Hongera Mbowe kwa Flexibility, Hongera Rais Samia kwa Hekima

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,559
41,075
Kuna watu, nadhani ni kwa kukosa maarifa na uwezo wa kusoma mazingira, wanamlaumu Mbowe kwa nini amefikia hatua ya kuwa karibu na Serikali, na zaidi kuwa na maelewano ya karibu na Mh. Rais Samia juu ya Mstakabali wa Taifa. Wengine wanatoa hoja za kipuuzi kabisa eti Mbowe analambishwa asali wakimaanisha kuwa anapewa pesa na Serikali. Kwa upande mwingine wapo wanaomlaumu Rais Samia kuwa amekuwa legelege kwa CHADEMA. Kwao kiongozi shupavu ni yule wa kutumia jeshi la Polisi kuwatesa wapinzani au kuwanyima haki zao za kikatiba za kufanya siasa.

Wanaomlaumu Mbowe, walitaka Mbowe na CHADEMA waje na kauli zile kali na hata kutumia nguvu dhidi ya Rais, Serikali na CCM.

Wote hao siyo wanafunzi wa wakati na mazingira.

Mwanzoni CHADEMA iliona ingeweza kufikia mafanikio kwa kutumia nguvu kulazimisha yale ambayo wanaamini ni matakwa ya wananchi. Na ndiyo sababu ya kuwa na ile kaulimbiu ya Peoples Power. Lakini baada ya kwenda na mtazamo huo, kuna mengi viongozi wa CHADEMA na Mbowe walijifunza. Kwanza hakukuwa na Peoples Power. Nguvu ya umma haikuwahi kuonekana hata mara moja. Kila mara viongozi wa CHADEMA walipoenda mbele wakijua nyuma yao kuna mamilioni ya Watanzania, waliishia wao magerezani na haikuonekana nguvu za wananchi. Sugu akapelekwa jela, Mbowe mahabusu mara nyingi, Lisu mahabusu na risasi juu, Halima Mdee, Msigwa, Heche, Mwalimu, n.k. Magerezani na mahabusu wakabakia pekee yao. Watanzania waliotajwa kama ndiyo Peoples Power, wakawa kimya.

Baada ya mateso mengi, na bila ya wananchi kuonekana kupigania haki zao, Mbowe akajaribu kutafuta approach tofauti. Akamwomba Marehemu Rais Magufuli kufanyike maridhiano, marehemu akatupilia mbali pendekezo la Mbowe na badala yake akaamua kuendelea na falsafa yake ya kufuta vyama vya upinzani.

Ugandamizaji wa haki za raia wakati wa awamu ya 5, Serikali taratibu ikaanza kutengwa na Dunia:
1) msaada wa MCC wa kila mwaka wa zaidi ya shilingi trilioni 1.4 ukafutwa. Pesa hii ndiyo iliyotusaidia sana kusambaza umeme vijijini.

2) Msaada wa zaidi ya trilioni 1 toka Jumuia ya Madola, ukafutwa kwa sababu ya kuharibu uchaguzi wa 2020, na hivyo Bunge kukosa kambi rasmi ya upinzani Bungeni.

3) Msaada wa kibajeti wa 40% ya bajeti yetu yote, ukaanza kupigwa panga.

Kwenye mazingira hayo ndiyo Samia anakuwa Rais. Anataka kutekeleza miradi mingi ya maendeleo lakini taswira ya Tanzania kwenye uso wa Dunia ikiwa imechafuka, na upatikanaji pesa umekuwa mgumu.

Rais Samia aliwahitaji wapinzani ili kubadilisha taswira mbaya ya Serikali na CCM. Mbowe alihitaji sana Rais ambaye ana busara na hekima anayeweza ku-accommodate mfumo wa vyama vingi kwa vitendo. Kiongozi mwenye upeo mpana anayetambua kuwa upinzani haimaanisha ugomvi.

Wawili hawa wakawa wamekutana wakati sahihi wakiwa ni watu sahihi wa kuwezesha kupatikana Tanzania mpya inayoanza kumea sasa.

Rais Samia mambo yote yanayolalamikiwa ameanza kuyafanyia kazi, sasa utakuwa ni mtu wa aina gani, kwa kiongozi wa namna hiyo eti ukaanze kutoa kauli kali dhidi yake? Kwa busara ya Rais Samia, leo hii Polisi wamebadilika. Rais Samia ametuonesha kuwa Polisi siyo wabaya, ukiona Polisi wanatenda mambo mabaya, utambue mnaye Rais mbaya.

Ombi Kuu

Rais Samia kama ulivyoahidi kuanzisha taratibu za upatikanaji wa katiba mpya, tunaomba iwe mapema sana. Hiyo itakuwa ni identity na footprint ambayo haitafutika. Hofu yetu kubwa, katiba mpya isipopatikana wakati wa uongozi wako, kuna hatari siku moja tukampata kiongozi shetani, tukarudi tena kule kule kwenye tawala za kishetani.

Wale wapebda siasa za kishetani bado wapo, hivyo ni muhimu sana viongozi wa upinzani kupnesha hekima kama mnavyofanya. Wale wapenda siasa za kishetani waliopo ndani ya CCM wamenuna, Rais pamoja na dhamira yake njema, lakini akageuka ndani ya chama chake akakutana na kundi la wapebda siasa za kihayawani wanaompinga, halafu aje kwa vyama vya upinzani, awakute wenye kumkejeli, anaweza kukata tamaa. Katika uongozi wake huu wa hekima kubwa, Watanzania wengi bila ya kujali utofauti itikadi za chama, ni muhimu sana kuungana na Rais ili tutekeleze jukumu hili kuu la msingi. Wale wachache wanaofurahia mambo ya hovyo, tuwapuuze.

Kwenye haya mazingira ya Taifa letu ambapo watu hawawazi maendeleo ya Taifa bali namna wanavyoweza kubakia katika vyeo vyao, Rais Samia omba sana hekima, kama alivyoomba mfalme Sulemani.
 
Ukiona mtu hapendi juhudi za Rais Samia kuwaunganisha Watanzania ujuwe huyo ni Ibilisi tu mfuasi wa wale mashetani wa Kirundi waliozoea kunywa damu za watu.

Kwa upande wa Freeman Mbowe hivi vitu tunaita ni God given, huwezi kusoma darasani ili uwe kama Freeman Mbowe.

Ndio maana huwezi kukutana siku yoyote kauli za Mbowe zikazusha mjadala kama za Lema.

Kwenye mkutano wakati Mbowe anaitwa speech wanawake walishaanza kudemka Mbowe palepale aliwakemea kistaarabu tulieni, hakutaka ushabiki kama ule wa kwenye mikutano ya Ccm wakati yeye alikuwa serious anafikisha msg kwa Rais.

Ile ni golden chance kumpata Rais na anasikiliza hotuba zenu siyo muda wa halo halo ni muda wa kumwagiga point tu.

Wale matapeli wanaotowaga hizo Honorary Causa PhD sijui ni kwa nini hawawaoni watu kama huyu Freeman Mbowe na kumpa award ¿
 
Kwenye haya mazingira ya Taifa letu ambapo watu hawawazi maendeleo ya Taifa bali namna wanavyoweza kubakia katika vyeo vyao, Rais Samia omba sana hekima, kama alivyoomba mfalme Sulemani.
Hiki ndicho kinachoua taifa letu.
Umeandika maneno mazuri sana. watanzania siyo kama wakenya, tu waoga wa kufa. Ukishaona mtu mwoga wa kufa,, ujue hakuna peoples power! Na ndiyoadvanyage aliyotumia magufuli kutuslence milioni 64! am sure milioni 40 wakiingia barabarani mwezimzima yatatokea mabadiliko. Sasa magufuli alijua hatuwezi kufanya hiyo peoples power. Samia anaweza akalipeleka taifa kwenye duru mpya ya demokrasia. Let us wait and see!
 
Hapa niseme watanzania au wafuasi wa upinzani wengi ni vigeugeu, ni kama vile hawajui wanachotaka, kwao mambo yakiwa magumu kwa kubanwa na mtawala, watamlaumu, watadai maridhiano.

Wakipewa maridhiano, watalalamika tena wanabanwa, - wamemezwa- hawa hawajiamini, hawaamini kama wanaweza kwenda kwenye meza ya mazungumzo na kucheza vizuri karata zao, kisha wakapata wanachostahili.

Kuwa mwanasiasa lazima uwe na maneno, na ujue kuyatumia, sasa ni ajabu la dunia kuwa mwanasiasa halafu ukipewa meza ya mazungumzo unaikimbia, badala yake unataka harakati wakati hauna silaha/mbinu yoyote kufanikisha hilo, kwangu huo ni ujinga mtupu.
 
Niseme watanzania au wafuasi wa upinzani ni vigeugeu, ni kama vile hawajui wanachotaka, kwao mambo yakiwa magumu kwa kubanwa na mtawala, watadai maridhiano.

Wakipewa maridhiano, watalalamika tena wanabanwa, wamemezwa, hawa hawajiamini, hawaamini kama wanaweza kwenda kwenye meza ya mazungumzo na kucheza vizuri karata zao, kisha wakapata wanachostahili.

Kuwa mwanasiasa lazima uwe na maneno, na ujue kuyatumia, sasa ni ajabu la dunia kuwa mwanasiasa halafu ukipewa meza ya mazungumzo unaikimbia, badala yake unataka harakati wakati hauna silaha yoyote, kwangu huu ni ujinga mtupu.
Usisahau kuna watu wanakunywa damu za watu, Sasa kukiwa na amani na utulivu watakunywa damu za binadamu wenzao wapi?
 
Kuna watu, nadhani ni kwa kukosa maarifa na uwezo wa kusoma mazingira, wanamlaumu Mbowe kwa nini amefikia hatua ya kuwa karibu na Serikali, na zaidi kuwa na maelewano ya karibu na Mh. Rais Samia juu ya Mstakabali wa Taifa. Wengine wanatoa hoja za kipuuzi kabisa eti Mbowe analambishwa asali wakimaanisha kuwa anapewa pesa na Serikali.
Mkuu Bams, kwanza naunga mkono bandiko lako na kukupongeza kwasababu wewe ni miongoni mwa wachambuzi mahiri humu JF, ambao sasa mmebaki mnahesabika, asante kwa uchambuzi huu, na kwa ruhusa yako naomba kulitumia bandiko lako hili kuoteshea bandiko langu fulani.

Hili la Mbowe kuwa mpole na kulambishwa asali kwa kupewa hard cash, japo ni kweli Mbowe amelambishwa asali, asali hiyo Mbowe ame I beg sio ili afaidi utamu wa asali avimbishe tumbo lake, no!, Mbowe Mbowe amekuwa mpole kwasababu amehisaniwa!. Ile kesi ilikuwa mbaya!, na baada ya committal proceedings, za preliminary hearing Mbowe akakutwa ana prima facie!, a case to amwer!, wanasheria wanajua what does prima facie mean kwenye kesi kama ile!, na sii wengi wanajua kuwa Mahakama zetu zimefungwa mikono!, pale ile kesi ingeendelea ni 30 years net!, halafu ndipo msamaha wa rais ungetolewa!.

Kesi ilipofika hatua hii, akina sisi tuliandika humu, Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? na baada ya bandiko hili, kila kilichosemwa na bandiko hilo kilikuja kutokea!.

Hivyo kitendo cha kusamehewa na kufutiwa kesi, kwa mtu yoyote wa kawaida, ni lazima awe ni mtu wa shukrani, hivyo Mbowe alipotoka tuu jela, break ya kwanza ni kwenda Ikulu kumshukuru Rais Samia, na kiukweli kabisa Rais Samia ni Mama mwenye upendo wa dhati. Mbele ya Samia na Mbowe tuu pekee yao, kuna kitu Mbowe alifanya naomba nisikiseme hapa kwasababu nilikiona kupitia jicho la tatu!, but just imagine yale macho ya Samia, mtu kum... kulimliza, akawa sasa ni Mama ndio anambeleza mwana kwa upendo wa mama kwa mwanaye, ndipo Mama akamuuliza kama kuna any thing she can do, to make things easier, she can do, hivyo Mbowe akalia shida kila alichotaka akapewa!. Chadema kilikuwa kinakabilwa na ukata mkubwa hadi kushindwa kuitisha vikao!. Mara ghafla mambo yakaanza kwenda!. Mara vikao vinaitishwa mara trips za mamtoni!, huku only few top players ndio knew who the piper was!, the rest of manyumbu hawajui!. Hivyo hii about turn ya Mbowe ni appreciation kwa wema mkubwa Samia aliomtendea na sio kwa sababu ya kulambishwa asali.
Kwa upande mwingine wapo wanaomlaumu Rais Samia kuwa amekuwa legelege kwa CHADEMA. Kwao kiongozi shupavu ni yule wa kutumia jeshi la Polisi kuwatesa wapinzani au kuwanyima haki zao za kikatiba za kufanya siasa.

Wanaomlaumu Mbowe, walitaka Mbowe na CHADEMA waje na kauli zile kali na hata kutumia nguvu dhidi ya Rais, Serikali na CCM.

Wote hao siyo wanafunzi wa wakati na mazingira.
Naunga mkono hoja
Mwanzoni CHADEMA iliona ingeweza kufikia mafanikio kwa kutumia nguvu kulazimisha yale ambayo wanaamini ni matakwa ya wananchi. Na ndiyo sababu ya kuwa na ile kaulimbiu ya Peoples Power. Lakini baada ya kwenda na mtazamo huo, kuna mengi viongozi wa CHADEMA na Mbowe walijifunza. Kwanza hakukuwa na Peoples Power. Nguvu ya umma haikuwahi kuonekana hata mara moja. Kila mara viongozi wa CHADEMA walipoenda mbele wakijua nyuma yao kuna mamilioni ya Watanzania, waliishia wao magerezani na haikuonekana nguvu za wananchi. Sugu akapelekwa jela, Mbowe mahabusu mara nyingi, Lisu mahabusu na risasi juu, Halima Mdee, Msigwa, Heche, Mwalimu, n.k. Magerezani na mahabusu wakabakia pekee yao. Watanzania waliotajwa kama ndiyo Peoples Power, wakawa kimya.
Ushauri kama huu tumekuwa tukiwapa, sio mara moja sio mara mbili, Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe! , Swali kwa Wana UKAWA: Is UKAWA for Real or Just A Marriage of Convenience?.-Ni Swali Tuu!. Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?
Baada ya mateso mengi, na bila ya wananchi kuonekana kupigania haki zao, Mbowe akajaribu kutafuta approach tofauti. Akamwomba Marehemu Rais Magufuli kufanyike maridhiano, marehemu akatupilia mbali pendekezo la Mbowe na badala yake akaamua kuendelea na falsafa yake ya kufuta vyama vya upinzani.
Naunga mkono hoja, ila pia pia kipindi chote cha utawala wa awamu ya 5, tuko watu tulitoa mwelekeo wa nini kinakwenda kutokea kwa Tanzania yetu, Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! na hatukuishia hapo, pia tulijaribu kutumia mbinu mbalimbali kumzuia kwa kuwatumia third party wanasema nini kuhusu sisi ili tuu kuwatisha "someone is watching you"!. Third party wangu alikuwa ni Jarida la The Economics, only wenye uwezo to read in between the lines tuu ndio walinielewa!.
Ugandamizaji wa haki za raia wakati wa awamu ya 5, Serikali taratibu ikaanza kutengwa na Dunia:
1) msaada wa MCC wa kila mwaka wa zaidi ya shilingi trilioni 14 ukafutwa. Pesa hii ndiyo iliyotusaidia sana kusambaza umeme vijijini.

2) Msaada wa zaidi ya trilioni 1 toka Jumuia ya Madola, ukafutwa kwa sababu ya kuharibu uchaguzi wa 2020, na hivyo Bunge kukosa kambi rasmi ya upinzani Bungeni.

3) Msaada wa kibajeti wa 40% ya bajeti yetu yote, ukaanza kupigwa panga.

Kwenye mazingira hayo ndiyo Samia anakuwa Rais. Anataka kutekeleza miradi mingi ya maendeleo lakini taswira ya Tanzania kwenye uso wa Dunia ikiwa imechafuka, na upatikanaji pesa umekuwa mgumu.

Rais Samia aliwahitaji wapinzani ili kubadilisha taswira mbaya ya Serikali na CCM. Mbowe alihitaji sana Rais ambaye ana busara na hekima anayeweza ku-accommodate mfumo wa vyama vingi kwa vitendo. Kiongozi mwenye upeo mpana anayetambua kuwa upinzani haimaanisha ugomvi.

Wawili hawa wakawa wamekutana wakati sahihi wakiwa ni watu sahihi wa kuwezesha kupatikana Tanzania mpya inayoanza kumea sasa.

Rais Samia mambo yote yanayolalamikiwa ameanza kuyafanyia kazi, sasa utakuwa ni mtu wa aina gani, kwa kiongozi wa namna hiyo eti ukaanze kutoa kauli kali dhidi yake? Kwa busara ya Rais Samia, leo hii Polisi wamebadilika. Rais Samia ametuonesha kuwa Polisi siyo wabaya, ukiona Polisi wanatenda mambo mabaya, utambue mnaye Rais mbaya.
Naunga mkono hoja.
Ombi Kuu

Rais Samia kama ulivyoahidi kuanzisha taratibu za upatikanaji wa katiba mpya, tunaomba iwe mapema sana. Hiyo itakuwa ni identity na footprint ambayo haitafutika. Hofu yetu kubwa, katiba mpya isipopatikana wakati wa uongozi wako, kuna hatari siku moja tukampata kiongozi shetani, tukarudi tena kule kule kwenye tawala za kishetani.
Naunga mkono hoja ya kupatikana kwa katiba mpya mapema, ila lazima tuwe realistic, muda wa miaka 2 ya Rais Samia uliobakia, hauwezi kuleta katiba bora, unless tukubali kuendelea na ile bora katiba kwasababu kupata katiba bora is a process Mchakato huu wa Katiba ni umasikini wetu. Tujikubali, tuukubali, tuupigie kura ya ndio ila huu muda uliopo tunaweza kufanya mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura tukaifumua tume ya uchaguzi na kuisuka tume huru, na kubadili sheria ya uchaguzi kama nilivyoshauri hapa Katiba Yetu Ina Matobo: Serikali Ikikosea, Inashitakika. Je, Bunge na Mahakama Zinapowakosea Watanzania Kama Makosa Haya Tunawashitaki Wapi? na hapa Katiba ni Sheria Mama. Sheria Yoyote Kinyume na Katiba ni Batili!. Wanasheria Wetu, Waliwezaje Kufanya Madudu Haya Kuchomeka Batili Ndani ya Katiba?! na hapa Ajabu Hii ya Haki Iliyotolewa na Ibara Moja ya Katiba, Kuporwa na Ibara Nyingine, Ilifanyika Vipi Huku Tuna Washeria Manguli, Wabobezi na Wabobevu? na hapa Asante Rais kuruhusu mikutano, tunakuomba uruhusu haki nyingine ambayo imeporwa ya Watanzania wote kuchagua na kuchaguliwa na funga kazi ni hii Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?
Ila hii hoja yako ya utawala wa kishetani siiungi mkono!. Tunaweza kabisa kujadili mustakabali wa taifa letu bila kuwa demonized wengine na kukutana mashetani kwasababu huyo unayemuita shetani, aliletwa na Mungu na ni Watanzania tulimuomba Mungu atuletee mtu kama huyo, Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Na ni Mungu amemchukua na kutuletea Samia Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
Wale wapenda siasa za kishetani bado wapo, hivyo ni muhimu sana viongozi wa upinzani kupnesha hekima kama mnavyofanya. Wale wapenda siasa za kishetani waliopo ndani ya CCM wamenuna, Rais pamoja na dhamira yake njema, lakini akageuka ndani ya chama chake akakutana na kundi la wapebda siasa za kihayawani wanaompinga, halafu aje kwa vyama vya upinzani, awakute wenye kumkejeli, anaweza kukata tamaa. Katika uongozi wake huu wa hekima kubwa, Watanzania wengi bila ya kujali utofauti itikadi za chama, ni muhimu sana kuungana na Rais ili tutekeleze jukumu hili kuu la msingi. Wale wachache wanaofurahia mambo ya hovyo, tuwapuuze.
Naunga mkono hoja
Kwenye haya mazingira ya Taifa letu ambapo watu hawawazi maendeleo ya Taifa bali namna wanavyoweza kubakia katika vyeo vyao, Rais Samia omba sana hekima, kama alivyoomba mfalme Sulemani.
Naunga mkono hoja na tayari dalili zote za hekima za Mfalme Suleiman kwa Samia zimeisha onekana, kilichobakia ni sisi kumuunga mkono kwa kumsaidia kama wewe unachofanya hapa, ni uelimishaji umma, bandiko hili litawafungua macho hata manyumbu mmoja au wawili ni something worthwhile, na akina sisi watu wa kujitolea soon tunaingia front kumsaidia ila Samia aweze na msaada mkubwa kabisa kwa Samia ni kuambiwa ukweli na sio UCHAWA kama ukweli huu wa 2025, machawa kazi yao ni kuimba tuu Samia Samia na mimi naunga mkono Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! ila pia kuna hizi sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke sio za kupuuziwa!.

Asante sana kwa bandiko zuri elimishi.
P
 
Kuna watu, nadhani ni kwa kukosa maarifa na uwezo wa kusoma mazingira, wanamlaumu Mbowe kwa nini amefikia hatua ya kuwa karibu na Serikali, na zaidi kuwa na maelewano ya karibu na Mh. Rais Samia juu ya Mstakabali wa Taifa. Wengine wanatoa hoja za kipuuzi kabisa eti Mbowe analambishwa asali wakimaanisha kuwa anapewa pesa na Serikali. Kwa upande mwingine wapo wanaomlaumu Rais Samia kuwa amekuwa legelege kwa CHADEMA. Kwao kiongozi shupavu ni yule wa kutumia jeshi la Polisi kuwatesa wapinzani au kuwanyima haki zao za kikatiba za kufanya siasa.

Wanaomlaumu Mbowe, walitaka Mbowe na CHADEMA waje na kauli zile kali na hata kutumia nguvu dhidi ya Rais, Serikali na CCM.

Wote hao siyo wanafunzi wa wakati na mazingira.

Mwanzoni CHADEMA iliona ingeweza kufikia mafanikio kwa kutumia nguvu kulazimisha yale ambayo wanaamini ni matakwa ya wananchi. Na ndiyo sababu ya kuwa na ile kaulimbiu ya Peoples Power. Lakini baada ya kwenda na mtazamo huo, kuna mengi viongozi wa CHADEMA na Mbowe walijifunza. Kwanza hakukuwa na Peoples Power. Nguvu ya umma haikuwahi kuonekana hata mara moja. Kila mara viongozi wa CHADEMA walipoenda mbele wakijua nyuma yao kuna mamilioni ya Watanzania, waliishia wao magerezani na haikuonekana nguvu za wananchi. Sugu akapelekwa jela, Mbowe mahabusu mara nyingi, Lisu mahabusu na risasi juu, Halima Mdee, Msigwa, Heche, Mwalimu, n.k. Magerezani na mahabusu wakabakia pekee yao. Watanzania waliotajwa kama ndiyo Peoples Power, wakawa kimya.

Baada ya mateso mengi, na bila ya wananchi kuonekana kupigania haki zao, Mbowe akajaribu kutafuta approach tofauti. Akamwomba Marehemu Rais Magufuli kufanyike maridhiano, marehemu akatupilia mbali pendekezo la Mbowe na badala yake akaamua kuendelea na falsafa yake ya kufuta vyama vya upinzani.

Ugandamizaji wa haki za raia wakati wa awamu ya 5, Serikali taratibu ikaanza kutengwa na Dunia:
1) msaada wa MCC wa kila mwaka wa zaidi ya shilingi trilioni 14 ukafutwa. Pesa hii ndiyo iliyotusaidia sana kusambaza umeme vijijini.

2) Msaada wa zaidi ya trilioni 1 toka Jumuia ya Madola, ukafutwa kwa sababu ya kuharibu uchaguzi wa 2020, na hivyo Bunge kukosa kambi rasmi ya upinzani Bungeni.

3) Msaada wa kibajeti wa 40% ya bajeti yetu yote, ukaanza kupigwa panga.

Kwenye mazingira hayo ndiyo Samia anakuwa Rais. Anataka kutekeleza miradi mingi ya maendeleo lakini taswira ya Tanzania kwenye uso wa Dunia ikiwa imechafuka, na upatikanaji pesa umekuwa mgumu.

Rais Samia aliwahitaji wapinzani ili kubadilisha taswira mbaya ya Serikali na CCM. Mbowe alihitaji sana Rais ambaye ana busara na hekima anayeweza ku-accommodate mfumo wa vyama vingi kwa vitendo. Kiongozi mwenye upeo mpana anayetambua kuwa upinzani haimaanisha ugomvi.

Wawili hawa wakawa wamekutana wakati sahihi wakiwa ni watu sahihi wa kuwezesha kupatikana Tanzania mpya inayoanza kumea sasa.

Rais Samia mambo yote yanayolalamikiwa ameanza kuyafanyia kazi, sasa utakuwa ni mtu wa aina gani, kwa kiongozi wa namna hiyo eti ukaanze kutoa kauli kali dhidi yake? Kwa busara ya Rais Samia, leo hii Polisi wamebadilika. Rais Samia ametuonesha kuwa Polisi siyo wabaya, ukiona Polisi wanatenda mambo mabaya, utambue mnaye Rais mbaya.

Ombi Kuu

Rais Samia kama ulivyoahidi kuanzisha taratibu za upatikanaji wa katiba mpya, tunaomba iwe mapema sana. Hiyo itakuwa ni identity na footprint ambayo haitafutika. Hofu yetu kubwa, katiba mpya isipopatikana wakati wa uongozi wako, kuna hatari siku moja tukampata kiongozi shetani, tukarudi tena kule kule kwenye tawala za kishetani.

Wale wapebda siasa za kishetani bado wapo, hivyo ni muhimu sana viongozi wa upinzani kupnesha hekima kama mnavyofanya. Wale wapenda siasa za kishetani waliopo ndani ya CCM wamenuna, Rais pamoja na dhamira yake njema, lakini akageuka ndani ya chama chake akakutana na kundi la wapebda siasa za kihayawani wanaompinga, halafu aje kwa vyama vya upinzani, awakute wenye kumkejeli, anaweza kukata tamaa. Katika uongozi wake huu wa hekima kubwa, Watanzania wengi bila ya kujali utofauti itikadi za chama, ni muhimu sana kuungana na Rais ili tutekeleze jukumu hili kuu la msingi. Wale wachache wanaofurahia mambo ya hovyo, tuwapuuze.

Kwenye haya mazingira ya Taifa letu ambapo watu hawawazi maendeleo ya Taifa bali namna wanavyoweza kubakia katika vyeo vyao, Rais Samia omba sana hekima, kama alivyoomba mfalme Sulemani.
hata kama wamelamba asali ni haki yake
 
Rais Samia kama ulivyoahidi kuanzisha taratibu za upatikanaji wa katiba mpya, tunaomba iwe mapema sana. Hiyo itakuwa ni identity na footprint ambayo haitafutika. Hofu yetu kubwa, katiba mpya isipopatikana wakati wa uongozi wako, kuna hatari siku moja tukampata kiongozi shetani, tukarudi tena kule kule kwenye tawala za kishetani.
Kweli tulikuwa kwenye ushetani haswa.
 
Hiki ndicho kinachoua taifa letu.
Umeandika maneno mazuri sana. watanzania siyo kama wakenya, tu waoga wa kufa. Ukishaona mtu mwoga wa kufa,, ujue hakuna peoples power! Na ndiyoadvanyage aliyotumia magufuli kutuslence milioni 64! am sure milioni 40 wakiingia barabarani mwezimzima yatatokea mabadiliko. Sasa magufuli alijua hatuwezi kufanya hiyo peoples power. Samia anaweza akalipeleka taifa kwenye duru mpya ya demokrasia. Let us wait and see!
Ni kweli kabisa.

Na kwa upande mwingine ni kwamba, hata kama tungekuwa na watu jasiri, ambao wapo tayari kujitoa kupigania mambo wanayoyataka, hiyo nguvu ya watu itawalazimisha watawala kukubali kuzungumza na kukubaliana mambo yanayotakiwa kufanywa.

Watu wangeweza kuandamana kudai katiba, kudai mabadiliko ya utendaji wa Jeshi la Polisi, kudai Tume Huru ya Uchaguzi, na mabadiliko ya sheria mbalimbali. Lakini hata nguvu ya umma ikiwa kubwa, haina maana mtawala akishakubali, kesho yake mtakuwa na katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi, n.k. Uwezekano mkubwa ni kwamba mtawala atakubali matakwa yenu na kisha mtazungumza ili kukubaliana mambo yanayotakiwa kuwemo, na utaratibu utakaotumika. KWA HIYO, UWEZEKANO MKUBWA, MWISHONI NI MAZUNGUMZO.

Sasa, kwa bahati iliyopo ni kwamba, hata bila Peoples Power, Rais tuliye naye, kakubali kuzungumza ili tuwe na Taifa linalozingatia haki, sheria, usawa na ustawi wa kila raia nchini mwake.. Naiita ni bahati kwa sababu, watawala wengi wa Kiafrika, na wa baadhi ya mataifa ya Asia, kukubali kuzungumza na wapinzani wao ni mpaka kuwe na purukushani nyingi, tena kuna wakati ni zile zinazosababisha vifo vya watu wengi.

Maadam tunaye Rais anayeweza kusikia bila ya kuona makundi ya mamilioni ya raia wakiwa barabarani, basi ni vyema na hekima kubwa kwetu kuitumia nafasi hii vizuri. Tukishindwa, huko mbeleni tunaweza tena kumpata mtawala gumegume, asiyetaka kusikia ushauri, maombi wala malalamiko ya watu, tutaumizwa sana, kama siyo sisi itakuwa wanetu au wajukuu zetu.
 
Vitendo vya hekima na busara siku zote huonesha dhamira ya dhati isiyo tia shaka katika kuleta mageuzi sehemu ambayo tumaini lilikuwa limepotea na siku zote watu wenye akili yakinifu na timamu huweza kung'amua hayo na kuona ufahari wake bali kwa wajinga huona ni kama kupoteza muda tu,na ndio asili ya ujinga ulivyo hauna jema ndio maana Baba wa taifa aliweza kuona ujinga kama sehemu ya uadui wa taifa.

Ni muda wa kulifanya taifa letu Tanzania kuwa mpya ni jukumu letu sote kuonesha kuunga mkono juhudi hizi viongozi wapo kuonesha njia tu.

Kongole mkuu Bams kwa bandiko bora kabisa

"Anaye kataa katiba mpya ni adui wa umma"Bams
 
Kuna watu, nadhani ni kwa kukosa maarifa na uwezo wa kusoma mazingira, wanamlaumu Mbowe kwa nini amefikia hatua ya kuwa karibu na Serikali, na zaidi kuwa na maelewano ya karibu na Mh. Rais Samia juu ya Mstakabali wa Taifa. Wengine wanatoa hoja za kipuuzi kabisa eti Mbowe analambishwa asali wakimaanisha kuwa anapewa pesa na Serikali. Kwa upande mwingine wapo wanaomlaumu Rais Samia kuwa amekuwa legelege kwa CHADEMA. Kwao kiongozi shupavu ni yule wa kutumia jeshi la Polisi kuwatesa wapinzani au kuwanyima haki zao za kikatiba za kufanya siasa.

Wanaomlaumu Mbowe, walitaka Mbowe na CHADEMA waje na kauli zile kali na hata kutumia nguvu dhidi ya Rais, Serikali na CCM.

Wote hao siyo wanafunzi wa wakati na mazingira.

Mwanzoni CHADEMA iliona ingeweza kufikia mafanikio kwa kutumia nguvu kulazimisha yale ambayo wanaamini ni matakwa ya wananchi. Na ndiyo sababu ya kuwa na ile kaulimbiu ya Peoples Power. Lakini baada ya kwenda na mtazamo huo, kuna mengi viongozi wa CHADEMA na Mbowe walijifunza. Kwanza hakukuwa na Peoples Power. Nguvu ya umma haikuwahi kuonekana hata mara moja. Kila mara viongozi wa CHADEMA walipoenda mbele wakijua nyuma yao kuna mamilioni ya Watanzania, waliishia wao magerezani na haikuonekana nguvu za wananchi. Sugu akapelekwa jela, Mbowe mahabusu mara nyingi, Lisu mahabusu na risasi juu, Halima Mdee, Msigwa, Heche, Mwalimu, n.k. Magerezani na mahabusu wakabakia pekee yao. Watanzania waliotajwa kama ndiyo Peoples Power, wakawa kimya.

Baada ya mateso mengi, na bila ya wananchi kuonekana kupigania haki zao, Mbowe akajaribu kutafuta approach tofauti. Akamwomba Marehemu Rais Magufuli kufanyike maridhiano, marehemu akatupilia mbali pendekezo la Mbowe na badala yake akaamua kuendelea na falsafa yake ya kufuta vyama vya upinzani.

Ugandamizaji wa haki za raia wakati wa awamu ya 5, Serikali taratibu ikaanza kutengwa na Dunia:
1) msaada wa MCC wa kila mwaka wa zaidi ya shilingi trilioni 14 ukafutwa. Pesa hii ndiyo iliyotusaidia sana kusambaza umeme vijijini.

2) Msaada wa zaidi ya trilioni 1 toka Jumuia ya Madola, ukafutwa kwa sababu ya kuharibu uchaguzi wa 2020, na hivyo Bunge kukosa kambi rasmi ya upinzani Bungeni.

3) Msaada wa kibajeti wa 40% ya bajeti yetu yote, ukaanza kupigwa panga.

Kwenye mazingira hayo ndiyo Samia anakuwa Rais. Anataka kutekeleza miradi mingi ya maendeleo lakini taswira ya Tanzania kwenye uso wa Dunia ikiwa imechafuka, na upatikanaji pesa umekuwa mgumu.

Rais Samia aliwahitaji wapinzani ili kubadilisha taswira mbaya ya Serikali na CCM. Mbowe alihitaji sana Rais ambaye ana busara na hekima anayeweza ku-accommodate mfumo wa vyama vingi kwa vitendo. Kiongozi mwenye upeo mpana anayetambua kuwa upinzani haimaanisha ugomvi.

Wawili hawa wakawa wamekutana wakati sahihi wakiwa ni watu sahihi wa kuwezesha kupatikana Tanzania mpya inayoanza kumea sasa.

Rais Samia mambo yote yanayolalamikiwa ameanza kuyafanyia kazi, sasa utakuwa ni mtu wa aina gani, kwa kiongozi wa namna hiyo eti ukaanze kutoa kauli kali dhidi yake? Kwa busara ya Rais Samia, leo hii Polisi wamebadilika. Rais Samia ametuonesha kuwa Polisi siyo wabaya, ukiona Polisi wanatenda mambo mabaya, utambue mnaye Rais mbaya.

Ombi Kuu

Rais Samia kama ulivyoahidi kuanzisha taratibu za upatikanaji wa katiba mpya, tunaomba iwe mapema sana. Hiyo itakuwa ni identity na footprint ambayo haitafutika. Hofu yetu kubwa, katiba mpya isipopatikana wakati wa uongozi wako, kuna hatari siku moja tukampata kiongozi shetani, tukarudi tena kule kule kwenye tawala za kishetani.

Wale wapebda siasa za kishetani bado wapo, hivyo ni muhimu sana viongozi wa upinzani kupnesha hekima kama mnavyofanya. Wale wapenda siasa za kishetani waliopo ndani ya CCM wamenuna, Rais pamoja na dhamira yake njema, lakini akageuka ndani ya chama chake akakutana na kundi la wapebda siasa za kihayawani wanaompinga, halafu aje kwa vyama vya upinzani, awakute wenye kumkejeli, anaweza kukata tamaa. Katika uongozi wake huu wa hekima kubwa, Watanzania wengi bila ya kujali utofauti itikadi za chama, ni muhimu sana kuungana na Rais ili tutekeleze jukumu hili kuu la msingi. Wale wachache wanaofurahia mambo ya hovyo, tuwapuuze.

Kwenye haya mazingira ya Taifa letu ambapo watu hawawazi maendeleo ya Taifa bali namna wanavyoweza kubakia katika vyeo vyao, Rais Samia omba sana hekima, kama alivyoomba mfalme Sulemani.
Chadema ni marehemu kuliko JPM sijui kwanini huu ukweli mna uficha....hata mbowe kesha ujua ila anacho fanya ni kupita njia ya zitto yani kuwa against wananchi kwa kuwa chawa mlamba asali wa ccm ya samia
 
Mama SSH, umekuwa kioo cha Taifa na mfano bora kabisa tofauti na mtangulizi wako! Historia ya nchi yetu itakukumbuka daima!

Mbowe wewe ni kamanda shujaa, umeweka maslahi ya Taifa mbele kwanza. Wewe ni mfano wa bora wa kuigwa Daima!
 
Mkuu Bams, kwanza naunga mkono bandiko lako na kukupongeza kwasababu wewe ni miongoni mwa wachambuzi mahiri humu JF, ambao sasa mmebaki mnahesabika, asante kwa uchambuzi huu, na kwa ruhusa yako naomba kulitumia bandiko lako hili kuoteshea bandiko langu fulani.

Hili la Mbowe kuwa mpole na kulambishwa asali kwa kupewa hard cash, japo ni kweli Mbowe amelambishwa asali, asali hiyo Mbowe ame I beg sio ili afaidi utamu wa asali avimbishe tumbo lake, no!, Mbowe Mbowe amekuwa mpole kwasababu amehisaniwa!. Ile kesi ilikuwa mbaya!, na baada ya committal proceedings, za preliminary hearing Mbowe akakutwa ana prima facie!, a case to amwer!, wanasheria wanajua what does prima facie mean kwenye kesi kama ile!, na sii wengi wanajua kuwa Mahakama zetu zimefungwa mikono!, pale ile kesi ingeendelea ni 30 years net!, halafu ndipo msamaha wa rais ungetolewa!.

Kesi ilipofika hatua hii, akina sisi tuliandika humu, Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? na baada ya bandiko hili, kila kilichosemwa na bandiko hilo kilikuja kutokea!.

Hivyo kitendo cha kusamehewa na kufutiwa kesi, kwa mtu yoyote wa kawaida, ni lazima awe ni mtu wa shukrani, hivyo Mbowe alipotoka tuu jela, break ya kwanza ni kwenda Ikulu kumshukuru Rais Samia, na kiukweli kabisa Rais Samia ni Mama mwenye upendo wa dhati. Mbele ya Samia na Mbowe tuu pekee yao, kuna kitu Mbowe alifanya naomba nisikiseme hapa kwasababu nilikiona kupitia jicho la tatu!, but just imagine yale macho ya Samia, mtu kum... kulimliza, akawa sasa ni Mama ndio anambeleza mwana kwa upendo wa mama kwa mwanaye, ndipo Mama akamuuliza kama kuna any thing she can do, to make things easier, she can do, hivyo Mbowe akalia shida kila alichotaka akapewa!. Chadema kilikuwa kinakabilwa na ukata mkubwa hadi kushindwa kuitisha vikao!. Mara ghafla mambo yakaanza kwenda!. Mara vikao vinaitishwa mara trips za mamtoni!, huku only few top players ndio knew who the piper was!, the rest of manyumbu hawajui!. Hivyo hii about turn ya Mbowe ni appreciation kwa wema mkubwa Samia aliomtendea na sio kwa sababu ya kulambishwa asali.

Naunga mkono hoja

Ushauri kama huu tumekuwa tukiwapa, sio mara moja sio mara mbili, Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe! , Swali kwa Wana UKAWA: Is UKAWA for Real or Just A Marriage of Convenience?.-Ni Swali Tuu!. Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Naunga mkono hoja, ila pia pia kipindi chote cha utawala wa awamu ya 5, tuko watu tulitoa mwelekeo wa nini kinakwenda kutokea kwa Tanzania yetu, Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! na hatukuishia hapo, pia tulijaribu kutumia mbinu mbalimbali kumzuia kwa kuwatumia third party wanasema nini kuhusu sisi ili tuu kuwatisha "someone is watching you"!. Third party wangu alikuwa ni Jarida la The Economics, only wenye uwezo to read in between the lines tuu ndio walinielewa!.



Naunga mkono hoja.

Naunga mkono hoja ya kupatikana kwa katiba mpya mapema, ila lazima tuwe realistic, muda wa miaka 2 ya Rais Samia uliobakia, hauwezi kuleta katiba bora, unless tukubali kuendelea na ile bora katiba kwasababu kupata katiba bora is a process Mchakato huu wa Katiba ni umasikini wetu. Tujikubali, tuukubali, tuupigie kura ya ndio ila huu muda uliopo tunaweza kufanya mabadiliko ya katiba kwa hati ya dharura tukaifumua tume ya uchaguzi na kuisuka tume huru, na kubadili sheria ya uchaguzi kama nilivyoshauri hapa Katiba Yetu Ina Matobo: Serikali Ikikosea, Inashitakika. Je, Bunge na Mahakama Zinapowakosea Watanzania Kama Makosa Haya Tunawashitaki Wapi? na hapa Katiba ni Sheria Mama. Sheria Yoyote Kinyume na Katiba ni Batili!. Wanasheria Wetu, Waliwezaje Kufanya Madudu Haya Kuchomeka Batili Ndani ya Katiba?! na hapa Ajabu Hii ya Haki Iliyotolewa na Ibara Moja ya Katiba, Kuporwa na Ibara Nyingine, Ilifanyika Vipi Huku Tuna Washeria Manguli, Wabobezi na Wabobevu? na hapa Asante Rais kuruhusu mikutano, tunakuomba uruhusu haki nyingine ambayo imeporwa ya Watanzania wote kuchagua na kuchaguliwa na funga kazi ni hii Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?
Ila hii hoja yako ya utawala wa kishetani siiungi mkono!. Tunaweza kabisa kujadili mustakabali wa taifa letu bila kuwa demonized wengine na kukutana mashetani kwasababu huyo unayemuita shetani, aliletwa na Mungu na ni Watanzania tulimuomba Mungu atuletee mtu kama huyo, Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Na ni Mungu amemchukua na kutuletea Samia Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Naunga mkono hoja

Naunga mkono hoja na tayari dalili zote za hekima za Mfalme Suleiman kwa Samia zimeisha onekana, kilichobakia ni sisi kumuunga mkono kwa kumsaidia kama wewe unachofanya hapa, ni uelimishaji umma, bandiko hili litawafungua macho hata manyumbu mmoja au wawili ni something worthwhile, na akina sisi watu wa kujitolea soon tunaingia front kumsaidia ila Samia aweze na msaada mkubwa kabisa kwa Samia ni kuambiwa ukweli na sio UCHAWA kama ukweli huu wa 2025, machawa kazi yao ni kuimba tuu Samia Samia na mimi naunga mkono Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! ila pia kuna hizi sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke sio za kupuuziwa!.

Asante sana kwa bandiko zuri elimishi.
P
Rubbish! Mimi siyo muumini wa porojo za "Sukuma gang" lakini najua nchi hii inayo watu wengi waliokwenda shule pasipo kuelimika! Kwa mtu wa kawaida tu ambaye hajasoma sheria ile kesi ya ugaidi ilikuwa fedheha kwa nchi hii! Hivi hatuoni aibu rais wetu kudanganywa kiasi cha kuiambia dunia watuhumiwa wenzake Mbowe walishafungwa? Hatuoni aibu rais wetu kulazimika kumkaribisha mtuhumiwa wa ugaidi Ikulu ndani ya masaa mawili au matatu tangu atoke mahabusu? Huyo ndiye amesamehewa. Hatuoni aibu mahakama zetu kudhalishwa kwa kesi kama ile ya ugaidi? Madhara ya matumizj mabaya ya mahakama hayapimiki; dhambi hiyo itawaumiza sana wananchi wanyonge. Wengine tunaamini fedheha ya kesi ile ya ugaidi ndiyo iliyopelekea wakuu wote wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama kubadilishwa ndani ya muda mfupi!
 
Kuna watu, nadhani ni kwa kukosa maarifa na uwezo wa kusoma mazingira, wanamlaumu Mbowe kwa nini amefikia hatua ya kuwa karibu na Serikali, na zaidi kuwa na maelewano ya karibu na Mh. Rais Samia juu ya Mstakabali wa Taifa. Wengine wanatoa hoja za kipuuzi kabisa eti Mbowe analambishwa asali wakimaanisha kuwa anapewa pesa na Serikali. Kwa upande mwingine wapo wanaomlaumu Rais Samia kuwa amekuwa legelege kwa CHADEMA. Kwao kiongozi shupavu ni yule wa kutumia jeshi la Polisi kuwatesa wapinzani au kuwanyima haki zao za kikatiba za kufanya siasa.

Wanaomlaumu Mbowe, walitaka Mbowe na CHADEMA waje na kauli zile kali na hata kutumia nguvu dhidi ya Rais, Serikali na CCM.

Wote hao siyo wanafunzi wa wakati na mazingira.

Mwanzoni CHADEMA iliona ingeweza kufikia mafanikio kwa kutumia nguvu kulazimisha yale ambayo wanaamini ni matakwa ya wananchi. Na ndiyo sababu ya kuwa na ile kaulimbiu ya Peoples Power. Lakini baada ya kwenda na mtazamo huo, kuna mengi viongozi wa CHADEMA na Mbowe walijifunza. Kwanza hakukuwa na Peoples Power. Nguvu ya umma haikuwahi kuonekana hata mara moja. Kila mara viongozi wa CHADEMA walipoenda mbele wakijua nyuma yao kuna mamilioni ya Watanzania, waliishia wao magerezani na haikuonekana nguvu za wananchi. Sugu akapelekwa jela, Mbowe mahabusu mara nyingi, Lisu mahabusu na risasi juu, Halima Mdee, Msigwa, Heche, Mwalimu, n.k. Magerezani na mahabusu wakabakia pekee yao. Watanzania waliotajwa kama ndiyo Peoples Power, wakawa kimya.

Baada ya mateso mengi, na bila ya wananchi kuonekana kupigania haki zao, Mbowe akajaribu kutafuta approach tofauti. Akamwomba Marehemu Rais Magufuli kufanyike maridhiano, marehemu akatupilia mbali pendekezo la Mbowe na badala yake akaamua kuendelea na falsafa yake ya kufuta vyama vya upinzani.

Ugandamizaji wa haki za raia wakati wa awamu ya 5, Serikali taratibu ikaanza kutengwa na Dunia:
1) msaada wa MCC wa kila mwaka wa zaidi ya shilingi trilioni 14 ukafutwa. Pesa hii ndiyo iliyotusaidia sana kusambaza umeme vijijini.

2) Msaada wa zaidi ya trilioni 1 toka Jumuia ya Madola, ukafutwa kwa sababu ya kuharibu uchaguzi wa 2020, na hivyo Bunge kukosa kambi rasmi ya upinzani Bungeni.

3) Msaada wa kibajeti wa 40% ya bajeti yetu yote, ukaanza kupigwa panga.

Kwenye mazingira hayo ndiyo Samia anakuwa Rais. Anataka kutekeleza miradi mingi ya maendeleo lakini taswira ya Tanzania kwenye uso wa Dunia ikiwa imechafuka, na upatikanaji pesa umekuwa mgumu.

Rais Samia aliwahitaji wapinzani ili kubadilisha taswira mbaya ya Serikali na CCM. Mbowe alihitaji sana Rais ambaye ana busara na hekima anayeweza ku-accommodate mfumo wa vyama vingi kwa vitendo. Kiongozi mwenye upeo mpana anayetambua kuwa upinzani haimaanisha ugomvi.

Wawili hawa wakawa wamekutana wakati sahihi wakiwa ni watu sahihi wa kuwezesha kupatikana Tanzania mpya inayoanza kumea sasa.

Rais Samia mambo yote yanayolalamikiwa ameanza kuyafanyia kazi, sasa utakuwa ni mtu wa aina gani, kwa kiongozi wa namna hiyo eti ukaanze kutoa kauli kali dhidi yake? Kwa busara ya Rais Samia, leo hii Polisi wamebadilika. Rais Samia ametuonesha kuwa Polisi siyo wabaya, ukiona Polisi wanatenda mambo mabaya, utambue mnaye Rais mbaya.

Ombi Kuu

Rais Samia kama ulivyoahidi kuanzisha taratibu za upatikanaji wa katiba mpya, tunaomba iwe mapema sana. Hiyo itakuwa ni identity na footprint ambayo haitafutika. Hofu yetu kubwa, katiba mpya isipopatikana wakati wa uongozi wako, kuna hatari siku moja tukampata kiongozi shetani, tukarudi tena kule kule kwenye tawala za kishetani.

Wale wapebda siasa za kishetani bado wapo, hivyo ni muhimu sana viongozi wa upinzani kupnesha hekima kama mnavyofanya. Wale wapenda siasa za kishetani waliopo ndani ya CCM wamenuna, Rais pamoja na dhamira yake njema, lakini akageuka ndani ya chama chake akakutana na kundi la wapebda siasa za kihayawani wanaompinga, halafu aje kwa vyama vya upinzani, awakute wenye kumkejeli, anaweza kukata tamaa. Katika uongozi wake huu wa hekima kubwa, Watanzania wengi bila ya kujali utofauti itikadi za chama, ni muhimu sana kuungana na Rais ili tutekeleze jukumu hili kuu la msingi. Wale wachache wanaofurahia mambo ya hovyo, tuwapuuze.

Kwenye haya mazingira ya Taifa letu ambapo watu hawawazi maendeleo ya Taifa bali namna wanavyoweza kubakia katika vyeo vyao, Rais Samia omba sana hekima, kama alivyoomba mfalme Sulemani.
MCC walikuwa wanatoa trillion 14 kila mwaka? Aisee wewe kweli ni mjinga. Unaijua trillion 14 kweli?
 
Hapa niseme watanzania au wafuasi wa upinzani wengi ni vigeugeu, ni kama vile hawajui wanachotaka, kwao mambo yakiwa magumu kwa kubanwa na mtawala, watamlaumu, watadai maridhiano.

Wakipewa maridhiano, watalalamika tena wanabanwa, - wamemezwa- hawa hawajiamini, hawaamini kama wanaweza kwenda kwenye meza ya mazungumzo na kucheza vizuri karata zao, kisha wakapata wanachostahili.

Kuwa mwanasiasa lazima uwe na maneno, na ujue kuyatumia, sasa ni ajabu la dunia kuwa mwanasiasa halafu ukipewa meza ya mazungumzo unaikimbia, badala yake unataka harakati wakati hauna silaha/mbinu yoyote kufanikisha hilo, kwangu huo ni ujinga mtupu.
Huyu aliyeandika hii post ni mpumbavu. MCC lini walikua wanatoa trillion 14 kila mwaka?
Trillion 14?? Kweli nyie Ni mazuzu
 
Historia ya nchi hii ni wazi nguvu ya peoples power kuandama haiwezekani,hata Nyerere hakuitumia wakati wa ukoloni kuomba uhuru mbali na mazungumzo. Hata wakati wa majimaji/Mkwawa/Mirambo tuliishia kuuawa na wakoloni kutawala nchi. Kupambana na dola kwa nguvu inahitaji jamii yenye historia hiyo otherwise Mbowe/ Samia kongole so far wote walikuwa wahanga awamu ya tano.
 
Back
Top Bottom