USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
CPA AMOS MAKALLA MKUU WA MKOA DAR ES SALAAM NI MFANO WA KUIGWA JUU YA MACHINGA DAR ES SALAAM.
Shirikisho la Machinga Taifa (SHIUMA) likiongozwa na Mwenyekiti wake, Ernest Matondo Masanja lapongeza juhudi za Mkuu wa Mkoa Dar es salaam kwa mchango wake kwa Machinga.
Nikweli wakuu wa Mikoa kwa uwingi wao wanafanya kazi kubwa sana dhidi ya Machinga ili kulisaidia kundi hili.
Lakini tukubali tukatae Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam anaupigwa mwingi sana. Haijazoeleka kabisa kwa Viongozi wa Serikali kwa mamlaka zao kuwaza namna bora zaidi ya kuwafanya Machinga wawe sehemu ya Dunia hii.
Machinga wapo Duniani kote na wanafanya vizuri na wamewekewa utaratibu mzuri sana kwenye Majiji makubwa na Nchi mbalimbali huko Duniani ikiwemo China, Dubai, Uingereza na hata Marekani. Kwa ufupi sana naweza kusema Machinga wapo Dunia zima na Mhe CPA Amos Mkalla Mkuu wa Dar es salaam ameamua asiifanye Dar es salaam ipo Nje ya Dunia hii.
Hivi karibuni Mhe Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam aliaidi kuwasafirisha viongozi wa Machinga Mkoa wa Dar es salaam pamoja na Boda Boda kwenda Nchini Rwanda jiji la Kigali ili kujifunza namna viongozi na Machinga pamoja na Boda Boda wanavyofanya kazi huko.
Hili Nijambo kubwa na lakuigwa na kupongezwa na kila mwenye mapenzi mema na shughuli za Machinga hapa Nchini. Mhe CPA Amos Mkalla ameona mbali sana na hakika anaweza kutufanya Machinga tuone mwanga zaidi katikati ya Giza Nene.
Ikumbukwe Machinga Nchini wanaona kama wanaonewa wanapoambiwa kupangwa kama maelekezo ya Mhe Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan yalivyopendekezwa na ili kutambulika rasimi.
Sasa kupeleka viongozi wa Mkoa wa Dar es salaam, Machinga na Boda Boda, inapunguza malalamiko kwa viongozi wenyewe, dhidi ya maelekezo ya serikali pamoja na Machinga wenyewe kuambiwa yaliyomo kwenye miji ya wezetu huko Nje ya Nchi yetu na hata hivyo kuuona kwa karibu umuhimu wa maelekezo ya Mhe Rais wetu.
CPA Amos Mkalla atakumbukwa sana kwa kazi zake nyingi Mkoa wa Dar es salaam na kwetu sisi Machinga tunaendelea kumuombea sana mbele za Mungu kwa kazi yake zuri kwetu na ameweka Alama (legacy)kubwa sana katikati ya mioyo yetu kote Nchini.
Of course, (bila shaka) kazi ya kiongozi ni kuonyesha njia na tunaoongozwa ni kusonga sawa sawa na Dira ya kiongozi wetu. Kwa Mikoa yetu yote wakuu wa Mikoa ndio Dira yetu na Kwa Nchi yetu ni Mhe Rais wetu Samia Suluhu Hassan. Hakika CPA Amos Mkalla ameacha Alama (legacy).
Tarehe 6/02/2023 Viongozi hao watasafiri kwenda Kigali Nchini Rwanda na tarehe 10/02/2023 watarejea kwaajili ya mwendelezo wa kazi kwa ujumla wake.
Sisi Viongozi wa Shirikisho la Machinga Taifa (SHIUMA)Tukiongozwa na Mwenyekiti wetu wa Taifa ERNEST MATINDO MASANJA, Tunapongeza juhudi za (CPA Amos Mkalla Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam* ambazo ni kubwa sana na zenye tija kwa Taifa letu.
USSR
Shirikisho la Machinga Taifa (SHIUMA) likiongozwa na Mwenyekiti wake, Ernest Matondo Masanja lapongeza juhudi za Mkuu wa Mkoa Dar es salaam kwa mchango wake kwa Machinga.
Nikweli wakuu wa Mikoa kwa uwingi wao wanafanya kazi kubwa sana dhidi ya Machinga ili kulisaidia kundi hili.
Lakini tukubali tukatae Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam anaupigwa mwingi sana. Haijazoeleka kabisa kwa Viongozi wa Serikali kwa mamlaka zao kuwaza namna bora zaidi ya kuwafanya Machinga wawe sehemu ya Dunia hii.
Machinga wapo Duniani kote na wanafanya vizuri na wamewekewa utaratibu mzuri sana kwenye Majiji makubwa na Nchi mbalimbali huko Duniani ikiwemo China, Dubai, Uingereza na hata Marekani. Kwa ufupi sana naweza kusema Machinga wapo Dunia zima na Mhe CPA Amos Mkalla Mkuu wa Dar es salaam ameamua asiifanye Dar es salaam ipo Nje ya Dunia hii.
Hivi karibuni Mhe Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam aliaidi kuwasafirisha viongozi wa Machinga Mkoa wa Dar es salaam pamoja na Boda Boda kwenda Nchini Rwanda jiji la Kigali ili kujifunza namna viongozi na Machinga pamoja na Boda Boda wanavyofanya kazi huko.
Hili Nijambo kubwa na lakuigwa na kupongezwa na kila mwenye mapenzi mema na shughuli za Machinga hapa Nchini. Mhe CPA Amos Mkalla ameona mbali sana na hakika anaweza kutufanya Machinga tuone mwanga zaidi katikati ya Giza Nene.
Ikumbukwe Machinga Nchini wanaona kama wanaonewa wanapoambiwa kupangwa kama maelekezo ya Mhe Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan yalivyopendekezwa na ili kutambulika rasimi.
Sasa kupeleka viongozi wa Mkoa wa Dar es salaam, Machinga na Boda Boda, inapunguza malalamiko kwa viongozi wenyewe, dhidi ya maelekezo ya serikali pamoja na Machinga wenyewe kuambiwa yaliyomo kwenye miji ya wezetu huko Nje ya Nchi yetu na hata hivyo kuuona kwa karibu umuhimu wa maelekezo ya Mhe Rais wetu.
CPA Amos Mkalla atakumbukwa sana kwa kazi zake nyingi Mkoa wa Dar es salaam na kwetu sisi Machinga tunaendelea kumuombea sana mbele za Mungu kwa kazi yake zuri kwetu na ameweka Alama (legacy)kubwa sana katikati ya mioyo yetu kote Nchini.
Of course, (bila shaka) kazi ya kiongozi ni kuonyesha njia na tunaoongozwa ni kusonga sawa sawa na Dira ya kiongozi wetu. Kwa Mikoa yetu yote wakuu wa Mikoa ndio Dira yetu na Kwa Nchi yetu ni Mhe Rais wetu Samia Suluhu Hassan. Hakika CPA Amos Mkalla ameacha Alama (legacy).
Tarehe 6/02/2023 Viongozi hao watasafiri kwenda Kigali Nchini Rwanda na tarehe 10/02/2023 watarejea kwaajili ya mwendelezo wa kazi kwa ujumla wake.
Sisi Viongozi wa Shirikisho la Machinga Taifa (SHIUMA)Tukiongozwa na Mwenyekiti wetu wa Taifa ERNEST MATINDO MASANJA, Tunapongeza juhudi za (CPA Amos Mkalla Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam* ambazo ni kubwa sana na zenye tija kwa Taifa letu.
USSR