Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,511
Hii kamati ilikuwa ya kipuuzi na imenisikitisha. Yaani wamepigwa KO nzuri tu. Hamna lolote ambalo wamelitamka kisomi,kisheria ,kisayansi kuwa ndiyo kosa la Gwajima. HAMNA NI BLAH BLAH tu na kumpa Sifa za Kipuuzi Gwajima.
Nlitegemea hapa ndipo ambapo wangemwangusha vibaya Bwana Gwajima (huwa sipendi mwita Askofu) lakini inaonekana wote aliwazidi akili kabisa.
Yaani mtu kukataa kiti na mic nalo ni kosa kwao? Kwani kuna ulazima wa wewe kukaaa au kukalia kiti ambacho walimwandalia? Kwa nini hili limewauma?
Walipaswa to just ignore but mpaka kuliongelea suala hilo ina maana limewauma sana.naanza jiuliza hapa si itaonekana kuna kitu walipanga na sasa kime fail?
Hii kamati inaonekana haikuwa na la maana hata hakukuwa na watu smart. Je hamna wana sheria ambao wange refer Katiba na Sheria zinasemaje?
Huu ni wendawazimu. Wamezidi kumkuza Gwajima na kumpa ushindi rahisi sana. Nmechukia sana.
Nlitegemea hapa ndipo ambapo wangemwangusha vibaya Bwana Gwajima (huwa sipendi mwita Askofu) lakini inaonekana wote aliwazidi akili kabisa.
Yaani mtu kukataa kiti na mic nalo ni kosa kwao? Kwani kuna ulazima wa wewe kukaaa au kukalia kiti ambacho walimwandalia? Kwa nini hili limewauma?
Walipaswa to just ignore but mpaka kuliongelea suala hilo ina maana limewauma sana.naanza jiuliza hapa si itaonekana kuna kitu walipanga na sasa kime fail?
Hii kamati inaonekana haikuwa na la maana hata hakukuwa na watu smart. Je hamna wana sheria ambao wange refer Katiba na Sheria zinasemaje?
Huu ni wendawazimu. Wamezidi kumkuza Gwajima na kumpa ushindi rahisi sana. Nmechukia sana.