Hongera serikali kusikia kilio cha tozo

Rashda Zunde

Senior Member
May 28, 2022
199
231
Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imetangaza kufuta tozo tatu za miamala ya kieletroniki kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu.

Naipongeza serikali kwa kuwa sikivu na kuja na marekebisho yaliyowezesha kufutwa baadhi ya tozo. Aidha, naungana na wasomi na wabunge walioshauri kuangalia namna ya kuongeza wigo wa walipa kodi nchini, kwani ukweli ni wkamba wanaolipa kodi ni wachache kuliko wanaostahili.

Pia kama Watanzania tunapaswa kutambua kwamba hakuna nchi inayoendelea bila kutoza kodi watu wake hivyo tujitahidi kulipa kodi na tozo ili tupate maendeleo tunayoyahitaji.

Hata misaada inayotolewa na nchi washirikia wa maendeleo inatokana na kodi za wananchi wake, hivyo Watanzania wote wanapaswa kujenga utamaduni wa kulipa kodi ili fedha zake zitumike kuwaletea maendeleo.

Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe. Kazi Iendelee kwa sababu Mama Yuko Kazini.
 
Serikali haitakiwi kupongezwa zaidi ya kulaumiwa kwa kuwaletea wananchi mzigo huo.
Haiwezekani utengeneze tatizo wewe mwenyewe halafu ukilaumiwa ulitatue halafu etiupongezwe
Utakuwa huna akili wewe mtoa post
Tozo sio mzigo, bila tozo baadhi ya miradi ya kimaendeleo haiwezi kutekelezeka, keep that in mind.
 
akili zako fupi, Serikali inatoza kodi , kodi ndio msingi wa maendeleo na zinakuwa kisheria ila tozo ni wizi na wala hazipo kisheria ndio maana wamezifuta kama walivyozipitisha kienyeji
Tozo zipo kisheria na ndio zinasaidia kuleta maendeleo kwenye maeneo mbalimbali nchini. Miradi inakamilika, shule zinajengwa, vifaa vinanunuliwa hopsitali kwa kutumia tozo. Tozo kwa maendeleo.
 
Naomba nitajie nchi moja tu amabyo haina tozo.
Akili za Uvccm hapo ndio mwisho wa kufikiri.

Hivi maisha ya Watanzania utafananisha na nchi zinazojitambuwa kwenye huduma za jamii?
Usifananishe vitu usivyovijuwa.
 

Attachments

  • FB_IMG_1663649625651.jpg
    FB_IMG_1663649625651.jpg
    33.8 KB · Views: 2
  • C3AB178A-D10F-4141-B1DB-53E448FF0794.jpeg
    C3AB178A-D10F-4141-B1DB-53E448FF0794.jpeg
    58.7 KB · Views: 1
Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imetangaza kufuta tozo tatu za miamala ya kieletroniki kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu.

Naipongeza serikali kwa kuwa sikivu na kuja na marekebisho yaliyowezesha kufutwa baadhi ya tozo. Aidha, naungana na wasomi na wabunge walioshauri kuangalia namna ya kuongeza wigo wa walipa kodi nchini, kwani ukweli ni wkamba wanaolipa kodi ni wachache kuliko wanaostahili.

Pia kama Watanzania tunapaswa kutambua kwamba hakuna nchi inayoendelea bila kutoza kodi watu wake hivyo tujitahidi kulipa kodi na tozo ili tupate maendeleo tunayoyahitaji.

Hata misaada inayotolewa na nchi washirikia wa maendeleo inatokana na kodi za wananchi wake, hivyo Watanzania wote wanapaswa kujenga utamaduni wa kulipa kodi ili fedha zake zitumike kuwaletea maendeleo.

Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe. Kazi Iendelee kwa sababu Mama Yuko Kazini.
Wale vichwa mtetea wataimba tena na kusifia kwa kupongez vile vile walivyoshangilia wakati wa kuanzishwa tozo
 
Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imetangaza kufuta tozo tatu za miamala ya kieletroniki kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu.

Naipongeza serikali kwa kuwa sikivu na kuja na marekebisho yaliyowezesha kufutwa baadhi ya tozo. Aidha, naungana na wasomi na wabunge walioshauri kuangalia namna ya kuongeza wigo wa walipa kodi nchini, kwani ukweli ni wkamba wanaolipa kodi ni wachache kuliko wanaostahili.

Pia kama Watanzania tunapaswa kutambua kwamba hakuna nchi inayoendelea bila kutoza kodi watu wake hivyo tujitahidi kulipa kodi na tozo ili tupate maendeleo tunayoyahitaji.

Hata misaada inayotolewa na nchi washirikia wa maendeleo inatokana na kodi za wananchi wake, hivyo Watanzania wote wanapaswa kujenga utamaduni wa kulipa kodi ili fedha zake zitumike kuwaletea maendeleo.

Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe. Kazi Iendelee kwa sababu Mama Yuko Kazini.
aliyeanzisha alipoona imefeli ameondoa kisha unamsifu badala ya kumkosoa next time atulie, atumie akili na afanye utafiti kwanza?

pole
 
Back
Top Bottom