Hongera sana Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi Simba SC kwa kumfyeka msaliti Godfrey Kaburu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,686
109,101
Kama Msaliti Godfrey Nyange Kaburu angepitishwa katika Usahili na kuwa Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa Klabu ya Simba ningewadharau Viongozi wangu wa Simba SC na hasa Wanachama.

Nawapongeza waliomfyeka Kaburu.
 
Nadhani wamefuata taratibu na Kanuni za Simba sio matakwa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi
 
Back
Top Bottom