Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Itoshe tu kusema kuwa kiongozi mzuri utoka kwa Mungu.
Mh Mbowe amekuwa ni nguzo imara sana ya upinzani hapa Tanzania na kuna baadhi ya maneno yake aliyo yatoa kwenye hotuba zake leo hii yanaonekana kutimia.
Mbowe kweli wewe ni mbeba maono na Mungu daima atakulinda kukuepusha na makucha na hasira za watu wabaya.
Mh Mbowe amekuwa ni nguzo imara sana ya upinzani hapa Tanzania na kuna baadhi ya maneno yake aliyo yatoa kwenye hotuba zake leo hii yanaonekana kutimia.
Mbowe kweli wewe ni mbeba maono na Mungu daima atakulinda kukuepusha na makucha na hasira za watu wabaya.