Hongera Mbowe kwa kuendelea kuitafuna CHADEMA

Hongera Mbowe kwa kuendelea kuitafuna CHADEMA

Mpaka leo hii unawaza ukabila halafu unajiita kijana au mtanzania ndo akili za Wana ccm kutumia masaburi kufikiri.
image.jpg

Ukizidiwa kale malimao.
Na kuficha kichwa mchangani kama mbuni mjinga hakutakusaidia cho chote
Ukanda, ukabila na kujiona (akili ndogo kutawala akili kubwa) kutaendelea kuwatafuna.
Badilikeni. Kipeni chama mwonekano wa kitaifa na siyo kila kigogo atoke Kaskazini.
It is as simple as that!
 
Chadema Ni Kitega Uchumi Binafsi Cha Familia Ya Mtei Na CEO Wake Kwa Sasa Amekabhiwa Mbowe Na Anaendesha Atakavyo Hakuna Wa Kumuuliza.Kama Hutaki Hama Chama "Msalitiiii"
 
Ni kweli kabisa lakini Nyumbu huwezi kuwaeleza kitu
 
Back
Top Bottom