Hongera sana Yericko Nyerere

Hongera sana Yericko Nyerere

Mwana JF mwenzetu Bwana Yericko Nyerere amesaini leo mkataba na kampuni ya MJ Printing Press kwa ajili ya kuandika kitabu cha UJASUSI WA KIDOLA NA KIUCHUMI, hii ni hatua nzuri sana ukiwa kama mtu mwenye kipaji cha uandishi lakini pia uwezo wa kujenga hoja.

Mara nyingi hoja zako hapa zimekuwa zikitatiza kama ni fiction au ni za kweli, lakini haiondoi ukweli kuwa una uwezo mzuri sana wa kujenga hoja na kuzitetea hoja hizo, hasa zile za jikoni.

Ifike wakati sasa tuone wana JF wenzetu wenye uwezo mkubwa wa kiunadishi pia kama Pasco , Mzee Mwanakijiji , Manyerere Jackton , Mchambuzi, Mtambuzi na wengineo wengi ambao ni mazao ya hapa JF wakichapisha vitabu vyao.

Ningependa kutoa ombi kwa uongozi wa JF kutafuta uwezekano wa kumfanyia interview Yericko mara kitabu kitakapo toka kama sehemu ya kumpa support member mwenzetu, lakini pia kuenzi michango yake mingi humu JF, na hii itatia sana hamasa kwa members humu kujiingiza katika tasnia hii.
Binafsi kitabu hicho kikitoka nitakinunua, kwa kuwa ni msomaji mzuri pia wa vitabu.

CgALHM6UkAE73SY.jpg


Hongera sana na All the best, ila usisahau kuitaja JForums kwenye dibaji maana najua pia imekujenga sana katika tasnia hii ya uandishi.

Binafsi nitampongeza pale tu atakapotuambia nini kilimtokea hasa alipokamatwa na nini walimfanyia hadi sasa amekuwa mpole isivyo kawaida humu na hata katika fb achilia mbali huko instagram na kunako twitter.
 
Aache hulka ya uongo na uchonganishi"
Tabia ambazo zaweza kuangamiza ndoto zake.
Mimi namwita kuwa ni mtaalam wa majungu, sijui kama ameacha tabia hiyo.
wewe ndo myakyusa mjinga na kiranja wa wajinga wote wa kinyakyusa.baada ya kumsifia yericko wewe unaleta majungu.wewe utakuwa lugumi sio bure wewe
 
wewe ndo myakyusa mjinga na kiranja wa wajinga wote wa kinyakyusa.baada ya kumsifia yericko wewe unaleta majungu.wewe utakuwa lugumi sio bure wewe
Kwanza hakuna mtu mjinga kama wewe maana kwa jina la avatar basi unafikiri mi ni hilo kabila lako.
Pili, nitamsifiaje mtu aliyewekwa hata lupango kwamajugu.
 
Mwana JF mwenzetu Bwana Yericko Nyerere amesaini leo mkataba na kampuni ya MJ Printing Press kwa ajili ya kuandika kitabu cha UJASUSI WA KIDOLA NA KIUCHUMI, hii ni hatua nzuri sana ukiwa kama mtu mwenye kipaji cha uandishi lakini pia uwezo wa kujenga hoja.

Mara nyingi hoja zako hapa zimekuwa zikitatiza kama ni fiction au ni za kweli, lakini haiondoi ukweli kuwa una uwezo mzuri sana wa kujenga hoja na kuzitetea hoja hizo, hasa zile za jikoni.

Ifike wakati sasa tuone wana JF wenzetu wenye uwezo mkubwa wa kiunadishi pia kama Pasco , Mzee Mwanakijiji , Manyerere Jackton , Mchambuzi, Mtambuzi na wengineo wengi ambao ni mazao ya hapa JF wakichapisha vitabu vyao.

Ningependa kutoa ombi kwa uongozi wa JF kutafuta uwezekano wa kumfanyia interview Yericko mara kitabu kitakapo toka kama sehemu ya kumpa support member mwenzetu, lakini pia kuenzi michango yake mingi humu JF, na hii itatia sana hamasa kwa members humu kujiingiza katika tasnia hii.
Binafsi kitabu hicho kikitoka nitakinunua, kwa kuwa ni msomaji mzuri pia wa vitabu.

CgALHM6UkAE73SY.jpg


Hongera sana na All the best, ila usisahau kuitaja JForums kwenye dibaji maana najua pia imekujenga sana katika tasnia hii ya uandishi.
Yericko Nyerere huyu muhalifu wa mitandao mwenye case kisutu aliyajulia wapi mambo ya ujasusi na Uchumi? Hiyo kampuni basi imejaa vichwa maji kumuamini Yericko Nyerere..
 
Ikiwa huyo ana 'kipaji cha kuandika".

Nnahaki ya kusema "if such are the priests, God bless the congregation".

Sasa hicho kitabu kama hakijafundisha ujinga kitafundisha nini zaidi.
If such are the imams,allah bless the umma.
 
Aache hulka ya uongo na uchonganishi"
Tabia ambazo zaweza kuangamiza ndoto zake.
Mimi namwita kuwa ni mtaalam wa majungu, sijui kama ameacha tabia hiyo.
Mkuu, Yeriko ndiye tapeli namba moja wa mitandaoni. Mwongo sana anadanganya watu anawapeleka training Ujerumani na analazimisha awekewe hela kwenye simu yake ya magumashi. Jizi sana hilo.
Ametengeneza program ya play store inaitwa smarttz. Anajiita Halima Mdee anashawishi watu waingie kwenye huo mtandao wa kitapeli. Ukiingia huko unaweza ukaingia mkenge kumtumia 35,000 kumchangia. Ni tapeli, mwizi na jambazi la mtandaoni. Tutamkamata tu.
 
Mkuu, Yeriko ndiye tapeli namba moja wa mitandaoni. Mwongo sana anadanganya watu anawapeleka training Ujerumani na analazimisha awekewe hela kwenye simu yake ya magumashi. Jizi sana hilo.
Ametengeneza program ya play store inaitwa smarttz. Anajiita Halima Mdee anashawishi watu waingie kwenye huo mtandao wa kitapeli. Ukiingia huko unaweza ukaingia mkenge kumtumia 35,000 kumchangia. Ni tapeli, mwizi na jambazi la mtandaoni. Tutamkamata tu.
Asante mkuu kwa kumtambua huyu TP.
Wengine wameshapumbazika na girini zake, wanafikiri watu hawajui wala hawaoni anachofanya.
Jamaa huyo intergrity ni zero kabisa.
 
hahaha we mtoto ongea na katavi sababu yule atakuwa kaka mkubwa wako jifunze mila na desturi sisemi zaidi mpm no more no comments
take it easy bless you

swissme
 
Mkuu, Yeriko ndiye tapeli namba moja wa mitandaoni. Mwongo sana anadanganya watu anawapeleka training Ujerumani na analazimisha awekewe hela kwenye simu yake ya magumashi. Jizi sana hilo.
Ametengeneza program ya play store inaitwa smarttz. Anajiita Halima Mdee anashawishi watu waingie kwenye huo mtandao wa kitapeli. Ukiingia huko unaweza ukaingia mkenge kumtumia 35,000 kumchangia. Ni tapeli, mwizi na jambazi la mtandaoni. Tutamkamata tu.
Mkuu Yericko mimi huyu huyu ndie nafanya hayo na wewe unajua lakini hujachukua hatua zozote za kisheria?
 
Back
Top Bottom