Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,754
- 3,682
Mtamkumbuka sana Uhuru pamoja na mapungufu yake.
Sisi tuliwahi kupata mtawala ambaye kila dakika alimtamka Mungu lkn cha moto tulikiona na madhara yake bado yanalitesa taifa.
Ninawapa pole na subirini cha Moto kuanzia 2023 mtaanza kujuta
Watu hawana haya ya kumtaja Mungu. Ni bahati tu kwamba hasira zake ziko mbali kama vile mashariki ilivyo mbali na mangaribi. Umemshika Mungu kwa mkono wa kuime mkono wa kushoto unatoa rushwa hadi madhabahuni kununua makasisi.