Hongera sana Yericko Nyerere

Hongera sana Yericko Nyerere

Kuna shindano Yericko alianzisha la matumizi sahihi ya kiswahili na kuna dogo alifaulu ila Yericko akamdhulumu pesa yake na Yericko alikili (dogo aliandika lalamiko hilo JF). Sikufuatilia mpaka mwisho kama jamaa alimlipa, so kama hajamlipa ajue anakula laana
Issue ya kufanana na hii nimekutana nayo kwenye stationary moja pale Banana, Ukonga kuna mdada analalamika kuwa alimuliza....akamalize haya mambo sio mazuri!
 
Aache hulka ya uongo na uchonganishi"
Tabia ambazo zaweza kuangamiza ndoto zake.
Mimi namwita kuwa ni mtaalam wa majungu, sijui kama ameacha tabia hiyo.
Acha tu mkuu. Jamaa amefuzu kwa uzandiki na unafiki wa hali ya juu.
 
Yericko jibu maswali ya Wachangiaji kwa hoja usihamishe mantiki ya swali kwa kuchopeka vionjo vya hisia.
Ni kweli hata Mimi niliona andiko la kijana aliyedai ulimtapeli lakini nakuona hapa hutaki kujitanabainisha kinaganaga ili tuweze kumaizi nyuma ya tuhuma hiyo.
Siamini kuwa wewe ni tapeli.
 
Yericko jibu maswali ya Wachangiaji kwa hoja usihamishe mantiki ya swali kwa kuchopeka vionjo vya hisia.
Ni kweli hata Mimi niliona andiko la kijana aliyedai ulimtapeli lakini nakuona hapa hutaki kujitanabainisha kinaganaga ili tuweze kumaizi nyuma ya tuhuma hiyo.
Siamini kuwa wewe ni tapeli.
Mkuu,
Huyu jamaa hana lolote zaidi ya Unafiki na Utapeli hapa mjini. Mbona ana kesi za hizo tuhuma zake katika vituo vya polisi. Ni kajitu kanapenda sana ujuaji.
 
Jibu la watu wana chuki ni kukwepa swali watu wanataka kujua ukweli wakuchukie kwa nini?unavyopindishapindisha hoja ndivyo unavyowafanya wakuone tapeli
 
Mkuu,
Huyu jamaa hana lolote zaidi ya Unafiki na Utapeli hapa mjini. Mbona ana kesi za hizo tuhuma zake katika vituo vya polisi. Ni kajitu kanapenda sana ujuaji.
Kituo kipi cha polisi kina kesi yangu mkuu? Hebu thibitisha ndugu...
 
Yericko jibu maswali ya Wachangiaji kwa hoja usihamishe mantiki ya swali kwa kuchopeka vionjo vya hisia.
Ni kweli hata Mimi niliona andiko la kijana aliyedai ulimtapeli lakini nakuona hapa hutaki kujitanabainisha kinaganaga ili tuweze kumaizi nyuma ya tuhuma hiyo.
Siamini kuwa wewe ni tapeli.
Maswali yapi? Hizo porojo??
 
Back
Top Bottom