Hongera Rais Magufuli kwa kumaliza mgogoro na Kenya

APA CHICAGO

JF-Expert Member
Oct 20, 2019
259
293
Hongera Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuongea na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na kisha kuumaliza mgogoro uliokuwa unataka kutokea katika mipaka yetu wa Tanzania na Kenya.

Ieleweke kuwa mahusiano mazuri kati yetu na nchi majirani zetu ni kitu muhimu kiuchumi nk.Nitoe rai kwa viongozi wa mikoa iliyomipakani busara daima itangulie daima katika kudeal na diplomatic issues.

Mungu ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania
 
Tatizo wenzetu walianza kufikiria utalii wakati msimu wenyewe bado haujaanza sasa kuanza kutuchafua Tanzania kabla ya muda ili Wao waonekane Safi. Ningumu mtu mwenye akili timamu kuamini.

wao mchana kutwa Wana kuahuru na kufanya kazi Kama sisi,usiku muda wa kulala ndio wanaji lockdown.

Leo hii madereva wetu wanaoingia Kenya 90%waonekane Wana Corona alafu wakwao wanao kuja kwetu Tanzania wana kaa karibu wiki nzima wakirudi kwao pale mpakani waliopimwa wanaonekana wazima. Hii ina onyesha ni hujuma bila Shaka yoyote.Tangulini Corona ikabagua?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais ana uthubutu na msimamo usioyumba, hata Kenyatta namsifu kwa kukabili tatizo fasta.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Like binafisi nimefurahi kusikia hatua nzuri zimefikiwa ilinkuleta mahusiano mema.Kwani kwa fikila zangu Kenya tupo nao karibu sana kuna wimbo Rose mhando kaimb unaitwa barikiwa Kenya na amemsifu Uhuru Kinyatta sana
 
Kama kawaida. Jamaa kawashika na kuwafungia akili. Haya matatizo kayatengeneza mwenyewe ili baadaye aje ajifanye anayatatua. Jamaa ni bonge la con-artist!!
Mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni.Mhe Rais kwa hili kafanya vyema kuliko unavyofikilia.
 
Hapa
Tatizo wenzetu walianza kufikiria utalii wakati msimu wenyewe bado haujaanza sasa kuanza kutuchafua Tanzania kabla ya muda ili Wao waonekane Safi. Ningumu mtu mwenye akili timamu kuamini.

wao mchana kutwa Wana kuahuru na kufanya kazi Kama sisi,usiku muda wa kulala ndio wanaji lockdown.

Leo hii madereva wetu wanaoingia Kenya 90%waonekane Wana Corona alafu wakwao wanao kuja kwetu Tanzania wana kaa karibu wiki nzima wakirudi kwao pale mpakani waliopimwa wanaonekana wazima. Hii ina onyesha ni hujuma bila Shaka yoyote.Tangulini Corona ikabagua?


Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wa mheshimiwa Rais wetu ni msimamo lakini pia na usome wake unampa kujiamini
 
WATANZANIA WENGI NI WAPU.MBAVU SANA. JANA WALIKUWA WANAMUUNGA SHEGELA KUFUNGA MPAKA NA TANGA. LEO MKUU KAONGEA NA KENYATA WANAJIFANYA WANASIFIA TENA, DUH!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Like binafisi nimefurahi kusikia hatua nzuri zimefikiwa ilinkuleta mahusiano mema.Kwani kwa fikila zangu Kenya tupo nao karibu sana kuna wimbo Rose mhando kaimb unaitwa barikiwa Kenya na amemsifu Uhuru Kinyatta sana

..migogoro hii isingetokea kama Jpm angejumuika na viongozi wenzake wa eac na sadc ktk vikao vyao kwa njia ya mtandao.
 
wamekusikia
Hivi kweli hili nalo kuna watu wanasema Mheshimiwa Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli Kakosea?.Kwangu Mimi Rais kaonysha weledi sana.Anastahili pongezi na Hongera nyingi.Mwisho sijapost ili nipate uteuzi bali nimekubali na kuthamini kile alichokifanya.
 
Back
Top Bottom