Hongera Makonda, umeonesha njia!

Hongera Makonda, umeonesha njia!

Safi makonda, imarisha na usafi uwatie aibu halshauri nyingine jijin ambao wamelala tu huku uchafu ukiwaelemea
 
Ni kucheza na fursa tu..ukizingatia ni mwaka wa uchaguzi huu..anatandika vizuri ili alale pazuri..
 
Siasa hizo..na atapiga hela ile mbaya..cause kwenye projects lazima hela ya asante utoe..ni lazimaaa, sasa inawezwa akatakiwa hela nyingi ha hizo projects zikafail, watoto wa watu inabidi wawe wajanja or else itakula kwao
 
Yuko vizuri hata mimi kiukweli alivyoteuliwa sikufagilia lkn nimependa sana style yake ya utendaji kweli kumbe tukiwa na viongozi vijana wanakuja na mipango safi na fresh.hongera makonda
 
Mnashindwa Kulelewa Hili Ni Vuguvugu La Uchaguzi Na Wwnajua Fika Vijana Wasomi Ndio Wenye Upeo Kuhusu Siasa Na Wanasiasa Wa Humu Nchini??
Hapo Naona Danganya Toto.
 
Tunadanganywa kirahisi kweli! Kuweni waangalifu mwaka wa uchaguzi huu!
 
Mpeni muda mpeni ushirikiano yaweza akawa na nia ya dhati mie mwenyewe silipendi limakonda tangu that day lillipokosa adabu kwa babu jaji mstaafu... BT kama anainiatiate jambo zuri why tusimuunge mkono!!?
 
Mnashindwa Kulelewa Hili Ni Vuguvugu La Uchaguzi Na Wwnajua Fika Vijana Wasomi Ndio Wenye Upeo Kuhusu Siasa Na Wanasiasa Wa Humu Nchini??
Hapo Naona Danganya Toto.

Kama Pesa ipo watu wakaichukue hiyo pesa,tena hata kama una.kazi unda kikundi kachukue mpunga,ngoja mie na marafiki zangu tubuni mradi wa pesa nyingi,tukipata tunagawana kila.mtu aendelee na hamsini zake
 
Kama Pesa ipo watu wakaichukue hiyo pesa,tena hata kama una.kazi unda kikundi kachukue mpunga,ngoja mie na marafiki zangu tubuni mradi wa pesa nyingi,tukipata tunagawana kila.mtu aendelee na hamsini zake

Kama Yale Mabilioni Ya Mkulu
 
Mpeni muda mpeni ushirikiano yaweza akawa na nia ya dhati mie mwenyewe silipendi limakonda tangu that day lillipokosa adabu kwa babu jaji mstaafu... BT kama anainiatiate jambo zuri why tusimuunge mkono!!?

yani mi ji2 linalo uwa babake au mamake ili limiliki ela cwezi kulikubali ata likija jifanya linatoa misaada makanisani,misikitini kwa jamii yeyote mi natamani lipigwe mawe adi kufa...
 
kikubwa amejaribu
wangapi wamepewa nafasi za ukuu wa wilaya na hawakuwahi kutoa wazo lolote
yeye kwa uchanga wake amejaribu
hata kama haitakuwa endelevu au anaifanya kwa sababu za siasa lakini ameonesha ubunifu
hili la ajira mnalisema tofauti mbona lile la migogoro ya ardhi hamlisemi
hebu tupeane moyo katika yale mazuri anayofanya mtu tusipinge kwa kuwa fulani hatumpendi au kwa kuwa katoka chama tusichokipenda
 
Back
Top Bottom