Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,074
Wahenga walisema mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.
Nichukue nafasi hii kuipongeza CHADEMA na viongozi wanachama wafuasi na watanzania wapenda haki amani na mageuzi kwa kufanikisha mkutano wao mkoani Mwanza.
Wajinga waliubeza sana mkutano huo kuwa usingefanikiwa lakini kwa kuwa siku zote Mungu yupo na CHADEMA maelfu ya wananchi walimiminika kuhudhuria asante Mwanza. Mh Mbowe wewe ni mti wenye matunda ndio maana wajinga wanakupiga mawe
Walitaka ujitoe kwenye maridhiano ili CHADEMA iendelee kuteswa lakini ulisimama imara na Mungu hakukuacha hongera sana .Tunakuomba endelea na juhudi hizo hizo na viongozi wenzako ili wana CHADEMA waliopo magerezani nao watokea wawe huru na Mungu atawasimamia.
Viva CHADEMA viva CHADEMA
Nichukue nafasi hii kuipongeza CHADEMA na viongozi wanachama wafuasi na watanzania wapenda haki amani na mageuzi kwa kufanikisha mkutano wao mkoani Mwanza.
Wajinga waliubeza sana mkutano huo kuwa usingefanikiwa lakini kwa kuwa siku zote Mungu yupo na CHADEMA maelfu ya wananchi walimiminika kuhudhuria asante Mwanza. Mh Mbowe wewe ni mti wenye matunda ndio maana wajinga wanakupiga mawe
Walitaka ujitoe kwenye maridhiano ili CHADEMA iendelee kuteswa lakini ulisimama imara na Mungu hakukuacha hongera sana .Tunakuomba endelea na juhudi hizo hizo na viongozi wenzako ili wana CHADEMA waliopo magerezani nao watokea wawe huru na Mungu atawasimamia.
Viva CHADEMA viva CHADEMA