, thamani ya Acacia mbele ya Barrick ni kama mti wa mbuyu na mbegu ya mchicha. No one can say no.
P.​
Well explained. Sasa kama acacia shareholders wataingia barrick hii inaamanisha usiyempenda kaja. This implies that watazania kama watoto wadogo tunachezewa tu hakiri zetu. Ninaamanisha kinachobadilika ni jina tu LA acacia but mambo ni Yale Yale .
 
Huu ni mpango,kulifunika suala la bagamoyo project.tumewajua sana.
Komaeni,na mambo yenye tija,sio acacia ambao kila kukicha wanawadhulumu tu
 
Safi Sana mkuu, angalao wewe umeona hii kitu kwa jicho la pili.

Tunakoelekea mbeleni resources za Dunia umilikaji wake unafanyiwa overhaul
Mfano kwenye Diamond, huwezi fanya biashara ya Diamond ukamruka De beers.

Hii sasa inakuja kwenye Gold, tunakoelekea transactions zake itakuwa Kama Diamond sababu wazalishaji wakubwa wa Gold kama Randgold na Newmont tayari washameshajiunga na Sasa Ni kampuni moja ya Barrick Group.

Tukirudi kwenye oil & Gas huku nako Ni yale yale yanaendelea. Baada ya Anadarko kupata reserve kubwa pale Mozambique kaibuka Mmarekani mwingine Occidental Oil, keshafanya takeover kwa Anadarko baada ya kumpiku Chevron.
Major kubwa ambayo inakuja kutikisa Dunia itakuwa kati ya Equinox na Chevron au Equinox na Occidental Oil. Aramco naye anajitahidi kujitanua sababu anaona future yake Ni ndogo kwenye Oil,kule Angola kuna Vita kali sana ya take over inaendelea chini kwa chini.

Kwenye Iron and other Industrial Minerals wamemuachia Rio Tinto na BHP. Soon tutashuhudia super merger kati ya BHP, Rio Tinto na Vale. Ikikamilika hii Basi natural resources zote zitakuwa chini ya beberu mkuu Mmarekani.

Tunakokwenda kuna giza Sana kuliko tunapotoka.
Hiki kitu alikisema nyerere wakati west and east Germany wanaungana. Hili jambo LA kuungana haya makampuniakubwa ndiyo kifo chetu. Na kwa bahati mbaya we are not bothered but in long term itakula kwetu na visheria vya natural sovereignty, kwa maana we will go no where
 
Well said brother Pasco, as always umenifurahisha mno. This is why I LOVE President MAGUFULI. Wapumbavu waliotangulia wangesema kula uliwe na wasingefanya chochote tungebaki tunaibiwa huku wao wakijinufaisha na familia zao. Kwa kweli inaniuma sana kwa kutokuwa na katiba mpya, we need to hold accountable useless past Presidents na viongozi waliotuingiza mkenge kama kina Membe et al ili tuwanyonge kabisa kabla hawajafa.
kwani katika baraza la mawaziri membe s alikuwa na magufuli kwenye baraza hilo?
 
Sawa nimekuelewa Chief

Endelea kuwa MKWELI DAIMA
Mungu asaidie mawazo hayo yawe ni ya hekima,mwanzoni hata mimi sikuona umuhimu wa tume maana walikuja theoretically mkuu wetu akawaamini bila practicability yoyote,only papers,tukiendelea na hao Barck,jicho la ziada litahitajika maana wamekuwepo tangu wanajua namna za kutubadlishia gia,we still need them "white is white"
 
Mamafia wanaendelea na umafia wao, TISS mnatakiwa muonyeshe umahili wenu hapo.
Barrick na Acacia katika hili wanajua wanachofanya, business complication anazoface ACACIA Tanzania huku Barrick Gold PLC akiwa trusted kama mwenye mbwa kwenye viunga vya Dar es salaam.. Anachofanya Barrick hapa nikumtoa dogo mbele na kumrudisha nyuma gizani maisha yakiendelea kama kawa kule Canada.. ACACIA = BARRICK, TISS kuwa makini hapo.. ACACIA ilianzishwa kwa ajili ya wizi Tanzania lakini ACACIA ni BARRICK na BARRICK ni ACACIA.. Wapi ACACIA anamiliki Migodi mingine zaidi ya Tanzania? mbona pale Lumwana - Zambia bado anaitwa Barrick miaka nenda rudi?, kwanini placer dome, east africa gold mine, Pangea, leo Acacia mbona huko kote mpaka leo BARRICK alikuwa nyuma nyuma??

USHAURI:: Serikali msikubali BARRICK anunue hizo hisa, baadala yake tushikilie kwenye deni letu la ACACIA kifupi tunamdai ACACIA hawezi kulipa aondoke na hizo 40% shares ziwe za Tanzania.. Tukomae kwenye umiliki wa 40% za hisa za ACACIA halafu ndio tukae chini kwenye yale makubaliano lakini iwe kwenye ile 60% maana tayari 40% ni zetu baada yakumtaifisha mwizi ACACIA na kwenye deni letu MWISHO WA SIKU TUNATAKIWA KUWA MAJORITY SHARE HOLDER WITH AROUND 60-70% shares..

Nitarudi baadaye..
Wewe Samurai nimekuelewa vizuri sana kwa viandishi vyako kidooogo tu, hongera kwa hilo.

Lakini wewe Mayala umepigapiga tu, hata uliloandika unalijua wewe mwenyewe, unamezameza maneno, yaani ni sawa km umejiambia tu, na kusifusifu watu kinafiki nafiki, tabia hii siipendi.jirekebishe.

kingine watu wamekubalikubali tu lkn hawaelewi, hawawezi kukupa changa moto sababu ya uana sheria wako wa kuruka na maneno ya kibishi.utaleta reference's za ajabu tu.

Accacia na Barick lao moja, hawaja kwishney unajidanganya,hii kampuni ni Dunia nzima wana chimba Dhahabu karne nyingi, wana hati miliki wanashusha na kupandisha bei wao.

Wa africa takribani wote hamjui matumizi ya dhahabu zaidi ya chain na pete. na hakuna nchi Africa inayo nunua dhahabu, pembe za ndovu, Almas, Tanzanites, ni mambulula wengi isipokuwa nanihiii......

Dhahabu imechimbwa tangu carne nyingi inenda wapi? unajua paschael
kwa faida ya wote tupe matumizi ya dhahabu
 
Tunafurahi vizuri tuuu..yakija kututokea puani Tunalia tena vizuri tuuu pia...yanini kujibana bana mood itayokuja ndio hiyo hiyo tunapambana nayo.
 
Nashukuru kwa analysis yako nzuri.

Bado kuna changamoto iko inaonekana na naona wadau wengi waliochangia huu uzi wameiona, ACACIA = BARRICK & BARRICK = ACACIA, Chochote kinachoendelea kwenye mazungumzo baina ya GOVT na BARRICK tayari BARRICK anakuwa ameshazungumza na ACACIA na naamini kila hatua huwa wanadiscuss ulaya huko na kukubaliana what next, Hata hili la BARRICK kununua hisa naamini walishazungumza na kukubaliana zamani kabla ya hii press release.

Upande wetu tumemuamini BARRICK na kuachana na ACACIA lakini tunatakiwa kujua BARRICK ndio ACACIA hivyo si kweli unapozungumza na BARRICK unakuwa hujazungumza na ACACIA. KINACHOFANYIKA HAPA NI UMAFIA WA KIBIASHARA NA NDIO MAANA ACACIA IPO.

Trend ya mienedendo ya migodi mitatu ya North mara, Bulyanhulu na Buzwagi toka kuanzishwa kwake na kuzarisha kwake ukiingia ndani kabisa kwenye Management huwezi kuacha kuamini uwepo wa ACACIA ni kiinimacho na kuna siri kubwa imejificha. HAPA MWANYIKA LABDA NA ASA MWAIPOPO WANAWEZA KUFAHAMU. Mpaka leo hii kuitwa ACACIA kuna hatua nyingi sana majina yamebadilika kwa justification ambazo toka mwanzo zilihitaji UJASUSI kuilinda nchi, Mbona mpaka leo pale ZAMBIA LUMWANA, KIBALI MINING DRC, MALI mmiliki ni BARRICK na sio ACACIA na tuliambiwa BARRICK aliamua kuicha BARRICK AFRICA kwa ACACIA ili kurahisisha operations zake AFRICA, mbona kule Asia mfano Saudi Arabia mbona Barrick hajauza hisa na kubatiza jina lingine kurahisisha operation zake?.

USHAURI WANGU UKO PALEPALE, KWANINI TUSIKOMAE NA MADENI YETU KWA ACACIA INAYOMILIKI MIGODI MITATU TANZANIA IKIWA NA 40% SHARES? BARRICK AKIJA KAMA MAJORITY SHARE HOLDER KUTAKA MAZUNGUMZO LAZIMA SHARTI LETU LIWE KUMALIZANA NA HUYU ACACIA KWENYE MADENI YETU KWANZA NDIO TUKAE TUZUNGUMZE NA KAMA ACACIA HANA HIZO HELA BASI ZIWE CONVERTED INTO SHARES NA HIZO SHARES ZIWE MALI YA TANZANIA, TUKISHAMILIKI HIZO SHARES NDIO TUKAE SASA KUZUNGUMZA NA BARRICK NAMNA YA KUFANYA OPERATIONS TUKIWA WAMILIKI WA 40% SHARES LAKINI PIA NDIO WAMILIKI WA ENEO AMBALO BARRICK ANAFANYIA SHUGHULI ZAKE AKIWA NA 60%SHARES NA LAZIMA BARRICK ATUAMBIE SASA KAMA WAMILIKI WA ENEO ANAOFFER NINI KWETU? ( hapa tunaweza kukwapua hata 10% shares tukawa 50% to 50%).
Ni kweli kwenye Acacia, nakubaliana na wewe, there is something than what meet the eyes. Barrick walipoanzisha ABG walidai ni divesification ya ku manage African mines, lakini ABG ili manage migodi mitatu tuu ya Tanzania. ABG ndio ikajibadili jina kuwa Acacia na kufanya listing LSE na DSE.

Ukiangalia propectus yao wakati wa listing walionyesha super profits, from then kila mwaka they are making huge profits na hata baada ya kuuzuia mchanga wao, huku wanatoa taarifa kuwa they are loosing 1millions $ per day, lakini their financial reports shows profits.

Tulipowauliza wanapata nini per conteiner la mchanga, walisema hawajui kwa sababu huo umchanga wanauuza kwa wachenjuaji hawajui mchenjuaji anachopata, na hii transactions za mchanga zinafanyikia SA.

Hadi hapa tunapozungumza maofisa wa 6 wa Acicia wako ndani miongoni mwao ni wazungu wawili na waafrika 4.

Kiukweli sisi ni nchi ya ajabu, inteligensia yetu iko busy kikimbizana na wapinzani badala ya ku deal na issues kama hizi.
P.
 
Wanabodi,

Kati ya vifo vyote vya biashara, kifo kibaya kabisa ninaitwa "hostile take over", ambapo biashara inakabwa koo kwa kunyongwa hadi kufa bila kutaka kwa kuuzwa juu kwa juu. Kifo hiki ndicho kinakwenda kuikuta kampuni ya Acacia, Hongera sana kwa Serikali Yetu, Kuwatosa rasmi Acacia Kwa kuandika barua rasmi za kutowatambua, kutakakopelekea kifo rasmi cha Acacia, Huu Ndio Uanaume!. Haiwezekani madini yetu, Tanzania inazungumza na Baba Mtu, Barrick, halafu wewe mtoto tuu, Acacia kila siku ni kuleta nyodo. Sasa Acacia Itakula Jeuri Yake, it Faces a Hostile Take Over from Barrick, and Soon Itakuwa Kwishney!. A thing of the past, a history!.

Tangu kutokea mgogoro wa makinikia ya Acacia, kwanza tulipongeza hatua ya rais Magufuli kuuzuia mchanga wa makinikia Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie ...

Baada ya kuzuiliwa kwa mchanga, Rais Magufuli akaunda Tume zake mbili, zikamletea ripoti zake mbili, baada ya kushuhudia live presentation ya tume ya pili, nilitoa opinion yangu Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni ...

Ripoti za tume hizo zikaosnyesha kuwa siku zote, tumekuwa tukiibiwa, TRA wakaja na bili ya ajabu ya deni ya Dola Bilioni 190 US $ sawa na TZS 424 trilioni kwa fedha za madafu, kuhusu deni hili, sisi wachumi wa Sultani Mangungo wa Msovero ya JF, tukamweleza rais wetu kuwa anadanganywa na kumsihi asidanganyike.
Maendeleo ya kweli TZ Yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye ...

Baada ya deni hilo kuwekwa wazi, Acacia wakatugomea kuwa hawadaiwi na hawalipi. Baba wa Acacia, Barrick akaingilia kati kwa Mwenyekiti wao kuja nchini kuonana na rais Magufuli na kukubali kuwa watalipa, hivyo mazungumzo yakaanza.

Maungumzo yakaisha rasmi na tukatangaziwa makubaliano, kikiwemo sisi kulipwa dola milioni 300 za kuonyeshea nia njema ya kulipa. Katika makubaliano hayo Barrick alionyesha kuwa makubaliano hayo yatatekelezwa baada ya kukubali na Acacia.

Acacia kwanza akatoa taarifa kuwa hayatambui makubaliano hayo kwa vile hakushirikishwa, Hivi Hawa Acacia Wana Adabu Kweli?, Baba Akiishasema Kitu, Mtoto ...lakini siku chache baadae akatoa taarifa ya kukubali kila kitu.
Habari Njema Kutoka Acacia: Wakubali Kila Kitu Ikiwemo Kulipa ...

Sisi wahojaji tukaendelea kuhoji sio tuu uwezo wa Acacia kulipa deni letu la dola bilioni 190, bali hata uwezo Acacia kulipa tuu hata hizo dola milioni 300 za goodwill. Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia ...
Pia tukahoji, kama Acacia ndio determinant wa kutulipa, kwa nini hakushirikishwa kwenye mazungumzo?. Je, wajua kuwa mazungumzo yetu na Barrick ni mazungumzo tu? Mwenye ...

Mapendekezo ya makubaliano ya mwisho yalitolewa na Barrick kuwa sasa Acacia watalipa ile dola milioni 300 tuu na deni lote la dola bilioni 190, tukasamehe, Acacia akaibuka na kuikana Barick kuwa wao hawajui chochote kwa vile hawakushirikishwa, hivyo wanasubiri taarifa rami ya Barrick ndipo watangaze uamuzi. Acacia Yaikana Barrick Mchana Kweupe!. Yatoa Press Release na ...

Acacia wakaibuka kuwa bado hawajapewa makubaliano. Kwanini Mapendekezo ya Makubaliano yetu na Barrick bado hayajafika ...

Siku ya Jumapili, tarehe 19th May 2019, serikali yetu ikafunga kazi!, licha ya kuwa ni Jumapili, sio siku ya kazi, huwezi kuandika barua za kiserikali siku ya Jumapili, lakini kwa serikali ya Magufuli ya Hapa Kazi Tuu, hakuna cha Jumapili wala sikukuu, ni kazi tuu, ikitokea kazi ya urgency kama hizi barua za kutoitambua Acacia, serikali yetu inaingia kazini, Jumapili ya juzi, serikali imeingia kazini, imeziandikia barua migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, kuwaeleza kuwa hawaitambui Acacia, hali iliyoilazimu Barrick kutoa offer ya hostile take over kwa Acacia kuzinunua hisa zote za Acacia, ambazo hazimilikiwa na Barrick, itake isitake, hivyo kuimeza rasmi Acacia kuwa sehemu ya Barrick. na wana hisa wote wa Acacia wamepewa offer ya kuwa wanahisa wa Barrick. Kwa Tanzania Hostile take over iliwahi kutokea kwa kiwanda cha Bia cha Kibo kule Moshi. Tofauti ya hostile take over ile na hii, migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, itaendelea kuwepo, hakuna atakayepoteza kazi na uzalishaji unaendelea, kitakachokufa ni Avavia tuu, nafasi yake inavhukuliwa na Barrick, everything else stays the same.

Kitendo hiki kilichofanywa na serikali yetu kui disown Acacia ni kitendo cha kishujaa sana na huu ndio uanamme. Haiwezekani madini yetu, mtu anayetambulika nchini kama ni mmiliki ni Barrick kupitia Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, huyu Acacia ni mtu wa kuja tuu, hatambuliwi halafu analeta nyodo kibao.
Barua hizo za serikali, zimepelekea leo Acacia na Barrick kutoa press release hizi
.

Japo Acacia ni mtoto wa Barrick, huyu ni mwana mkaidi, kama kawaida ya mwana mkaidi hafaidi mpaka siku ya iddi, hivyo siku ya Iddi ya Acacia imewadia. Funzo tunalolipata hapa ni siku zote
kiburi sii maungwana. Acacia alikuwa jeuri, sasa anakula jeuri yake, soon Acacia itabaki kuwa ni historia, kwishney.

Jumatano Njema.
Paskali
Hivi Paskali uanaume uko wapi hapo? wanakupa share wanavyotaka. tena wana JF mkijua tunachopewa ni aibu nene, wanachimba wanavyotaka, utaalamu wa dhahabu huna. wasomi wabongo hamjui matumizi yake, hata wakiacha machine hapo muendelee kuchimba itawashinda tuuu. Ardhi ni yako, wewe ni kiongozi una majeshi ya kutosha wasomi.wataalamu, si uwatumie tuone.

Mtamuuzia nani huko ulaya zaidi ya wao, (yaani council of 13) wana control world finance, utapita uwanja upi wa ndege bila kudhibitiwa? pamoja na kuwa wasukuma dhahabu inatoka uani kwenu hamruhusiwi kuigusa. sana mtachezea goroli za bao. mnalia njaa kila siku, mnataka mahindi ya msaada hamuendi kwenu mayala umeenda lini kijijini? kuweni wapole tu hakuna cha uanaume hapo.mmeshikwa pabaya. Kenya inaongoza kwa kuuza dhahabu ya Tanzania,kupitia wazungu wa kenya. Almasi ya Lesotho ni super brand inachukuliwa na kaburu, lkn watu wake maskini inapita tu.

Inawezekana uelewa wa watawala ikawa ni tatizo. au wanajua ila wanacheza politics dances. Hii Dunia ni zaidi ya uionavyo na kudhani ina mambo mengi ya ajabu sana kimaslahi.
 
Wanabodi,

Kati ya vifo vyote vya biashara, kifo kibaya kabisa ninaitwa "hostile take over", ambapo biashara inakabwa koo kwa kunyongwa hadi kufa bila kutaka kwa kuuzwa juu kwa juu. Kifo hiki ndicho kinakwenda kuikuta kampuni ya Acacia, Hongera sana kwa Serikali Yetu, Kuwatosa rasmi Acacia Kwa kuandika barua rasmi za kutowatambua, kutakakopelekea kifo rasmi cha Acacia, Huu Ndio Uanaume!. Haiwezekani madini yetu, Tanzania inazungumza na Baba Mtu, Barrick, halafu wewe mtoto tuu, Acacia kila siku ni kuleta nyodo. Sasa Acacia Itakula Jeuri Yake, it Faces a Hostile Take Over from Barrick, and Soon Itakuwa Kwishney!. A thing of the past, a history!.

Tangu kutokea mgogoro wa makinikia ya Acacia, kwanza tulipongeza hatua ya rais Magufuli kuuzuia mchanga wa makinikia Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie ...

Baada ya kuzuiliwa kwa mchanga, Rais Magufuli akaunda Tume zake mbili, zikamletea ripoti zake mbili, baada ya kushuhudia live presentation ya tume ya pili, nilitoa opinion yangu Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni ...

Ripoti za tume hizo zikaosnyesha kuwa siku zote, tumekuwa tukiibiwa, TRA wakaja na bili ya ajabu ya deni ya Dola Bilioni 190 US $ sawa na TZS 424 trilioni kwa fedha za madafu, kuhusu deni hili, sisi wachumi wa Sultani Mangungo wa Msovero ya JF, tukamweleza rais wetu kuwa anadanganywa na kumsihi asidanganyike.
Maendeleo ya kweli TZ Yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye ...

Baada ya deni hilo kuwekwa wazi, Acacia wakatugomea kuwa hawadaiwi na hawalipi. Baba wa Acacia, Barrick akaingilia kati kwa Mwenyekiti wao kuja nchini kuonana na rais Magufuli na kukubali kuwa watalipa, hivyo mazungumzo yakaanza.

Maungumzo yakaisha rasmi na tukatangaziwa makubaliano, kikiwemo sisi kulipwa dola milioni 300 za kuonyeshea nia njema ya kulipa. Katika makubaliano hayo Barrick alionyesha kuwa makubaliano hayo yatatekelezwa baada ya kukubali na Acacia.

Acacia kwanza akatoa taarifa kuwa hayatambui makubaliano hayo kwa vile hakushirikishwa, Hivi Hawa Acacia Wana Adabu Kweli?, Baba Akiishasema Kitu, Mtoto ...lakini siku chache baadae akatoa taarifa ya kukubali kila kitu.
Habari Njema Kutoka Acacia: Wakubali Kila Kitu Ikiwemo Kulipa ...

Sisi wahojaji tukaendelea kuhoji sio tuu uwezo wa Acacia kulipa deni letu la dola bilioni 190, bali hata uwezo Acacia kulipa tuu hata hizo dola milioni 300 za goodwill. Dola milioni 300, siku 90, sentano kipande haijalipwa! acacia ...
Pia tukahoji, kama Acacia ndio determinant wa kutulipa, kwa nini hakushirikishwa kwenye mazungumzo?. Je, wajua kuwa mazungumzo yetu na Barrick ni mazungumzo tu? Mwenye ...

Mapendekezo ya makubaliano ya mwisho yalitolewa na Barrick kuwa sasa Acacia watalipa ile dola milioni 300 tuu na deni lote la dola bilioni 190, tukasamehe, Acacia akaibuka na kuikana Barick kuwa wao hawajui chochote kwa vile hawakushirikishwa, hivyo wanasubiri taarifa rami ya Barrick ndipo watangaze uamuzi. Acacia Yaikana Barrick Mchana Kweupe!. Yatoa Press Release na ...

Acacia wakaibuka kuwa bado hawajapewa makubaliano. Kwanini Mapendekezo ya Makubaliano yetu na Barrick bado hayajafika ...

Siku ya Jumapili, tarehe 19th May 2019, serikali yetu ikafunga kazi!, licha ya kuwa ni Jumapili, sio siku ya kazi, huwezi kuandika barua za kiserikali siku ya Jumapili, lakini kwa serikali ya Magufuli ya Hapa Kazi Tuu, hakuna cha Jumapili wala sikukuu, ni kazi tuu, ikitokea kazi ya urgency kama hizi barua za kutoitambua Acacia, serikali yetu inaingia kazini, Jumapili ya juzi, serikali imeingia kazini, imeziandikia barua migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, kuwaeleza kuwa hawaitambui Acacia, hali iliyoilazimu Barrick kutoa offer ya hostile take over kwa Acacia kuzinunua hisa zote za Acacia, ambazo hazimilikiwa na Barrick, itake isitake, hivyo kuimeza rasmi Acacia kuwa sehemu ya Barrick. na wana hisa wote wa Acacia wamepewa offer ya kuwa wanahisa wa Barrick. Kwa Tanzania Hostile take over iliwahi kutokea kwa kiwanda cha Bia cha Kibo kule Moshi. Tofauti ya hostile take over ile na hii, migodi ya Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, itaendelea kuwepo, hakuna atakayepoteza kazi na uzalishaji unaendelea, kitakachokufa ni Avavia tuu, nafasi yake inavhukuliwa na Barrick, everything else stays the same.

Kitendo hiki kilichofanywa na serikali yetu kui disown Acacia ni kitendo cha kishujaa sana na huu ndio uanamme. Haiwezekani madini yetu, mtu anayetambulika nchini kama ni mmiliki ni Barrick kupitia Bulyanhulu Gold Mine Limited, North Mara Gold Mine Limited na Pangea Minerals Limited, huyu Acacia ni mtu wa kuja tuu, hatambuliwi halafu analeta nyodo kibao.
Barua hizo za serikali, zimepelekea leo Acacia na Barrick kutoa press release hizi
.

Japo Acacia ni mtoto wa Barrick, huyu ni mwana mkaidi, kama kawaida ya mwana mkaidi hafaidi mpaka siku ya iddi, hivyo siku ya Iddi ya Acacia imewadia. Funzo tunalolipata hapa ni siku zote
kiburi sii maungwana. Acacia alikuwa jeuri, sasa anakula jeuri yake, soon Acacia itabaki kuwa ni historia, kwishney.

Jumatano Njema.
Paskali
Paskali haya ya kuhusu uchumi wa kuzalisha na kuingiza pesa serikali na raisi bado wangeweza kufanya vizuri ila uchumi wa kutumia zilizoingia hiyo wanasiasa bado wanalalamika. Tunajua ajendabado tunatakiwa kumsifu raisi na serikali lakini ebu uchambuzi uhusishe na namba kama opportunitity costs tulizopoteza kutokana namaamuzi, pili ni mapato kiasi gani hatukupata toka uzalishaji usimame, vipi kuhusu idadi ya wafanyakazi nawafanyabiashara waliopoteza kipato, halmashauiri zimekosa mrabaha wa how much, , TRA HAWakukusanya sh. Ngapi manake tunaona ujazxband tu unaendelea kwa hayo masoko mapya ya dhahabu jana tuliona Mbeya wanajinasibu wameuza 82kg lakini uzalishaji wa hawa wakubwa kwa mwezi hamsemi ni kiasi gani.

Paskali wengine hatukubali kama serikali inaweza fanya biashara hasa hizi za kiafrika ambazo haziko wazi pili Acacia au Barick hawajapoteza kitu sababu wao walidownsize operations kukata fixed cost lakini muda wote wa mgogoro waliendelea kuzalisha dhahabu kwa gharama ya chini mno, ukijifunza kutoka uvuvi, korosho na etal bado watawala hawajajifunza biashara ya leo duniani.

Wakati mkipongezana mturuhusu wengine tuendelee kufikiri na kuona tofauti na nyie, kama Acacia na Barrick sie tunaona wote ni hao hao tu, kamw wenyewe walivyotwambia 2014 wanabadili jina na logo tu na tulikula ng'ombe na mpoki,masnja,joti waliburudisha kutwa nzima nyamongo mwaka huo leo ukisema ni watu tofautisie tunawaona ushamba bado mnao mwingi tu.
 
Mamafia wanaendelea na umafia wao, TISS mnatakiwa muonyeshe umahili wenu hapo.
Barrick na Acacia katika nhili wanajua wanachofanya, business complication anazoface ACACIA Tanzania huku Barrick Gold PLC akiwa trusted kama mwenye mbwa kwenye viunga vya Dar es salaam.. Anachofanya Barrick hapa nikumtoa dogo mbele na kumrudisha nyuma gizani maisha yakiendelea kama kawa kule Canada.. ACACIA = BARRICK, TISS kuwa makini hapo.. ACACIA ilianzishwa kwa ajili ya wizi Tanzania lakini ACACIA ni BARRICK na BARRICK ni ACACIA.. Wapi ACACIA anamiliki Migodi mingine zaidi ya Tanzania? mbona pale Lumwana - Zambia bado anaitwa Barrick miaka nenda rudi?, kwanini placer dome, east africa gold mine, Pangea, leo Acacia mbona huko kote mpaka leo BARRICK alikuwa nyuma nyuma??


USHAURI:: Serikali msikubali BARRICK anunue hizo hisa, baadala yake tushikilie kwenye deni letu la ACACIA kifupi tunamdai ACACIA hawezi kulipa aondoke na hizo 40% shares ziwe za Tanzania.. Tukomae kwenye umiliki wa 40% za hisa za ACACIA halafu ndio tukae chini kwenye yale makubaliano lakini iwe kwenye ile 60% maana tayari 40% ni zetu baada yakumtaifisha mwizi ACACIA na kwenye deni letu MWISHO WA SIKU TUNATAKIWA KUWA MAJORITY SHARE HOLDER WITH AROUND 60-70% shares..[/QUOTE]


Ushauri mzuri. Je utapokekewa?
 
Back
Top Bottom