Hongera Mbowe kwa kuendelea kuitafuna CHADEMA

Hongera Mbowe kwa kuendelea kuitafuna CHADEMA

Mleta Post unajua account ya CCM ina shi ngapi? Huwa wanatangaza? Fedha za CCM wanatoa wapi? Walishawahi Tangaza lini kwamba wanashi ngapi wameweka wapi na wamefanyia nini? Hebu muulize kwanza mwenyekiti wa chama chako[/QUOTE mimi ni Chadema hivyo ya Ccm siweji kuyajua ila nilichosema hata huo mchango wa mlimani city tumechangia hawakutuambia zilipatikana sh.? Lol imeniuma sana
 
Duh Kweli ukipenda chongo huita kengeza maana kwani hiyo pesa alikwenda kupewa nyumbani kwake au alipewa chini ya mwamvuli wa Cdm kweli Nyumbu ni nyumbu tu hajui aeendako
Dogo una kariri sana, ati nyumbu hajui aendako? We kenge kweli. Hivi unadhaniaje? Vinginevyo wasingekuwa na uRaia wa inji mbili, Tz na Ke. Serengeti to Maasai mara, yani wewe ni kenge ikinyesha mvua unakimbia usilowe kisha unaingia mtoni.
 
Dogo una kariri sana, ati nyumbu hajui aendako? We kenge kweli. Hivi unadhaniaje? Vinginevyo wasingekuwa na uRaia wa inji mbili, Tz na Ke. Serengeti to Maasai mara, yani wewe ni kenge ikinyesha mvua unakimbia usilowe kisha unaingia mtoni.
Mkuu mbona husomeki
 
Mleta Post unajua account ya CCM ina shi ngapi? Huwa wanatangaza? Fedha za CCM wanatoa wapi? Walishawahi Tangaza lini kwamba wanashi ngapi wameweka wapi na wamefanyia nini? Hebu muulize kwanza mwenyekiti wa chama chako
Kumbuka zile zilichangishwa ilikuwa kama Harambee na kawaida ya harambee baada ya kuisha lazima mapato yajulikane ni sh.ngapi

Usimdharau kama alishiriki kuchangia alikuwa ana wajibu pia wakujua Ni kiasi gani kilipatikana ili ajue kama shughuli ilizaa matunda au vipi...Lakini mwenyekiti hakufanya hivyo Je kama alipiga kushoto zingine?

Jitahidi kujibu hoja sometime ushabiki sio mzuri!
 
Huwa sihangaiki kujua akili na ufinyu wa mawazo kwa wanachadema walio wengi katika kujibu kwao hoja!

Hoja hujibiwa kwa hoja lakini wengi wao ni hoja kwa kashfa na matusi

Hii haitosaidia kamwe jifunzeni kuleta hoja kwanini Mbowe hakutaja kiasi kilicho patikana na mengine sasa nyie ni matusi kashfa what for
 
Wewe inakuhusu nini? Huyo Riz moko anayoyafanya huko huyaon
riz moko mnatunga uongo kujenga hoja za uongo kutumia jina lake. ooh mara baba yake kasafiri usiku kucha hadi beijin kuomba asinyongwe. uongo wa kipuzi..kashasema mwenye ushahidi wa ufisadi dhidi yake atoe taarifa polisi ili akamatwe.
 
Huwa sihangaiki kujua akili na ufinyu wa mawazo kwa wanachadema walio wengi katika kujibu kwao hoja!

Hoja hujibiwa kwa hoja lakini wengi wao ni hoja kwa kashfa na matusi

Hii haitosaidia kamwe jifunzeni kuleta hoja kwanini Mbowe hakutaja kiasi kilicho patikana na mengine sasa nyie ni matusi kashfa what for
Matusi? Unayaita haya matusi? Matusi yalikuwa wakati wa kampeni enzi zile mzee wa maamuzi magumu kawalewesha mapenzi mahaba wanamdekia mpaka barabara. Nyumbu walikuwa na madoido balaa yaani ukiwagusa tu hao mikia juu kujirusha mtoni bila kujali kama kuna mamba na viboko. Kweli tulifaidi. Inshallah ngoja tusubiri 2020 tuje tufaudu tena japo sidhani kama watapata tena mtu wa kuwapa mapenzi mahaba na maringo namna ile.
 
Last edited:
Ukawa unganisha kaskazini watawale kama unaona mbowe atendi haki hamia dp nafasi ya mwenyekiti ipo wazi kabixa
Calm down. Nihamie DP (Double Penetration) nikafanye nini? Mi nilikuwa nyumbu tena wa wa muda mrefu. Nilijivua unyumbu baada ya gia za angani na usaliti ule wa kipumbavu wa kukumbatia makapi yaliyochafuka kutoka CCM na kusahau wazalendo waliokipigania chama kwa maji na damu. Nilipoona Mr. Ziro, Lau, Mgeja, EL, Mwapachu, Kingunge, Guninita na makapi mengine eti ndiyo yanapewa mijeledi ya kuwaswaga nyumbu kuelekea mtoni tena mto uliojaa mamba na viboko bila kujali uhai wao nikaamua kujitoa. Nasubiri kuona reversive moves na mvuvumko mpya kuelekea 2020. Bila ajenda ya msingi na falsafa mpya naamini mwanzo wa anguko kuu utakuwa umeanza. Na kwa hili Mbowe anastahili shukrani za dhati kwa kila mpinga ukabila na ukanda wa nchi hii. Kutokana na tamaa ya pesa singlehandedly amefanikiwa kukirudisha chama hatua 100 nyuma. Liability or asset? Siku moja mtaelewa tu and it will be too late!
 
Last edited:
Wakati mwingine nahisi kama kuzaliwa tu mtanzania tayari unakuwa na matatizo!! Sehemu ya ubongo inakuwa dormant. Hivi inaingia akilini kweli mtu apewe bilioni 12 kwa ajili ya kumruhusi agombee uraisi kupitia CDM? Wewe ungekuwa na mashine ya kufyatulia hela nyumbani kwako ungetoa hela zote hizo kirahisi hivyo? Ok, Mbowe amepewa bil 12, Dr. Kapewa ngapi? au amekataa ngapi?. Labda Kidogo ingeingia akilini kama ningemsikia Slaa akinena alipewa bil 1 au 2 amekataa. Hivi huoni kama ilikuwa muhimu hiyo hela hata bil 2 tu angenyamazishwa Slaa? Slaa alipokuwa anahoji Lowasa kaja na nini angeambiwa kaja na hela, kwani asset manake nini? Hivi inawezekana kufanya dili kubwa kiasi hiki na mtu 1 tu?. Hebu tujiulize, afisa wa ikulu katumbua pesa na demu hotelini Arusha laki 8 kutekenywa lisiti za malipo tumeziona, ufisadi unaotokea na marisiti yanaanikwa? Huyu Lowasa alimpia Mbowe pesa kwenye kitunga? Malisiti ya serikali yaonekane, masandarusi Escrow na mikokoteni, vikatuni vilichorwa ya Escrow tumeyaona, kwanini ya Mbowe yasionekane?
 
Sina budi kumpongeza Mbowe kwa namna ambavyo amekuwa akieendesha Chadema kama kampuni yake.

Katika kipindi cha uchaguzi zipo habari zilinea kwenye baadhi ya vyombo vya habari ikisemekana kwamba Mbowe amepokea sh. 12 bilioni kutoka kwa Lowasa

Ili kumruhusu Lowasa agombee nafasi ya rais kupitia chama cha Chadema na bila ya shaka yeyote na wote tunafahamu Lowasa aligombea urais kupitia chama hicho cha Chadema.wala hakuna aliyehoji.

Baadaye kidogo zikaenea habari zingine kwamba Mh. Mbowe amehamisha mamilioni ya pesa kutoka Dubai kwenda kwenye kampuni zake ambazo zipo China.
mara hii tena hakuna aliyehoji.

Tukiwa katikati ya kampeni chama chetu Chadema kikaitisha harambee ya kuchangia pesa za uchaguzi pale Mlimani City na kukusanywa pesa nyingi tu ambazo hatukuambiwa idadi yake. Pia hakuna aliyehoji.

Pamoja na matukio haya yote Mh. Mbowe hakukanusha wala kutoa ufafanuzi juu ya taarifa za matumizi mabaya ya pesa ya chama.

Hapa naanza kupata mashaka hivi Chadema ni chama cha wananchi kweli au ni mali Mbowe? Maana kila analolitaka hakuna anayeweza kupinga.
Naomba kuwasilisha jamvini.
unachekesha wewe, nani kakuambia kuwa chadema ni chama? ile ni saccos na ina wenyewe. wewe kama uko huko unajipendekeza tu. shauri yako.
 
Ni ukweli usio kuwa na shaka mkuu mimi pia ni Chadema lakini inauma mtu mmoja ndiyo aonekane mwenye chama lol
hujui hata matumizi ya lol utajua chama kinaendeshwaje kweli?Hamna mwanachama wa chadema wa aina yako.
 
Wakati mwingine nahisi kama kuzaliwa tu mtanzania tayari unakuwa na matatizo!! Sehemu ya ubongo inakuwa dormant. Hivi inaingia akilini kweli mtu apewe bilioni 12 kwa ajili ya kumruhusi agombee uraisi kupitia CDM? Wewe ungekuwa na mashine ya kufyatulia hela nyumbani kwako ungetoa hela zote hizo kirahisi hivyo? Ok, Mbowe amepewa bil 12, Dr. Kapewa ngapi? au amekataa ngapi?. Labda Kidogo ingeingia akilini kama ningemsikia Slaa akinena alipewa bil 1 au 2 amekataa. Hivi huoni kama ilikuwa muhimu hiyo hela hata bil 2 tu angenyamazishwa Slaa? Slaa alipokuwa anahoji Lowasa kaja na nini angeambiwa kaja na hela, kwani asset manake nini? Hivi inawezekana kufanya dili kubwa kiasi hiki na mtu 1 tu?. Hebu tujiulize, afisa wa ikulu katumbua pesa na demu hotelini Arusha laki 8 kutekenywa lisiti za malipo tumeziona, ufisadi unaotokea na marisiti yanaanikwa? Huyu Lowasa alimpia Mbowe pesa kwenye kitunga? Malisiti ya serikali yaonekane, masandarusi Escrow na mikokoteni, vikatuni vilichorwa ya Escrow tumeyaona, kwanini ya Mbowe yasionekane?
Hapo hutaona wa kukujibu.Akikujibu mtu nitajua lumumba dau limeongezwa.
 
Wakati mwingine nahisi kama kuzaliwa tu mtanzania tayari unakuwa na matatizo!! Sehemu ya ubongo inakuwa dormant. Hivi inaingia akilini kweli mtu apewe bilioni 12 kwa ajili ya kumruhusi agombee uraisi kupitia CDM? Wewe ungekuwa na mashine ya kufyatulia hela nyumbani kwako ungetoa hela zote hizo kirahisi hivyo? Ok, Mbowe amepewa bil 12, Dr. Kapewa ngapi? au amekataa ngapi?. Labda Kidogo ingeingia akilini kama ningemsikia Slaa akinena alipewa bil 1 au 2 amekataa. Hivi huoni kama ilikuwa muhimu hiyo hela hata bil 2 tu angenyamazishwa Slaa? Slaa alipokuwa anahoji Lowasa kaja na nini angeambiwa kaja na hela, kwani asset manake nini? Hivi inawezekana kufanya dili kubwa kiasi hiki na mtu 1 tu?. Hebu tujiulize, afisa wa ikulu katumbua pesa na demu hotelini Arusha laki 8 kutekenywa lisiti za malipo tumeziona, ufisadi unaotokea na marisiti yanaanikwa? Huyu Lowasa alimpia Mbowe pesa kwenye kitunga? Malisiti ya serikali yaonekane, masandarusi Escrow na mikokoteni, vikatuni vilichorwa ya Escrow tumeyaona, kwanini ya Mbowe yasionekane?
Kilichotakiwa baada ya taarifa hizo kuenea zingekanushwa kutoa 12 billion ni kitu kinachowezekana hapo hakuwa ananunua chama alikuwa ananunua urais na
 
Kwanini na wewe usianzishe chama chako na wewe ukakimiliki kwa asilimia miamoja,kama alivyofanya kiongozi mkuu wa ACT-UJIJI?
 
Kwanini na wewe usianzishe chama chako na wewe ukakimiliki kwa asilimia miamoja,kama alivyofanya kiongozi mkuu wa ACT-UJIJI?
Hiki na chama chetu tumepata nacho shida sana hatuwezi kumuachia mtu mmoja never never
 
Kwanini na wewe usianzishe chama chako na wewe ukakimiliki kwa asilimia miamoja,kama alivyofanya kiongozi mkuu wa ACT-UJIJI?
ukitaka kuanzisha chama chako usihusishe wananchi. kaa wewe na mkeo na mmeo na watoto wako full stop. kama unahusisha wananchi na unataka kushika dola ujue sio chama chako
 
babu chadema wakati wake umeshapita mara ya mwisho nakumbuka ilikuwa mwaka 2015
 
Kilichotakiwa baada ya taarifa hizo kuenea zingekanushwa kutoa 12 billion ni kitu kinachowezekana hapo hakuwa ananunua chama alikuwa ananunua urais na
Unakanusha rumors? madhalani mtu kapost humu JF " Mbowe alamba bil 12 kutoka kwa Lowasa ili amruhusu kugombea urais" Taarifa au uvumi kama huu, Mbowe ajitokeza kukanusha atakuwa kiongozi wa namna gani huyo? Sina masilahi katika hili, siko kwenye siasa, sinufaiki na suala hili. Lakini najaribu tu kuchambua kimanti!!!
 
Back
Top Bottom