AbouZakariya
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,615
- 2,337
"Pang'ang'a", hiki ni kimatumbi chetu au.....hapa umeniacha njani Jumbe.Amos Makalla anaupiga mwingi haswa.......
Kitu kimoja wengi wasichokijua ni kuwa mh.Mkuu wa mkoa ana hulka ya "USIKIVU SANA"...KUJISHUSHA SANA....na UTEKELEZAJI MKUBWA na si "pang'ang'a"
Kongole kwake
Siempre JMT