Kenya 2022 Hongera Rais wetu mpya, Dkt. William Ruto

Kenya 2022 General Election
Mtamkumbuka sana Uhuru pamoja na mapungufu yake.
Sisi tuliwahi kupata mtawala ambaye kila dakika alimtamka Mungu lkn cha moto tulikiona na madhara yake bado yanalitesa taifa.
Ninawapa pole na subirini cha Moto kuanzia 2023 mtaanza kujuta

Watu hawana haya ya kumtaja Mungu. Ni bahati tu kwamba hasira zake ziko mbali kama vile mashariki ilivyo mbali na mangaribi. Umemshika Mungu kwa mkono wa kuime mkono wa kushoto unatoa rushwa hadi madhabahuni kununua makasisi.
 
Kama Raila mwenyewe alisema ataheshimu maamuzi ya Mahakama wewe ni nani hadi u question Mahakama yao ? Unaishi Dunia nyingine, eti wamuombe Kikwete ungejua hata kumjua siajabu hawamjui wala usingemtaja, hakuna watu Wakenya wanawadharau kama Watanzania hilo labda hamjalijua tu bado vinginevyo msingejipendekeza hivyo kwa kwa watu ambao wanawadharau.

Jinsi ambavyo unavyofikiria sivyo wanavyokuona, unajidanganya sana.

Pigeni magoti tena Ikulu kumuomba na Ruto msamaha!
Hauwezi ukakuta neno dharau Tanzania, Sisi tunawapendwa watu wote na tunapendana sana sana

Hata Kenya hakuna dharau labda kwa watu maskini, Nimeishi Nairobi University miaka ya 1983 hata siku moja sikuwahi ona Mkenya anayetoka familia za kitajiri anawaza ujinga na dharau

Wewe maskini wa kibera huko huwezi kumfahamu Kikwete wala Othman Chande, Wewe siasa unasimuliwa tu


Sisi watanzania hatuna ukabila kama Kenya, Wala tukikutana ofisini au barabarani hatuulizani ukabila wala dini

Na hata uchaguzi wa juzi nimehudhuria siku ya kufunga kampeni kwenye uwanja wa kasarani, Nilipangwa hapo kama muangalizi kuangalia Kampeni za lala salama zimekaa vipi za Azimio, Matajiri tuliokaa nao jukwaa kuu ni story sana na sisi,

Maskini msiojielewa ambao hata mustakabali wa Maisha ya ndugu na Familia zenu Kenya ndio mna ukabila na dharau,

Matajiri wa kenya wanawatumia wapumbavu na wajinga kama wewe wakati wa uchaguzi kikabila ili kujipatia kura na wewe umejazwa upupu wa dharau

Wakenya wenzako wapo wengi Dar es Salaam wanaheshima na nidhamu sana na ni Family friend, Na hata Mimi nikienda huko kwao vijijini kuwasalimia familia zao zina nidhamu na heshima

Watu ambao ni maskini sana ndio wana dharau sana na wanadharau hata kwao

Wewe unadharau kwenu Kibera!!!!!
 
Watanzania siasa za kenya zinapaswa Sana kutufundisha

Ila Leo mahakama haiko huru
Bunge haliko huru

Kila kitu Kipo under control ya CCM

Rais Mungu MTU Kwa mfumo WA nchi yetu.
Tanzania iliyoikomboa Africa mashariki na kusini Mwa Africa Leo hii tumekuwa vipofu WA kwenda kujifunza toka Kwa tuliowapambania democracia so shame
Sasa hao ndio wana Rais made in Venezuela

Wameona aibu tu kusema mifumo iliingiliwa lakini hoja kama tano za Azimio zina mashiko sana

Majaji wakaona Itakuwa fedhewa na aibu
 
Jiandaeni pia kumpigia magoti Ruto ndani ya Ikulu ya Tanzania kumuomba msamaha, hii nchi yetu sijui tu, kwa kweli, ila saa inatiki na kunakaribia kukucha!
Nusu ya Kenya ni Jangwa, Mpaka tunapoongea hapa Kenya Mifugo inakufaa kwa ukame

Watu wanakufa kwa ukame na njaa kenya

Kampeni zinaendelea baadhi ya maeneo niliyopita Kenya kwa kweli ni huruma sana na serikali ina Jitahidi lakini kuna hali mbaya sana ya njaa, Mifugo inakufa sana

Ruto sio presidential material, Hana tofauti na Magufuli wa wakati huo Tanzania

Ruto na Magufuli hakuna tofauti, Wanaabudi na kusali sana lakini upande wa pili???
Urais Unahitaji usiwe na visasi wala hasira

Ruto mpaka Leo ameshinda ana uchungu na The Citizen TV, ana uchungu na wale wasiomuunga mkono, Ana uchungu na Ardhi iwe yake binafsi

Mkuu siasa za Afrika ni ngumu sana

Ruto alifaa kuwa Waziri mkuu au Makamu tu, Awepo mtu wa kumdhibiti

Huyo atawashughulikia wakenya na kuwarudisha utawala wa Moi wa Kutekana na kuteswa

Watawala wa Afrika na Siasa zetu watu tunafahamiana sana

Urais sio chuki kwa wanaokupinga,

Ruto ataanzisha ukabila mpya Kenya na mapambano mapya ya watu kupigana kama State machinery hazitamdhibiti huyo

Kenyatta Uhuru ni presidential material

Kibbaki Mwaik ni presidential material

Samia ni presidential material

Kikwete ni presidential material

Ruto na Magufuli a big Nooooooo
 
Nusu ya Kenya ni Jangwa, Mpaka tunapoongea hapa Kenya Mifugo inakufaa kwa ukame

Watu wanakufa kwa ukame na njaa kenya

Kampeni zinaendelea baadhi ya maeneo niliyopita Kenya kwa kweli ni huruma sana na serikali ina Jitahidi lakini kuna hali mbaya sana ya njaa, Mifugo inakufa sana

Ruto sio presidential material, Hana tofauti na Magufuli wa wakati huo Tanzania

Ruto na Magufuli hakuna tofauti, Wanaabudi na kusali sana lakini upande wa pili???
Urais Unahitaji usiwe na visasi wala hasira

Ruto mpaka Leo ameshinda ana uchungu na The Citizen TV, ana uchungu na wale wasiomuunga mkono, Ana uchungu na Ardhi iwe yake binafsi

Mkuu siasa za Afrika ni ngumu sana

Ruto alifaa kuwa Waziri mkuu au Makamu tu, Awepo mtu wa kumdhibiti

Huyo atawashughulikia wakenya na kuwarudisha utawala wa Moi wa Kutekana na kuteswa

Watawala wa Afrika na Siasa zetu watu tunafahamiana sana

Urais sio chuki kwa wanaokupinga,

Ruto ataanzisha ukabila mpya Kenya na mapambano mapya ya watu kupigana kama State machinery hazitamdhibiti huyo

Kenyatta Uhuru ni presidential material

Kibbaki Mwaik ni presidential material

Samia ni presidential material

Kikwete ni presidential material

Ruto na Magufuli a big Nooooooo
Kama upo sawa lakini naamini Ruto hana Visasi kihivyo unavyodhani na kufikiri
 
Ngoja tuone watakavyo fanyakazi na Naibu wake kwanza, wote wajuaji. Lakini vyombo vya Habari, Citizen na Inooro kwa mfano. Maswali yao kwenye press leo yamewekwa viporo. Hasa huyo wa Citizen kapiga kwenye mshono baada ya kuchekwa.
 
The gentleman baught us football in Kahoya when I was young, 1997, alikua anapita campaigning tulikua tunacheza ball, "lifundo" if u know it, then he promised kutuletea adidas, and he sure did by evening! I didn't vote him but he has earned my respect, yaani kumbe even Moi didn't want him to be an MP, saw in a documentary about him, meaning jamaa ni self made, a real hustler! Wueh! Nimetii walai!

Yeah! Moi hakumtaka, if I remember well he fought off the then MP Mr. Chesire, he is a true hustler, my problem with him is that his name has featured in almost every major scandal.
 
Mwambie Mithali 20:1 inazungumzia mvinyo na vileo/pombe. Magari na Farasi ni Zaburi 20:7 Mungu hazihakiwi.
Huyo si alishapora ardhi za watu au Umesahau mkuu?

Sasa Yeye ndio Boss kwa sasa, Muwe mnatunza kumbukumbu
 
Ndio maana wakenya wanaendelea, walishatoka era za ujinga miaka mingi wale kwenye mambo mengi wako civilised kwa level ya hali ya juu kabisa

Ukabila tu ni kielelezo tosha kwamba si wajinga tu bali ni zaidi ya hapo ni watumbafu.
 
Yeah! Moi hakumtaka, if I remember well he fought off the then MP Mr. Chesire, he is a true hustler, my problem with him is that his name has featured in almost every major scandal.
Niko na wasi wasi pia..,
 
The gentleman baught us football in Kahoya when I was young, 1997, alikua anapita campaigning tulikua tunacheza ball, "lifundo" if u know it, then he promised kutuletea adidas, and he sure did by evening! I didn't vote him but he has earned my respect, yaani kumbe even Moi didn't want him to be an MP, saw in a documentary about him, meaning jamaa ni self made, a real hustler! Wueh! Nimetii walai!
Kuria west and kuria east in migori county should be remembered in his administration.
 
Nakubaliana na wewe mkuu, Jamaa Inaonekana ana machungu sana sana na atalipa kisasi

Suala la kusema kuna watu walimtisha na hataki handshake kuna kitu Kenya mtakipata

Huyu anaweza warudisha enzi za Moi na watu Kutekwa na kupotezwa, Mlipitia haya kwa miaka zaidi ya 25

Sisi tangu huru tumepitia mambo magumu wakati wa JPM tu,

Watanzania hata siku moja hatujawahi kuchukia viongozi wetu uwe umeiba kura au hukuiba kura lakini Jamaa alikuwa na hasira kama za huyo Ruto

Ruto kwa alivyo ata dili na watu wengi sana

Time will tell

..Mimi nina matumaini Ruto hatalipiza kisasi.

..USHINDI humfanya mtu asamehe waliomtendea mabaya.

..Mtakumbuka Mandela alifanyiwa dhuluma kubwa, lakini alipopata ushindi na madaraka hasira zote zikaisha.
 
Ngoja tuone Wabongo watakavyonza kujipendekeza kwa Ruto kuanzia utosini mwao mpaka miguuni kama kawaida yao kujipendekeza kwa winners, muda si mrefu watapiga magoti ikulu kumuomba msamaha Ruto full kujidhalilisha, uzuri ni kwamba Ruto hana mpango na Tanzania na sijui hata kama keshawahi kufika, huyo yuko na Uganda.

Anyway laana aliyopigwa Uhuru Kenyata na Mungu itafika Bongo soon, hata huku ana watu wake pia siyo Raila tu, Mungu yuko fair siku zote.

Uhuru nenda zako, pure evil!
Tanzania hatutegemei kenya ila kenya inategemea sana Tanzania!! Bidhaa za viwandani toka kenya ni nyingi sana! mkileta za kuleta tutawapiga marufuku kuletra bidhaa zenu na tutaagiza toka malawi, Zambia na afrika ya kusini!! Tuna chakula cha kutosha!!
 
Nusu ya Kenya ni Jangwa, Mpaka tunapoongea hapa Kenya Mifugo inakufaa kwa ukame

Watu wanakufa kwa ukame na njaa kenya

Kampeni zinaendelea baadhi ya maeneo niliyopita Kenya kwa kweli ni huruma sana na serikali ina Jitahidi lakini kuna hali mbaya sana ya njaa, Mifugo inakufa sana

Ruto sio presidential material, Hana tofauti na Magufuli wa wakati huo Tanzania

Ruto na Magufuli hakuna tofauti, Wanaabudi na kusali sana lakini upande wa pili???
Urais Unahitaji usiwe na visasi wala hasira

Ruto mpaka Leo ameshinda ana uchungu na The Citizen TV, ana uchungu na wale wasiomuunga mkono, Ana uchungu na Ardhi iwe yake binafsi

Mkuu siasa za Afrika ni ngumu sana

Ruto alifaa kuwa Waziri mkuu au Makamu tu, Awepo mtu wa kumdhibiti

Huyo atawashughulikia wakenya na kuwarudisha utawala wa Moi wa Kutekana na kuteswa

Watawala wa Afrika na Siasa zetu watu tunafahamiana sana

Urais sio chuki kwa wanaokupinga,

Ruto ataanzisha ukabila mpya Kenya na mapambano mapya ya watu kupigana kama State machinery hazitamdhibiti huyo

Kenyatta Uhuru ni presidential material

Kibbaki Mwaik ni presidential material

Samia ni presidential material

Kikwete ni presidential material

Ruto na Magufuli a big Nooooooo
Kama Ruto ni kama Magufuli basi mtakuwa mmepata rais mzuri sana!!! Ila nasikia Ruto ana traits za ufisadi wakati Magufuli hakuwa hata na chembe ya ufisadi, ndio maana alipiga vita sana ufisadi.
 
Back
Top Bottom