Hongera Mbowe kwa kuendelea kuitafuna CHADEMA

Hongera Mbowe kwa kuendelea kuitafuna CHADEMA

Sina budi kumpongeza Mbowe kwa namna ambavyo amekuwa akieendesha Chadema kama kampuni yake.

Katika kipindi cha uchaguzi zipo habari zilinea kwenye baadhi ya vyombo vya habari ikisemekana kwamba Mbowe amepokea sh. 12 bilioni kutoka kwa Lowasa

Ili kumruhusu Lowasa agombee nafasi ya rais kupitia chama cha Chadema na bila ya shaka yeyote na wote tunafahamu Lowasa aligombea urais kupitia chama hicho cha Chadema.wala hakuna aliyehoji.

Baadaye kidogo zikaenea habari zingine kwamba Mh. Mbowe amehamisha mamilioni ya pesa kutoka Dubai kwenda kwenye kampuni zake ambazo zipo China.
mara hii tena hakuna aliyehoji.

Tukiwa katikati ya kampeni chama chetu Chadema kikaitisha harambee ya kuchangia pesa za uchaguzi pale Mlimani City na kukusanywa pesa nyingi tu ambazo hatukuambiwa idadi yake. Pia hakuna aliyehoji.

Pamoja na matukio haya yote Mh. Mbowe hakukanusha wala kutoa ufafanuzi juu ya taarifa za matumizi mabaya ya pesa ya chama.

Hapa naanza kupata mashaka hivi Chadema ni chama cha wananchi kweli au ni mali Mbowe? Maana kila analolitaka hakuna anayeweza kupinga.
Naomba kuwasilisha jamvini.

Yaani nchi kuwa na mijitu kama wewe ndio maana hatuendelei ebu tafakari kwanza ulichokiweka na matukio kama haya ninayoya orodhesha hapa chini halafu uniambie hilo la Mbowe na haya ni yepe yaliyosababisha hali hii tuliyonayo

1. Wizi kupitia KAGODA na MEREMETA
2. Wizi kupitia RICHMOND ambayo hadi leo TANNESCO wanalipa fedha baada ya ukoo fulani kubadilisha kampuni hiyo kutoka RICHMOND kuwa DOWANS na sasa SYMBION POWER huku mkuu wa kampuni hiyo akimpokea kwa mbwembwe Obama na kumpeleka kukagua mitambo hiyo na kuisifia.
3. Wizi kupitia ESCROW
4. Wizi kupitia utoroshaji wa makontena bandarini na tumesikia hadi Meri nzima zilipotezwa
5. Gesi kuuziwa waCHINA na kuichimba kwa kipindi cha miaka 7 huku wakiiuza kwa wazalishaji umeme na wao kuuza umeme huo kwa TANNESCO na hao TANNESCO kutuuzia sisi.

Yaani wewe hayo mambo ya kubuni na majungu juu ya mbowe ndio umeona mambo ya msingi na kuyaacha haya ambayo yanakuangamiza wewe moja kwa moja na vizazi vyako NYAMBAAFUU!
 

Yaani nchi kuwa na mijitu kama wewe ndio maana hatuendelei ebu tafakari kwanza ulichokiweka na matukio kama haya ninayoya orodhesha hapa chini halafu uniambie hilo la Mbowe na haya ni yepe yaliyosababisha hali hii tuliyonayo

1. Wizi kupitia KAGODA na MEREMETA
2. Wizi kupitia RICHMOND ambayo hadi leo TANNESCO wanalipa fedha baada ya ukoo fulani kubadilisha kampuni hiyo kutoka RICHMOND kuwa DOWANS na sasa SYMBION POWER huku mkuu wa kampuni hiyo akimpokea kwa mbwembwe Obama na kumpeleka kukagua mitambo hiyo na kuisifia.
3. Wizi kupitia ESCROW
4. Wizi kupitia utoroshaji wa makontena bandarini na tumesikia hadi Meri nzima zilipotezwa
5. Gesi kuuziwa waCHINA na kuichimba kwa kipindi cha miaka 7 huku wakiiuza kwa wazalishaji umeme na wao kuuza umeme huo kwa TANNESCO na hao TANNESCO kutuuzia sisi.

Yaani wewe hayo mambo ya kubuni na majungu juu ya mbowe ndio umeona mambo ya msingi na kuyaacha haya ambayo yanakuangamiza wewe moja kwa moja na vizazi vyako NYAMBAAFUU!
Nyumbu ni Nyumba tu mimi nauliza kuhusu chama wewe unaniletea mambo ya kagoda jibu hoja kwanza
 
Na sasa anajipanga ili kupata katibu ambaye atakuwa anamdhibiti yeye
 
Lipi la ajabu? Kama una ushahidi tuwekee humu tuone hela imetoka akaunti ya nani kwenda akaunti ya nani na hiyo hela ni kwa shughuli gani. Wewe hiyo harambee ulichangi shs ngapi? nenda kwa wahusika watakupa ripoti kamili sio kulalama mtandaoni. Matumizi ya hela za uchaguzi unajua ripoti zinapelekwa kwa nani na sio kwako.
GT tunatakiwa tutoe ufumbuzi wa matatizo ya nchi yetu kwa kadiri ya uwezo wetu. Hizi thread nyingine zinatupotezea muda kuzipitua!
 
Lipi la ajabu? Kama una ushahidi tuwekee humu tuone hela imetoka akaunti ya nani kwenda akaunti ya nani na hiyo hela ni kwa shughuli gani. Wewe hiyo harambee ulichangi shs ngapi? nenda kwa wahusika watakupa ripoti kamili sio kulalama mtandaoni. Matumizi ya hela za uchaguzi unajua ripoti zinapelekwa kwa nani na sio kwako.
GT tunatakiwa tutoe ufumbuzi wa matatizo ya nchi yetu kwa kadiri ya uwezo wetu. Hizi thread nyingine zinatupotezea muda kuzipitua!
Calm down. MPaka mifupa ya shingo imekutoka ukimtetea Mbowe. Kamwe usijitoe ufahamu kutetea mwanasiasa hasa kigeugeu na mwenye makando kando kama Mbowe. Use your common sense! Have a nice day!
 
Hii ccm makini kwa nini inaleta ubaguzi na uporaji huko zanzibar? hili ndilo la muhimu kama hii ccm kila mtu ana mamlaka ya kuhoji iweje woooooote wakubali kuidhulumu cuf?
 
Ccm haidhulumu hata siku moja tatizo cuf ni chama cha wapemba nenda Pemba ndiyo utajua ukweli maana wapemba wote ni cuf hakuna mpemba ambeye siyo cuf ndiyo maana Pemba ukipita kwenye kura za maoni tu tayari wewe ni mbunge
 
aliyetoa bil.12kama ni kweli ndiye aluyeliwa kwani pesa hizo hazikuwa za cdm. Hizo za mlimani city nilimwona mbowe akipewa na wahusika wenyewe. Kama zingekuwa za cdm wangezituma kwenye acc. ya cdm. mbowe alishajua tija ya hapa kazi tu na akaanza kuifanyia kazi.
Wewe waongopee watoto, kwanza Mh Mbowe hakumleta Mh Lowasa CDM muulize Slaa huenda akakuambia ukweli, kuliko kusema eti uliona akipewa Pesa basi elfu 20.
 
Wewe waongopee watoto, kwanza Mh Mbowe hakumleta Mh Lowasa CDM muulize Slaa huenda akakuambia ukweli, kuliko kusema eti uliona akipewa Pesa basi elfu 20.
Wee Unazungumza kitu usichokujua Mbowe ndiye aliyempokea Lowasa hadi Dr. Slaab akaamua kuondoka
 
Ccm haidhulumu hata siku moja tatizo cuf ni chama cha wapemba nenda Pemba ndiyo utajua ukweli maana wapemba wote ni cuf hakuna mpemba ambeye siyo cuf ndiyo maana Pemba ukipita kwenye kura za maoni tu tayari wewe ni mbunge
ccm wamekula mpaka za wajane na yatima ndo maana ,leo hii yatima wengi barabarani ița Mungu atawalipa ccm
 
Wee kama si mchaga pole yako Chaga Development manifesto
Ndo mnavyojazwa hujinga , ukwel uwazi ccm ni chama cha kibaguzi ,na ww ni mmoja wapo wa wabaguz juz kule zanzibar mkaona mtembed wazwaz na mabango yenu kutybagua ila hii dhambi itawatafuna milele
 
Sioni MTU imara chadema zaidi ya mbowe
Si MTU wa kuhongwa kwa kua hana shida na visent nataka aendelee kua mwenyekiti mpaka tutakapomuondoa huyu mkoloni mweusi
I respect very mbowe
Ccm wanalia kwa sababu yake
Wanatamani chadema iwe na mwenyekiti mwingine ili waviue vyama vyote vya upinzani wanataka kupandikiza MTU wao
 
Ndo mnavyojazwa hujinga , ukwel uwazi ccm ni chama cha kibaguzi ,na ww ni mmoja wapo wa wabaguz juz kule zanzibar mkaona mtembee wazwaz na mabango yenu kutybagua ila hii dhambi itawatafuna milele
 
Ndo mnavyojazwa hujinga , ukwel uwazi ccm ni chama cha kibaguzi ,na ww ni mmoja wapo wa wabaguz juz kule zanzibar mkaona mtembed wazwaz na mabango yenu kutybagua ila hii dhambi itawatafuna milele
Kwani ninyi mlivyowabagua akina Zito kwani nani hajui hicho ni chama Mtei na mkwewe
 
Back
Top Bottom