- Thread starter
- #21
Hongera russian.
Mwambie Afrodenzi ani-pm
Hongera russian.
Mupenzi naona nasi wachakachuaji wametutambua rasmi kwa kumteua mmoja wetu kuwa MOD.Hongera sana rafiki am very happy for you RR.Hongera russian.
Mupenzi naona nasi wachakachuaji wametutambua rasmi kwa kumteua mmoja wetu kuwa MOD.Hongera sana rafiki am very happy for you RR.
Kumbe ni Juhudi za Bundajo? Aisee asante sana. Ila nashangaa tu kitu kimoja, mbona umeingia juzi tu na mimi nilikua mod by then? Au ndio yale mambo ya FPNI (Refer to AshaDii, kama sijakosea hizo initials)Naona Invisible ameona akupe shavu la umoderator! Hii ni baada ya mimi kumsisitiza sana.
Kiranja ndio nini mkuu? Asante kwa kunipongeza.hongera yake,namtakia kazi njema ya ukiranja,ila nikichelewa namba usisahau kunipa. Nalog off
Thanks Husny...Hongera russian.
Thanks Uporoto... Itabidi niwe 'moderate' kidogo kwenye kuchakachua but sio saaaaaana... 🙂Mupenzi naona nasi wachakachuaji wametutambua rasmi kwa kumteua mmoja wetu kuwa MOD.Hongera sana rafiki am very happy for you RR.
Kwanini hamtaki kuchangia thread zanguu?
Thanks Katavi. Kila nikikuona nakumbuka you were the first kunipokea... asante.Hongera RussianRoulette.
It lacks a dimention of imminent risk, great excitement and a punch adrenaline, which are inherent to my personality. 😉Congrts,
I like AmericanRoulette!!
Asante sana Tigger (pronounce Tiga 🙂 )Congratulations are in order.
Asante sana Tigger (pronounce Tiga 🙂 )
You are welcome, I meant every word I said... 😛oaHahaaa..gotta make sure you get that pronounciation right!
NB: And thanks for your concern my friend! I appreciate it more than you can imagine.
Congratulations are in order.
Kumbe ni Juhudi za Bundajo? Aisee asante sana. Ila nashangaa tu kitu kimoja, mbona umeingia juzi tu na mimi nilikua mod by then? Au ndio yale mambo ya FPNI (Refer to AshaDii, kama sijakosea hizo initials)
Kiranja ndio nini mkuu? Asante kwa kunipongeza.
Thanks Husny...
Thanks Uporoto... Itabidi niwe 'moderate' kidogo kwenye kuchakachua but sio saaaaaana... 🙂
Asanteni sana my friends!
Congratulations!!! ... 'have no doubt .. You deserved this and much more!!
Hii post imenichekesha sana. Ha ha ha ha ha ha
Kwa nini imekuchekesha?
Vamos Ver, disse o cocego... Vamos ver.Eu sou do pouco whi sabe que meios de Bundajo.
Kwasababu haijaniliza.