Hongera sana kwa hawa kuwa dollar millionaires Tanzania

The Stress Challengerr

JF-Expert Member
Jan 18, 2020
2,478
6,764
Inakuwaje wanaJF!

Kuwa Dollar Millionaire siyo mchezo naweza sema ni bahati ndio maana ni wachache sana. Wee fikiria nchi yenye watu million 60 halafu kati ya hao ni 450 ndio dollars millionaires siyo mchezo Aisee ni wakupongezwa.

Nimeshangazwa na hawa kuwa dolls millionaires nawapa pongezi sana.

1. Hamisa Mobeto 1-5 Millions US $
2. Irene Uwoya 1-5 $ millions US $
3. Wema Sepetu 1-5 millions US $
4. Wolper 1-5 millions US $
5. Harmonize 1.5 millions US $

Hongera na big up.

Diamond 5 millions $
Ali Kiba 5 millions $

Source: Google search
 
Ni 450 mkuu. Hao wengine wanacheza na madafu
Braza unafeli.
$1M ni sawa na bilion 2.3Tsh tu
Sasa kwa viwanja tu masaki huko vipo vinatembea zaidi ya hiyo...hata kino tu kuna viwanja vya 500M+ wabongo weng wananunua..
tuje majengo: saiv dar yote imejaa maghorofa watu wanajenga majengo ya 800M+ kibao na ushee
Tuje magari watu wanaendesha hammer,V8 magari ya 200M+ hadi folen
Bado wenye majengo posta na kariakoo
Bado wanasiasa
Bado wafanyabiashara wakubwa
Bado watu wa migodi
Bado waarabu wa masheli na wahindi
unataka uniambie hawa watu wanakosa networth ya bilioni mbili tu?
pesa ndogo sana hiyo bwashee
 
Wewe jamaa mgeni sana na mambo ya lists ya watu wenye mikwnja zao naona unashoboka tu na vipesa vya boga boga za majani hizo 😂😂😂
 
Wewe jamaa mgeni sana na mambo ya lists ya watu wenye mikwnja zao naona unashoboka tu na vipesa vya boga boga za majani hizo 😂😂😂
mkuu natanguliza samahani lakini....wewe ni sh*ga??
 
Dola milioni moja ya kimarekani ni bilioni 2 na milioni 300 (2,300,000,000)

Au labda umezungumzia dola ya zimbabwe
 
Inakuwaje wanaJF!

Kuwa Dollar Millionaire siyo mchezo naweza sema ni bahati ndio maana ni wachache sana. Wee fikiria nchi yenye watu million 60 halafu kati ya hao ni 450 ndio dollars millionaires siyo mchezo Aisee ni wakupongezwa.

Nimeshangazwa na hawa kuwa dolls millionaires nawapa pongezi sana.

1. Hamisa Mobeto 1-5 Millions US $
2. Irene Uwoya 1-5 $ millions US $
3. Wema Sepetu 1-5 millions US $
4. Wolper 1-5 millions US $
5. Harmonize 1.5 millions US $

Hongera na big up.

Diamond 5 millions $
Ali Kiba 5 millions $

Source: Google search

Vichekesho hivi hahahahha

Hizo sura hapo hamna Millionaire hata mmoja
 
Kiduku lilo ni $Bilionea..
halafu sio 450 hapa bongo wako zaidi ya hiyo hata 50k wanafika trust me.
Ni 450 mkuu. Hao wengine wanacheza na madafu
Braza unafeli.
$1M ni sawa na bilion 2.3Tsh tu
Sasa kwa viwanja tu masaki huko vipo vinatembea zaidi ya hiyo...hata kino tu kuna viwanja vya 500M+ wabongo weng wananunua..
tuje majengo: saiv dar yote imejaa maghorofa watu wanajenga majengo ya 800M+ kibao na ushee
Tuje magari watu wanaendesha hammer,V8 magari ya 200M+ hadi folen
Bado wenye majengo posta na kariakoo
Bado wanasiasa
Bado wafanyabiashara wakubwa
Bado watu wa migodi
Bado waarabu wa masheli na wahindi
unataka uniambie hawa watu wanakosa networth ya bilioni mbili tu?
pesa ndogo sana hiyo bwashee
Umemjibu vizuri sana kwa hoja makini. 💪🏾🙌🏾🙌🏾🔥
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Braza unafeli.
$1M ni sawa na bilion 2.3Tsh tu
Sasa kwa viwanja tu masaki huko vipo vinatembea zaidi ya hiyo...hata kino tu kuna viwanja vya 500M+ wabongo weng wananunua..
tuje majengo: saiv dar yote imejaa maghorofa watu wanajenga majengo ya 800M+ kibao na ushee
Tuje magari watu wanaendesha hammer,V8 magari ya 200M+ hadi folen
Bado wenye majengo posta na kariakoo
Bado wanasiasa
Bado wafanyabiashara wakubwa
Bado watu wa migodi
Bado waarabu wa masheli na wahindi
unataka uniambie hawa watu wanakosa networth ya bilioni mbili tu?
pesa ndogo sana hiyo bwashee
Kinondoni viwanja milion 500 ?


Hivi unaijua milion 5 wewe
 
Back
Top Bottom