Dada na Member mwenzetu Msindima wa Arusha amenipigia jana kuwa usiku wa kuamkia Jumapili 30/11/2011 saa 9.00 za usiku alijaaliwa kupata Babygirl.
Ikumbukwe kuwa Msindima alifunga ndoa iliyohudhuriwa na wanaJF kibao mwaka 2009.
Lakini pia mtoto huyu mpya kwa Msindima ni precious baby, kutokana na matatizo ya uzazi ambayo ameyapitia siku za nyuma.
Nachukua nafasi hii kumpongeza sana Dada Msindima kwa ugeni huu, na Mungu aibariki sana familia yake.