RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,745
- 107,901
Katika hatua yoyote ya maendeleo hapakosekani kundi litakaloumia. Tupo tunaoshangilia njia sita kimara-Kibaha wakati wapo wanaolia kuvunjiwa nyumba na biashara zao.Lakini tukumbuke ktk shida ya ajira hao machinga ambao Leo mnafurahia kuwa wamefukuzwa mjini ni vijana graduates ambao wamekosa ajira hawajapenda kupanga vitu barabarani ila ni maisha ....mpango mzima wa hili swala sijaona ukizungumza ni jinsi watawasaidia Hawa machinga warudi ktk hali yao ya kawaida.....Sasa wanaugulia maumivu makali ya kiuchumi na tukumbuke wengine wanafamilia.....na hapo hapo wanasiasa wanazungumza watu wajiajiri .....nyinyi ambao mnafurahia mji kuwa msafi pengine mna ajira zenu maofisini lakn hamuangalii maumivu wanayopitia wenzenu ...jadirini ni kivipi serikari itapunguza tatizo la ajira...kwani magufuri alikuwa ajui kuwa mji ni mchafu alikuwa anajiuliza wanaenda wapi...mnafurahia lakn hamjui impact yake inaweza kuongeza ualifu.....