Safi sana mkuu uko objective.View attachment 434826View attachment 434827View attachment 434828View attachment 434830
Uache ukilaza wako kwenye sehemu ambayo ni public kama hapa sehemu ya GT kama hujui vitu ungeomba ufundishwe wenzio hivi vitu ni hobby na tunafanya kila siku kuexplore raha ya technologia
Na wana bahati cable hazijaenea tz nzima mfano hapa tabora sidhan kama watu wanawza kuhusu dstv maana ni mwendo wa cable beinsports na sports 24 wanakimbiza saana.....
GeechiePlus MA Mobdro lazima washuke tu maana nilishaacha ujinga me napiga bluestack kwenye pc yangu nafungua Mobdro naconnect na Hdmi cable nakula game kama niko UK kwa msaada WA Vodacom 4G ya buku mbili tu 2Gb.
Mkuu Hdmi cable ni kwa TV inayosupport HD technology most ni hizi flatscreen nyingi za siku hizi,ila kama huna ila TV yako inasupport VGA cable tumia hata hiyo kikubwa una ifanya display ya TV iact kama display kuu ya computer yako.Geechie
Naomba kujua hiyo Hdmi cable inakuwaje?.Tupia kapicha niyone mkuu.
Wewe kama mimi mkuu,nilihama King'amuzi chao kwa upuuzi wao wa kupandisha bei kila kukicha.Nasubiri hiyo tarehe15 nikalipie,mi nilikuwa nacheki TBC na channel ten tu kwa Sababu wanapandisha bei hovyo wakisingizia eti dola inapanda sijalipia mwaka mzima
nimekuelewa mkuuNafaham lkn nimependa hizo nyingine waliongeza kama dicvery hd,dcvry family,itv na b4u japo wanatakiwa washushe bei zaidi
kwa kweli kwenye bei ni majanga. Ndo ukute unalipia ili upate mipira yote halafu upo busy mipira yenyewe unaitazama kwa kubeepNafaham lkn nimependa hizo nyingine waliongeza kama dicvery hd,dcvry family,itv na b4u japo wanatakiwa washushe bei zaidi
Najuuuta nligawa king'amuzi changu cha dstv baada ya kununua azam tv now nimegundua azam tv tofauti na local channel na idx, discovery na aljazeera zilizobaki kwangu hakuna zenye maanaNimependa kuwa compact plus inaonesha mechi zote na pia channel kama duscivery hd,ci na nyingine kali zimefunguliwa kwl ushindani unasaidia
Unatisha mkuuView attachment 434826View attachment 434827View attachment 434828View attachment 434830
Uache ukilaza wako kwenye sehemu ambayo ni public kama hapa sehemu ya GT kama hujui vitu ungeomba ufundishwe wenzio hivi vitu ni hobby na tunafanya kila siku kuexplore raha ya technologia
Compact inaonesha mechi zote?Nimependa kuwa compact plus inaonesha mechi zote na pia channel kama duscivery hd,ci na nyingine kali zimefunguliwa kwl ushindani unasaidia
Mkuu hivi kwenye Freesat unaweza kupata TBC
bado huku kupo juuu no stress hivi mkuu hiyo android box unalipia kiasi gani kwa mwezi na inauzwa bei gani pia unapata mechi nyingi kiasi maana huyu sport 24 Hd ikitokea game zipo muda mmoja ni shida kidogo mfano ile ya man u na swansea hawakuonyesha bali wakaichukua ya liverpool
Compact plus soma vzr ila compact baadhiCompact inaonesha mechi zote?
Hiyo bomba wangefanya 15,000/= Compact 50,000/= Compact plus 80,000/= na premium 100,000/= HALI SI HALI JAMANI Waweke bei rafiki watu tuuangalie mipira na wake zetu nyumbani. Kwanza wakishusha bei hata walipaji wataongezeka. Hata wakipiga simu kuwakumbusha watu kulipa huwa haisadii kwakuwa bei ni kubwa sana! Mult Choice are you there?Dstv kidogo kidogo wanaanza kupata akili kuanzia ijumaa ligi ya Spain itakuwa inaonekana kwenye kifurushi kidogo kabisa cha Dstv bomba ambacho kimepunguzwa bei na kuwa sh 19750.hakika wamegusa kilio chetu,wajiongeze kidogo watupunguzie na Epl katika compact isogee hata mpaka sh60000 itakuwa poa sana.
Hizo receiver hazichagui ni wewe tu na setting ya dish lakoMkuu hivi kwenye Freesat unaweza kupata TBC
Ijumaa ya tarehe ngapi mkuuDstv kidogo kidogo wanaanza kupata akili kuanzia ijumaa ligi ya Spain itakuwa inaonekana kwenye kifurushi kidogo kabisa cha Dstv bomba ambacho kimepunguzwa bei na kuwa sh 19750.hakika wamegusa kilio chetu,wajiongeze kidogo watupunguzie na Epl katika compact isogee hata mpaka sh60000 itakuwa poa sana.
Maneno yako waswahili wasema kuntu laki moja sawa kwa premium maana kwngu mm sioni umuhim zaidi ya mpira tena ya man nimejikaza madridHiyo bomba wangefanya 15,000/= Compact 50,000/= Compact plus 80,000/= na premium 100,000/= HALI SI HALI JAMANI Waweke bei rafiki watu tuuangalie mipira na wake zetu nyumbani. Kwanza wakishusha bei hata walipaji wataongezeka. Hata wakipiga simu kuwakumbusha watu kulipa huwa haisadii kwakuwa bei ni kubwa sana! Mult Choice are you there?
Sport 24 HD unaipata wapi?Chezea Sport 24 HD na android box, watanyooka tu
Dakika 90 unatumia mb ngapi