Hongera sana Yericko Nyerere

Hongera sana Yericko Nyerere

Aache hulka ya uongo na uchonganishi"
Tabia ambazo zaweza kuangamiza ndoto zake.
Mimi namwita kuwa ni mtaalam wa majungu, sijui kama ameacha tabia hiyo.

chief, hizo terms ni subjective. zinategemeana na wewe unaye-assess umeegemea upande upi!!
 
chief, hizo terms ni subjective. zinategemeana na wewe unaye-assess umeegemea upande upi!!
Ni kweli lakini kwako hizo underlighted kama ni positive attributes bai lazima kuna matatizo fulani katika orientation.
 
Mtu kama yerico credibility yake ni ndogo sana kiasi cha watu kununua kitabu chake,kitakua ni makusanyo ya uzushi tu
 
Mtu kama yerico credibility yake ni ndogo sana kiasi cha watu kununua kitabu chake,kitakua ni makusanyo ya uzushi tu
Hivi unadhani magazeti ya udaku na dailynews....lipi linanunuliwa sana?watu wanapenda kusikia vitu wasivyovijua...so hope kitanunuliwa
 
I don't think he is intelligent enough to write a book of his own on such a serious subject. I can only assume that he has just gathered information from various sources and will use it to make a book. Writing a book is not as easy as many might think; it demands a lot of effort, patience, and wit. He seems to have none of those features.
 
I don't think he is intelligent enough to write a book of his own on such a serious subject. I can only assume that he has just gathered information from various sources and will use it to make a book. Writing a book is not as easy as many might think; it demands a lot of effort, patience, and wit. He seems to have none of those features.

usijaji kitabu dada yangu kwa kava la nje, chukua kitabu som kwanza ndo uje uongee hapa JF. nyie ndo hata research za shule hamsom
 
4424284345405de3ecb82df8099034c7.jpg

Amemlipa jamaa deni lake?

Cc: Ritz
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Huyu jamaa ni mganga njaa tu kama wale wengine
 
Kuna shindano Yericko alianzisha la matumizi sahihi ya kiswahili na kuna dogo alifaulu ila Yericko akamdhulumu pesa yake na Yericko alikili (dogo aliandika lalamiko hilo JF). Sikufuatilia mpaka mwisho kama jamaa alimlipa, so kama hajamlipa ajue anakula laana

HIVI BADO YULE DOGO HAJALIPWA MPAKA LEO DU? ISIJE KESHO KUTWA TUKAJA SIKIA KUWA HIKO KITABU MTUNZI MWINGINE TU HA HA HAAAAA
 
I don't think he is intelligent enough to write a book of his own on such a serious subject. I can only assume that he has just gathered information from various sources and will use it to make a book. Writing a book is not as easy as many might think; it demands a lot of effort, patience, and wit. He seems to have none of those features.

Mkalimani nipo hapa

"Sidhani kama ana uwezo wa kuandika kitabu chake mwenyewe kuhusu somo makini kama hilo. Naweza tu kuhisi kuwa amekusanya taarifa kutoka kwenye vyanzo kadhaa na atazitumia kuchapisha kitabu. Kuandika kitabu sio rahisi kama wengi wanavyodhani; inahitaji jitihada nyingi, uvumilivu na werevu. Anaonekana kukosa hata moja ya sifa hizo"
 
Back
Top Bottom