Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Unakimbilia mada za udini ambao haupo ni kama unaulazimisha uwepo. Hayati JKN alisema pale kilimanjaro hotel kwamba mtu aliyefilisika kichwani haraka sana hukimbilia kujitambulisha kikanda, kimaeneo, kiukabila.Kwa hiyo viziwani hakuna wakristo?
Jitahidi usifanane na aliyefilisika kichwani.