Hongera Ridhiwani Kikwete!!!

Pasco,
Sikatai unachokiongea hapa. Nifahamishe zaidi yafuatayo:
-Kwa nini taaluma hizi hadi leo hazina boards za kitaaluma kama vile NBAA ya wahasibu, ERB ya wahandisi,...
-Kwa nini mpangilio wa vyeo na madaraka haufati elimu ya mtu? Kwa mfano, AG au CJ alipaswa kuwa PhD holder ambao Tanzania hii tunao wengi tu.
Kutoa mfano wa watu kama Arnold Kileo haututendei haki Watanzania. TBL sasa hivi iko mikononi mwa nani? Aliisimamia hadi ikauzwa kwa bei ya kutupa kama NBC yetu kisha naye akajigawia hisa. Nadhani pia unaelewa mikataba mbalimbali tuliosaini kama NCHI ilikotufikisha.
Wild Card,
Utaratibu wa kuupata uwakili, ndio professsional body ya taaluma ya sheria kwa mawakili, baada ya kuhitimu, huwi wakili hivi hivi tuu ndio maana inachukua muda kuupata, hili batch waliopata juzi, walimaliza UD, 2006. Mawakili wakifanya visivyo, pia huchukuliwa hatua za kunyang'anywa uwakili kama ambavyo baadhi wamesha vuliwa.

Hili la proffesionalism ni subjective, requirement ya kuwa wakili, jaji, mwanasheria mkuu, sio academic execelence, possession ya LL.B tuu pre-requisite na inatosha kumaliza kila kitu.

Hii ni sawa na bodi za kitaaluma za madaktari, kupata sifa ya kuitwa daktari, ni kupa MD tuu, hizo specialization ni ziada na sio lazima.

Wanasheria wazuri na waliobobea wanahitaji zaidi burasa na uzoefu tuu na sio mavyeti ya taaluma za juu, hivyo sio ajabu kukuta pale mlimali, wanasheria vichwa wenye 1st Class kama Prof. Kabudi, ambao ni mabingwa waliobobea kwenye sheria, ndani nje, kamsimamishe Kabudi Mahakamani!, matokea ndio yale ya ushauri kuhusu mgombea binafsi alioutoa na CJ kuukubali na kuufuata na matokeo ndio yale.

Kuwa mwanasheria mzuri, hakuhitaji masters, kwa maoni yangu, hapa Tanzania, bado hatajapata wakili mahiri kwa kiwango cha Murtaza Lakha, huyu alijipatia LL.B tuu kwisha biashara, arguments zake na reasoning power yake ilikuwa juu sana. Ndiye alisimamia zile kesi za Mauaji Mwanza. Mauaji Shinyanga na Kesi ya Uhaini ya 1982 akiwatetea mshitakiwa wa kwanza , Pius Lugangila na Mshtakiwa wa Pili, Hatty McGhee, japo walitiwa hatiani, cha moto serikali ilikipata. Hata wakili mwenye mafanikio makubwa kabisa kuliko wakili mwingine yoyote Tanzania in terms of resources, Nimrod Mkono, alipata just a Pass na hana Masters ya sheria mpaka kesho, and is doing fine, wakati Ma Ph.D sheria, wanajaza tuu masheflf pale mlimali na mareaseach yao yasiyofanyiwa kazi.

Tukubali tukatae, sheria ni fani adhimu ukiwaondoa wendawazimu wachache wanaotaka kuichafua.
 
Pasco,
Sheria ni fani adhimu ni kweli lakini mmeiweka sokoni kupita kiasi. Ni rushwa kwa kwenda mbele. Mnatuuzia HAKI tena kwa bei mbaya. Sasa hivi kumpata wakili mzuri akutetee ni lazima uuze nyumba unayoishi au mkeo aolewe tena upate ng'ombe uuze umlipe wakili.
 
Wild Card,



Wanasheria wazuri na waliobobea wanahitaji zaidi burasa na uzoefu tuu na sio mavyeti ya taaluma za juu, hivyo sio ajabu kukuta pale mlimali, wanasheria vichwa wenye 1st Class kama Prof. Kabudi, ambao ni mabingwa waliobobea kwenye sheria, ndani nje, kamsimamishe Kabudi Mahakamani!, matokea ndio yale ya ushauri kuhusu mgombea binafsi alioutoa na CJ kuukubali na kuufuata na matokeo ndio yale.

Kuwa mwanasheria mzuri, hakuhitaji masters, kwa maoni yangu, hapa Tanzania, bado hatajapata wakili mahiri kwa kiwango cha Murtaza Lakha, huyu alijipatia LL.B tuu kwisha biashara, arguments zake na reasoning power yake ilikuwa juu sana. Ndiye alisimamia zile kesi za Mauaji Mwanza. Mauaji Shinyanga na Kesi ya Uhaini ya 1982 akiwatetea mshitakiwa wa kwanza , Pius Lugangila na Mshtakiwa wa Pili, Hatty McGhee, japo walitiwa hatiani, cha moto serikali ilikipata. Hata wakili mwenye mafanikio makubwa kabisa kuliko wakili mwingine yoyote Tanzania in terms of resources, Nimrod Mkono, alipata just a Pass na hana Masters ya sheria mpaka kesho, and is doing fine, wakati Ma Ph.D sheria, wanajaza tuu masheflf pale mlimali na mareaseach yao yasiyofanyiwa kazi.

Tukubali tukatae, sheria ni fani adhimu ukiwaondoa wendawazimu wachache wanaotaka kuichafua.
HTML:
He was the last born with five siblings. He emulated his father whom he had served to the end. From a very tender age he was reputed to be wise with a formidable and charming personality, yet humble. Having always been an excellent student in Zanzibar, he completed his Barrister-at-law qualifications at the age of twenty and graduated top of his year. Being underage he had to wait another year before he could be called to the Bar at Lincoln's Inn in London. His devotion to his parents is inspiring, for he declined a prestigious offer from Lord Denning to join his chambers in London, in order to swiftly return to Zanzibar where he served his family and the community under trying circumstances.
 
Angalizo:http://www.world-federation.org/NewsOfDeath/NewsOfDeathEntry2.htm?id=1556
 
Pasco,
Sheria ni fani adhimu ni kweli lakini mmeiweka sokoni kupita kiasi. Ni rushwa kwa kwenda mbele. Mnatuuzia HAKI tena kwa bei mbaya. Sasa hivi kumpata wakili mzuri akutetee ni lazima uuze nyumba unayoishi au mkeo aolewe tena upate ng'ombe uuze umlipe wakili.
Uchache wa mawakili its a fact, na kati ya hao mawakili wachache waliopo, mawakili wazuri ni wachache zaidi, hivyo sheria za demand na supply zinaaply katika kupanga bei.

Pamoja na yote hayo, bado kuna wanasheria waziri tuu ambao ni mawakili sio tuu hawacharge hela nyingi, bali hawachukui hata senti tano yako, mmoja wapo ni Prof. Issa Shivji, huyu haihitaji kulipwa kuhakikisha unapata haki yako, ndio maana ametumika sana pale kwenye ile Kamata ya Msaada wa Kisheria ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, na miongoni mwa kesi alizosimamia, ni pamoja na ile kesi maarufu ya Martha Wejja na hii kesi ya juzijuzi ya Bawata ilianza mwaka 1993 na kuamuliwa juzi baada ya miaka 15!.

Kufuatia demand ya mawakili kuwa kubwa, ndipo ma opportunist wanapenyea hapo hapo kwa lengo la kuvuna pesa na sio kuhakikisha haki inatendeka, hali inayopelekea hii fani ya uwakili kuonekana kama imevamiwa.
 
Pasco,
Sheria ni fani adhimu ni kweli lakini mmeiweka sokoni kupita kiasi. Ni rushwa kwa kwenda mbele. Mnatuuzia HAKI tena kwa bei mbaya. Sasa hivi kumpata wakili mzuri akutetee ni lazima uuze nyumba unayoishi au mkeo aolewe tena upate ng'ombe uuze umlipe wakili.

That is!
Nasikia kila jaji ana bei yake. ukiwa na kesi nzito, wengine bei yao ni milioni 20 wengine 30, 50 nk. Hata kesi ya mauaji watakuchomoa tu!
 
Wild Card,
Utaratibu wa kuupata uwakili, ndio professsional body ya taaluma ya sheria kwa mawakili, baada ya kuhitimu, huwi wakili hivi hivi tuu ndio maana inachukua muda kuupata, hili batch waliopata juzi, walimaliza UD, 2006. Mawakili wakifanya visivyo, pia huchukuliwa hatua za kunyang'anywa uwakili kama ambavyo baadhi wamesha vuliwa.

Hili la proffesionalism ni subjective, requirement ya kuwa wakili, jaji, mwanasheria mkuu, sio academic execelence, possession ya LL.B tuu pre-requisite na inatosha kumaliza kila kitu.

Hii ni sawa na bodi za kitaaluma za madaktari, kupata sifa ya kuitwa daktari, ni kupa MD tuu, hizo specialization ni ziada na sio lazima.

Wanasheria wazuri na waliobobea wanahitaji zaidi burasa na uzoefu tuu na sio mavyeti ya taaluma za juu, hivyo sio ajabu kukuta pale mlimali, wanasheria vichwa wenye 1st Class kama Prof. Kabudi, ambao ni mabingwa waliobobea kwenye sheria, ndani nje, kamsimamishe Kabudi Mahakamani!, matokea ndio yale ya ushauri kuhusu mgombea binafsi alioutoa na CJ kuukubali na kuufuata na matokeo ndio yale.

Kuwa mwanasheria mzuri, hakuhitaji masters, kwa maoni yangu, hapa Tanzania, bado hatajapata wakili mahiri kwa kiwango cha Murtaza Lakha, huyu alijipatia LL.B tuu kwisha biashara, arguments zake na reasoning power yake ilikuwa juu sana. Ndiye alisimamia zile kesi za Mauaji Mwanza. Mauaji Shinyanga na Kesi ya Uhaini ya 1982 akiwatetea mshitakiwa wa kwanza , Pius Lugangila na Mshtakiwa wa Pili, Hatty McGhee, japo walitiwa hatiani, cha moto serikali ilikipata. Hata wakili mwenye mafanikio makubwa kabisa kuliko wakili mwingine yoyote Tanzania in terms of resources, Nimrod Mkono, alipata just a Pass na hana Masters ya sheria mpaka kesho, and is doing fine, wakati Ma Ph.D sheria, wanajaza tuu masheflf pale mlimali na mareaseach yao yasiyofanyiwa kazi.

Tukubali tukatae, sheria ni fani adhimu ukiwaondoa wendawazimu wachache wanaotaka kuichafua.

Nimrod Mkono unasema anafanya fine kwa kushirikiana na BOT kuiibia serikali!?
Kama huo ndio upeo wako wa mafanikio katika sheria,basi wewe ni kilaza
 
Nimrod Mkono unasema anafanya fine kwa kushirikiana na BOT kuiibia serikali!?
Kama huo ndio upeo wako wa mafanikio katika sheria,basi wewe ni kilaza
Ndugu yangu mmakonde, kwanza naukubali ukiliza wangu, japo ukilaza ni subjective, unaweza ukawa kipanga aneo fulani na wakati huo huo ni kilaza eneo jingine.

Nimemzungumzia Nimrod Mkono kama most sucessiful lawyer na law firm yake, hiyo kazi aliyofanya na BOT, ni moja tuu kati ya nyingi na hizo fedha za deal yake na BOT ni vijisenti tuu kwenye turn over yake.

Mind well, nazungumzia mafanikio yake na sio usafi wake. Ikitokea ndugu yangu mmokonde wewe, ukaendesha vogue yako, ukasimamisa ghorofa lako, ukaikopesha bodi ya mikopo pesa zako, kuwalipia wanafunzi wa vyuo vikuu vyote kwa miaka 3 mfululizo, kwa watakaokupima kwa matokea, utasemekana umefanikiwa, regardless ni means gani umepata hela yako, uliiba, uliua, ulipewa na mganga, ulitapeli BOT, mafanikio yako yanapimwa kwa matokeo kwa mujibu wa ile kanuni ya "The end justify the means"

Wako kilaza Pasco.
 
Bado anafanya kazi kwenye kampuni ya Marsha (IMMMA) au ameshajiuzuru ili akitumikie chama chake kwenye idara ya Sheria baada ya kuhitimu uwakili? kwenye update plse!
 
Back
Top Bottom