feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,803
- 12,666
Kigamboni sio sehemu ya biashara,pia hiyo nyumba ni nzuri lakini haipo kibiashara na haipo eneo la biashara jamaa nyumba yao ina vyumba 10 lakini wamezungukwa na biashara tupu,japo eneo dogo lakini ukivunja unatoa ghorofa ya maana kwa ajili ya biashara kwahiyo kinachoipa thamani sio nyumba yao bali ni ile ardhi ya pale kwa sasa ni adimu na dili.
Basi iyo nyumba iliyotaka kununuliwa ipo ndani ya kiwanja zaidi ya heka 10. Cheki ilo ghorofa ni MBA gala ni million 500 na bado negotiable kumbuka na hapo madalali wanataka cha juu. Anayeiu, a usikute anata taka million 250View attachment 1623279