SIMBA NYANI
Member
- Dec 8, 2014
- 35
- 25
Wadau,
Baniani mbaya kiatu chake dawa! Pamoja na maneno ya kejeli yalitolewa kwa Paul Makonda wakati anateuliwa kuwa mkuu wa wilaya, lakini ameonesha kuwa ni mweledi na anaijua kazi.
Leo kawaita vijana waliomaliza vyuo na kujadiliana nao kuhusu tatizo la ajira, ambapo vijana wameambiwa wajikusanye katika vikundi vidogo vidogo kulingana na fani walizozisoma, wabuni miradi halafu wataunganishwa katika taasisi za fedha kupewa mikopo. Huu ni mfano mzuri kwa viongozi vijana.
Big up Makonda!
Baniani mbaya kiatu chake dawa! Pamoja na maneno ya kejeli yalitolewa kwa Paul Makonda wakati anateuliwa kuwa mkuu wa wilaya, lakini ameonesha kuwa ni mweledi na anaijua kazi.
Leo kawaita vijana waliomaliza vyuo na kujadiliana nao kuhusu tatizo la ajira, ambapo vijana wameambiwa wajikusanye katika vikundi vidogo vidogo kulingana na fani walizozisoma, wabuni miradi halafu wataunganishwa katika taasisi za fedha kupewa mikopo. Huu ni mfano mzuri kwa viongozi vijana.
Big up Makonda!